Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

hahahaha..... nimebaki nastaajabu hapa....narudia tena


SiO LAZIMA KILA MTU AZAE.......SIO LAZIMA KILA MTU AWE NA MTOTO.

kila mtu ana plan zake kwenye maisha YAKE!
 
hahahaha..... nimebaki nastaajabu hapa....narudia tena


SiO LAZIMA KILA MTU AZAE.......SIO LAZIMA KILA MTU AWE NA MTOTO.

kila mtu ana plan zake kwenye maisha YAKE!
Huna plan zozote wewe nakujua
 
hahahah huwa nawaza pia naogopa hata mimba ya kisingizio sijawahi, duh i should consult my gyno sasa.... no ila bado nikifika 27 ntaanza kujiuliza kikubwa
 
hahahah huwa nawaza pia naogopa hata mimba ya kisingizio sijawahi, duh i should consult my gyno sasa.... no ila bado nikifika 27 ntaanza kujiuliza kikubwa
Kumbe 27 bado hujafika?
Una mingapi? Nataka tuongee kiutu uzima.
 
mmmh..! lakini kuzaa mtoto bila ya kumjengea future ya kueleweka iv sasa ni janga kubwa kwa taifa pia"
Hakuna kitu kama hicho.

Wewe uoga unakusumbua.

Ujue kuna kitu kimoja,

Maisha unayoishi kwa hivi sasa, hesabu hayo ndio Maisha yako.

Mambo mengine ni matokeo huko mbeleni.

Unaweza kuwa na mipango mingi, halafu baadae inakuja kuwa mipango hewa
 
hahahaha..... nimebaki nastaajabu hapa....narudia tena


SiO LAZIMA KILA MTU AZAE.......SIO LAZIMA KILA MTU AWE NA MTOTO.

kila mtu ana plan zake kwenye maisha YAKE!
Ni lazima.

Kwasababu ni sehemu ya Maisha.

Kwani huwezi kuwa na Mtoto na mipango ikapangika?

Mnavyosema hivyo, utafikiri sie wenye Watoto hatuna mipango
 
Ni lazima.

Kwasababu ni sehemu ya Maisha.

Kwani huwezi kuwa na Mtoto na mipango ikapangika?

Mnavyosema hivyo, utafikiri sie wenye Watoto hatuna mipango
Hapo sasa,,mbona wengine tuna watoto watatu na mambo yanaenda fresh tuu.kila binadamu ana future na mipango pia
 
hahahah huwa nawaza pia naogopa hata mimba ya kisingizio sijawahi, duh i should consult my gyno sasa.... no ila bado nikifika 27 ntaanza kujiuliza kikubwa
Ukifika 27ukajiulize mkuu,maana haiwezekani umri huo mtu kusiwe na matokeo yoyote iwapo unafanya ngono tena bila zana
 
Ni lazima.

Kwasababu ni sehemu ya Maisha.

Kwani huwezi kuwa na Mtoto na mipango ikapangika?

Mnavyosema hivyo, utafikiri sie wenye Watoto hatuna mipango
kheeeeee ! kwaio kua na mtoto ni lazma hahahahaha....unaumwa ww...

kua na mtoto ni CHAGUO LA MTU....sio lazma.....kila mtu ana mipango yake kwenye maisha....

we kama mpango wako kuzaa....zaa, ila huo sio mpango wangu...usilazimishe...
 
Hapo sasa,,mbona wengine tuna watoto watatu na mambo yanaenda fresh tuu.kila binadamu ana future na mipango pia
wengine hatuna interest hio sasa....msilazimishe hobby...

kuwa na mtoto na kulea ni Hobby ya mtu....
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako.

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza
Tumia akili bro, badala ya mk+#du
 
Ndio maana mnazaa watoto wanaishia kuzagaa mitaani na mkiwapeleka shule basi zile za kidumu mkononi,1st born wangu nilikua na 30 years nilikua na uhakika wa kumlea katika njia sahihi ingawa wadogo zangu walinitangulia ila niliweka malengo mtoto aje anikute nimefanya ABC's sio nisake mtoto kisa umri.
Pata mtoto ukiwa na miaka 18 na mimi 30 ila muhimu wapate malezi bora sioni sababu ya kukimbizana kama wataishia mtaani tu,kwa wale ambao wanahisi wamechelewa fanyeni vitu kwa mipango siku hizi hakuna zile za mtoto kulelewa na babu na bibi au ba'mdogo lazima tujipange hakuna haja ya kuwasikiliza haw wanaowaaminisha eti lazima mtoto aje ukiwa umri fulani.
well organized facts brother!! thanks for your time
 
kwakweli mimi binafsi hua niko bize sana kiakili.kiroho na kimwili kiasi kwamba hua nasahau kua huo mchakato wa kuoa na kuolewa upo ili mtoto apatikane.....mtoto wa nje staki sababu mimi binafsi nimezaliwa kwa wazazi waliofunga ndoa halali kabisa...kwahiyo siku nikipata muda nitafunga ndoa ili nizae watoto...ila kwasasa mke na watoto siyo kipaumbele visubiri kwanza.
 
Back
Top Bottom