Miaka 20 ya ulaghai wa CHADEMA kwa wananchi?

Miaka 20 ya ulaghai wa CHADEMA kwa wananchi?

meningitis

Yapo maswali kadhaa ambayo mkuu Meningitis nawe wapaswa kutujibia.

Je kama kweli mnaamini Lowassa ni fisadi papa, kwanini hadi hivi leo mlikuwa hamjamburuza mahakamani kumshitaki kwa tuhuma hizo za ufisadi?

Kama serikali ya CCM ilikuwa na uthubutu wa kuwaburuza mahakanani mawaziri waandamizi akina Basil Mramba na Daniel Yona kwa matumizi mabaya ya madaraka hadi hivi majuzi wanehukumiwa na hivi sasa wapo gerezani, ni kwa nini basi tuhuma za ufisadi wa Lowassa kuhusu Richmond tokea mwaka 2008, serikali ya CCM hadi hivi leo imezimezea?

Ni kwa nini tambo zote za Nape wakati ule kuwa CCM itawavua nagamba wale iliowaita mafisadi papa, ambao ni yeye Lowassa, Rostam na Chenge, CCM ikashindwa kabisa kuwavua magamba hayo hadi mmojawao Chenge akatamba kuwa gamba limeshindwa kuvuka na badala yake limeishia kiunoni?
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini Chadema hawakwenda mahakamani na ile list of shame?huo ndio ulaghai ninaouzungumzia!!
Swali kwako Meningitis.

Kama CCM ilithubutu kuwaburuza mahakamani mawaziri wake waandamizi, akina Basi Mramba na Daniel Yona na hivi sasa wapo gerezani wakiwa tayari wamehukumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka, ni kwa nini basi CCM hiyo hiyo ikashindwa kumburuza mahakamani Lowassa kama kweli inaamini ana tuhuma nzito na za uhakika kwa kosa la ufisadi wa Richmond?
 
Swali kwako Meningitis.

Kama CCM ilithubutu kuwaburuza mahakamani mawaziri wake waandamizi, akina Basi Mramba na Daniel Yona na hivi sasa wapo gerezani wakiwa tayari wamehukumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka, ni kwa nini basi CCM hiyo hiyo ikashindwa kumburuza mahakamani Lowassa kama kweli inaamini ana tuhuma nzito na za uhakika kwa kosa la ufisadi wa Richmond?

Kwa hiyo kwa kuwa ccm haijamburuza mahakamani basi yu msafi!!ndivyo Chadema hii ya leo inataka tuamini hivyo??
Mwisho wa siku mtasema hakuna fedha ya ufisadi iliyohusika na richmond.
 
Atiku Abubakar aligombea kupitia chama cha upinzani sio chama tawala na kumshinda Goodluck Jonathan, Mwai Kibaki alimshinda Uhuru Kenyatta kupitia muungano wa upinzani. Kama hujui kusoma basi jaribu kuona hata picha. Mafisadi ni CCM na mfumo wake, hata wewe ukutoka CCM utakuwa ufisadi-free kama alivyo Lowassa. Ukawa lengo letu ni kuiangusha CCM madarkani ndio maana tunakaribisha yeyote aliye tayari kutusaidia azma hii
 
Piga chin CDM ni chama cha matapeli. Ni chama cha akina Yuda. Zitto walimfukuza ona sasa wao wamekaribisha mwizi

UKAWA ndio gumzo nchini.CCM expiration date imefika inatupwa jalalani
 
Atiku Abubakar aligombea kupitia chama cha upinzani sio chama tawala na kumshinda Goodluck Jonathan, Mwai Kibaki alimshinda Uhuru Kenyatta kupitia muungano wa upinzani. Kama hujui kusoma basi jaribu kuona hata picha. Mafisadi ni CCM na mfumo wake, hata wewe ukutoka CCM utakuwa ufisadi-free kama alivyo Lowassa. Ukawa lengo letu ni kuiangusha CCM madarkani ndio maana tunakaribisha yeyote aliye tayari kutusaidia azma hii

Kibaki alituhumiwa kwa ufisadi?
 
Hata Marekani ilimtumia gaidi Osama Bin Laden kuisambaratisha Urusi. Iwapo Lowassa ana uwezo wa kuisambaratisha CCM ni lazima CDM wamtumie! Lengo ni kuing'oa CCM madarakani! Siasa ni strategy na hii ni fursa nzuri kwa CCM kung'oka hata kama ni kwa mbinu chafu! Mengine baadae!

Kiongoz umenena vzr sana tena sana Hongera
 
Je ni miaka 20 ya ulaghai ya Chadema kwa wananchi?

Je ni miaka 20 ya kuleta chaos nchini?

Je ni miaka 20 ya kubwata majukwaani bila malengo?

