Hii inanikumbusha mpigania uhuru wa Sudan kusini hayati John Garang, aliwaaminisha wa south Sudan kama serikali ya Khartoum ndio adui yao mkubwa, Miaka akahamasisha watu wa kusini wapigane na Khartoum, maelfu walikufa wakiamini maneno yake, baada ya kuitwa na rais na kuahidiwa kuwa makamo wa rais akayafanya kama ya mbowe kurudi kusini na kuwaaminisha wasouth kuwa serikali na Al Bashir haikuwa na tatizo kabisa, baada wiki kadhaa tu alipokuwa makamo wa rais helicopter yake ilitunguliwa na akafa akiwa msaliti kabisa, nafananisha na hawa chadema miaka 22 ya ulaghai inaishia mikononi mwa wale wale maadui wake,