Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

na suala la kuzaa ni la mtu binafsi na hamna mahali imeandikiwa ni lazima
Mkuu inaelekea wewe huna dini,imeandikwa "nendeni duniani mkaijaze dunia",sasa sielewi we unazungumza kitu gani.kama mungu kakupa uwezo wa kuzaa harafu wewe hutaki kuzaa basi hakika nakwambia moto wa milele unakusubiri,maana huitendei haki kazi ya mungu
 
kheeeeee ! kwaio kua na mtoto ni lazma hahahahaha....unaumwa ww...

kua na mtoto ni CHAGUO LA MTU....sio lazma.....kila mtu ana mipango yake kwenye maisha....

we kama mpango wako kuzaa....zaa, ila huo sio mpango wangu...usilazimishe...
Aliokuambia kua na Mtoto ni chaguo la Mtu ni nani?

Ndio, narudia tena, ni lazima kwakuwa ni mfumo wa Maisha lazima tuzaane.

Au pengine mwenzetu wewe hujakamilika!

Unaongelea mipango, mipango unaijua wewe?
 
Wewe yanakuhusu nin?? Hawataacha legacy... hao walioacha nani anawakumbuka. Alafu ukikumbukwa.. kaburi lako linakuwa bar???
 
Mkuu lazima ufahamu kwamba kila mtu has gotten his own perspective juu ya maisha, na through hiyo perspective ndipo anapoendesha maisha yake.
Hiyo moja, lakini pili unachoamini wewe kuwa ndio purpose of human life na source of happiness to human life sio lazima na wengine waamini hivyo.
Tatu, kuna issue ya being endowed naturally, kwa maana ya kwamba kuna baadhi ya watu hukosa vizazi, je nao wayachukie maisha kwa sababu wanashindwa kuzaa kipindi watakacho wao?
KUNA WATU WANGAPI WAMEZAA MAPEMA, LAKINI BADO WAKO NA MISERABLE LIFE, LAKINI HAPO HAPO WAPO WATU NI AGED NA HAWANA HAO WATOTO/WANAO KATIKA UMRI MKUBWA STILL WAKO HAPPY WITH THEIR LIFE?

Maisha ni jinsi unavyoyataza tu, has gotten nothing with its events.
Mkuu wewe umepanga kumpata ukiwa na mingapi,maana umeongea kwa uchungu mkubwa,mtoa mada kakugusa hadi kwenye sakafu ya moyo wako,Lol!
 
wengine hatuna interest hio sasa....msilazimishe hobby...

kuwa na mtoto na kulea ni Hobby ya mtu....
Suala sio kulazimisha.

Ikiwa wewe ni Mwanaadam, umekamilika/uliekamilika, na una Matamanio.

Basi hata kama hukuwa tayari, kuna kitu kinaitwa hata kwa bahati mbaya itatokea.

Wapo Watu ambao hawakuwa kabisa na mpango wa Watoto, lakini kutokana na kushindwa kujizuia matamanio ya kimwili, walijikuta wameshakuwa na Watoto, na ikawalazimu kulea bila kupenda.

Labda wewe uwe Malaika.

Au hufanyi kabisa tendo la Ndoa, au hukuwahi kabisa kufanya tendo la Ndoa.

Kitu ambacho hakiwezekani, yaani Maisha yako yote wewe iwe Punyeto
 
Suala sio kulazimisha.

Ikiwa wewe ni Mwanaadam, umekamilika/uliekamilika, na una Matamanio.

Basi hata kama hukuwa tayari, kuna kitu kinaitwa hata kwa bahati mbaya itatokea.

Wapo Watu ambao hawakuwa kabisa na mpango wa Watoto, lakini kutokana na kushindwa kujizuia matamanio ya kimwili, walijikuta wameshakuwa na Watoto, na ikawalazimu kulea bila kupenda.

Labda wewe uwe Malaika.

Au hufanyi kabisa tendo la Ndoa, au hukuwahi kabisa kufanya tendo la Ndoa.

Kitu ambacho hakiwezekani, yaani Maisha yako yote wewe iwe Punyeto
Asante mkuu,maana inaelekea wakosaji ni wengi sana
 
Hapo sasa,,mbona wengine tuna watoto watatu na mambo yanaenda fresh tuu.kila binadamu ana future na mipango pia
Hawana hoja hao.

Hii mada imewabana kote kote.

Wanabaki na kisingizio chao kimoja ambacho hakina nguvu hata kidogo.

Eti mipango, wanajipanga.

Kweli wanacheza
 
Hawana hoja hao.

Hii mada imewabana kote kote.

Wanabaki na kisingizio chao kimoja ambacho hakina nguvu hata kidogo.

Eti mipango, wanajipanga.

Kweli wanacheza
Yaani wanaposema mipango,utadhani sie wenye watoto basi hatuna mipango.
 
Back
Top Bottom