Je ni miaka 20 ya matumaini hewa?

Je ni miaka 20 ya kutumiwa na ccm?

Je ni miaka 20 iliyoenda bure?

Je ni miaka 20 inayoishia kwenye usaliti?

Je ni miaka 20 ya uwoga na kutojiamini?

Je ni miaka 20 ya kushindwa na kujisalimisha kwa Mafisadi?

Je ni miaka 20 iliyoshindwa kuwashawishi watanzania?

Je ni miaka 20 ya mazingaombwe?

Au ni miaka 20 ya kuanza kujipanga?

Au ni miaka 20 ya kukosa uvumilivu?

Yako maswali mengi sana yataulizwa in the next 3 months ...!

Majibu ya maswali haya yataonekana octoba 26.

HAKUNA HAJA TENA YA GOLI LA MKONO.

CHADEMA kuanzia sasa ndicho CHAMA cha mafisadi HAKUNA cha mfumo wala nin kitendo cha kumpokea papa wa mafisadi tu ni tafasir tosha kabisa kuwa hamna lolote na humwezi tena kuinyoshea ccm kidole

  • :cheer2:


    :cheer2:
 
Lema alimshutumu lowassa kwa kuua kiwanda cha general tyre leo hii anatuambia tusahau!
 
watanzania tunatakiwa tupimwe Akili kwa kumshangilia huyu fisidi jamani laaaa yaani watu hawaoni haya hata kidogo jamani inaniuma sana hili hambazi kushangiliwa hivi hivi eti safi wakati hao Ndio walio mtoa bungeni mie nafikilia hadi sielewi au labda kwa na kanda moja laaa nitafanya maamuzi magumu siku akija huku kwetu kufanta campaign nitatoa fundisho niingizwe kwenye historia ya tz na dunia laaaa inaniuma tumpe nchi atuuibie tena arudishe zile hela alizotoa makanisani na misikitini hapana sikubali nitatengeneza historia
 
Huwezi kipata slaa kama lowasa kwenye vita alfu ukaikataa
 
watanzania tunatakiwa tupimwe Akili kwa kumshangilia huyu fisidi jamani laaaa yaani watu hawaoni haya hata kidogo jamani inaniuma sana hili hambazi kushangiliwa hivi hivi eti safi wakati hao Ndio walio mtoa bungeni mie nafikilia hadi sielewi au labda kwa na kanda moja laaa nitafanya maamuzi magumu siku akija huku kwetu kufanta campaign nitatoa fundisho niingizwe kwenye historia ya tz na dunia laaaa inaniuma tumpe nchi atuuibie tena arudishe zile hela alizotoa makanisani na misikitini hapana sikubali nitatengeneza historia

Hivi kwanini Vichaa huwa wanadhani wenzao ni vichaa nakukumbuka sana ulipokuwa mgonjwa wetu hapa Lutindi
 
Lema alimshutumu lowassa kwa kuua kiwanda cha general tyre leo hii anatuambia tusahau!

alimaanisha hivi:KOSOA ILI ULE KAMA MWENZAKO,ILA WOTE WACHAKACHUAJI.
Hakuna ukombozi hapo ni kuchezeana akili.
 
Je ni miaka 20 ya ulaghai ya Chadema kwa wananchi?

Je ni miaka 20 ya kuleta chaos nchini?

Je ni miaka 20 ya kubwata majukwaani bila malengo?

Je ni miaka 20 ya matumaini hewa?

Je ni miaka 20 ya kutumiwa na ccm?

Je ni miaka 20 iliyoenda bure?

Je ni miaka 20 inayoishia kwenye usaliti?

Je ni miaka 20 ya uwoga na kutojiamini?

Je ni miaka 20 ya kushindwa na kujisalimisha kwa Mafisadi?

Je ni miaka 20 iliyoshindwa kuwashawishi watanzania?

Je ni miaka 20 ya mazingaombwe?

Au ni miaka 20 ya kuanza kujipanga?

Au ni miaka 20 ya kukosa uvumilivu?

Yako maswali mengi sana yataulizwa in the next 3 months ...!

Majibu ya maswali haya yataonekana octoba 26.

HAKUNA HAJA TENA YA GOLI LA MKONO.

Kama inawezekana kubadilisha mfumo wa utawala kupitia Lowassa nje ya CCM na ndani ya Chadema na Ukawa so much the better! Kuliko kuendelea na mfumo kongwe miaka nenda rudi ni heri kufanya uamuzi mgumu na kilichofanyika ni uamuzi mgumu wenye lengo la kubadilisha/kuboresha mfumo wa utawala. Hivyo, hayo maswali yako hayana mantiki sana kwani kilichoangaliwa ni masilahi mapana ya Watanzania zaidi kuliko mtu au chama. Full stop!
 
Back
Top Bottom