Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Yaani wanaposema mipango,utadhani sie wenye watoto basi hatuna mipango.
Ndipo hapo inaposhangaza.

Tuna/tunao Watoto, tunashukuru.

Na Mipango inapangika.

Tukiamua kula Bata, Bata wanalika.

Sasa hawa wanaokuja na kisingizio cha mipango, inakuwa kama wao pekee ndio wenye mipango.

Wanashangaza sana
 
Wewe yanakuhusu nin?? Hawataacha legacy... hao walioacha nani anawakumbuka. Alafu ukikumbukwa.. kaburi lako linakuwa bar???



images
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako.

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza
Sasa una maana gani kusema jambo kusikitisha kama hili then at last unacheka,kama umejaaliwa watoto mshukuru mola wako na usifurahie matatizo ya wenzako,kuna wengine watasoma haya ulioandika huku unacheka,How do they feel??
 
Sasa una maana gani kusema jambo kusikitisha kama hili then at last unacheka,kama umejaaliwa watoto mshukuru mola wako na usifurahie matatizo ya wenzako,kuna wengine watasoma haya ulioandika huku unacheka,How do they feel??
Nawacheka wale ambao mungu kawapa uwezo wa kuzaa ila wao hawataki kwa kisingizio cha kujipanga,na ndio maana nawaambia wao wataanza kuzaa wakati wenzao wanaacha.wasubiri tu kuitwa bibi/babu na watoto zao,sasa kimfano una miaka 45? harafu mwanao wa kwanza ana miaka mitano,hivi si atakuita bibi/babu badala ya baba/mama?
 
Nawacheka wale ambao mungu kawapa uwezo wa kuzaa ila wao hawataki kwa kisingizio cha kujipanga,na ndio maana nawaambia wao wataanza kuzaa wakati wenzao wanaacha.wasubiri tu kuitwa bibi/babu na watoto zao,sasa kimfano una miaka 45? harafu mwanao wa kwanza ana miaka mitano,hivi si atakuita bibi/babu badala ya baba/mama?
kuna ubaya gan kuitwa babu/bibi ilihali mtoto n wa kwako. ???
 
Mipango yangu hairuhusu kufanya hivyo so kila napozini naangalia kalenda yake na kama kimeo condom lazma

Miaka 27 hiyo yawez3kana ni mtoto nje ya ndoa kabisaaaa na sijawaza kuwa na mtoto nje ya ndoa nahtaj ndoa ya kikristo na watoto wataatifu
 
Ni kautani tu.

Nikiwa na maana,

Kuna Njemba inafukuzia.

Na kama ujuavyo kwenye kufukuzia, Mtoto/Mrembo lazima anase/aingie kwenye anga zako
Teh teh teh! Siku zote ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu.
 
Mipango yangu hairuhusu kufanya hivyo so kila napozini naangalia kalenda yake na kama kimeo condom lazma

Miaka 27 hiyo yawez3kana ni mtoto nje ya ndoa kabisaaaa na sijawaza kuwa na mtoto nje ya ndoa nahtaj ndoa ya kikristo na watoto wataatifu
Mkuu mtoto yeyote ni wa halali.haijalishi ni nje au ndani ya ndoa,mtoto ni mpango wa Mungu ,maana anasema nalikujua kabla hujazaliwa
 
Nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na 24yrs old. Thank you God, now this year anamaliza std 7 then nampeleka kwa kipingu akapige soka maana ni mwanasoka na tangu last year alikua timu ya Shule na mwaka huu pia yupo timu ya Shule.
Ni hii mipira ya makaratasi anacheza?
 
Italeta raha kama umejpanga ila nowdayz watu wanatafta mtonyo kwanza kuzaa badae. Na hii itapunguza street children.
Mkuu hata ukizaa kabla ya mtonyo mbona watoto wanasoma na kula na kuvaa vizuri tu? Ishu ya watoto wa mtaani huwa ni mtoto tu na akili yake,kuna watoto wengi tu ambao wazazi wao wanajiweza na hawataki kukaa makwao.na nikuhakikishie tu kwamba wengi wa wale wasio na watoto ndio wasio na hela
 
Mipango yangu hairuhusu kufanya hivyo so kila napozini naangalia kalenda yake na kama kimeo condom lazma

Miaka 27 hiyo yawez3kana ni mtoto nje ya ndoa kabisaaaa na sijawaza kuwa na mtoto nje ya ndoa nahtaj ndoa ya kikristo na watoto wataatifu
Cha ajabu kwa hivi sasa unazini, halafu utakapoOa unataka Mtoto Mtakatifu.

Jamani, jamani, jamani.

Tuwe makini jamani
 
Back
Top Bottom