Miaka 20 ya ulaghai wa CHADEMA kwa wananchi?

Miaka 20 ya ulaghai wa CHADEMA kwa wananchi?

meningitis

Mbowe ameua matumaini ya watanzania waliomuamini na kutegemea chadema ingewakomboa kwenye ufisadi. Fedha imemtoa roho! Nayakumbuka sasa maneno ya Lizaboni ,alileta sana habari hii mapema wakauita mpiga ramli!
 
Last edited by a moderator:
Zitto mnafikii yule

Zitto hawezi kuwa mnafiki kuliko Mbowe na Mbatia. Ukiiangalie ile clip ya video aliyoitoa mbele ya wanahabari, sura ya Mbatia ilikuwa imesawijika kabisa kwa uongo aliyokuwa anautoa pale hadharani.
 
Mission ya Chadema ni kuindoa ccm madarakani tu...then what???

Makongoro ni msafi sio fisadi...alitumwa kumuobdoa fisadi mwenye nguvu ndani ya chama tawala na sasa fisadi kaibuka kwa sura ya upinzani ataondolewa tu!

Ukitaka kujua msimamo wangu nisome katika threads zangu utaelewa.Hata hii itafakari na kuielewa halafu jiulize kwa nini iko katika mfumo wa swali!

And CCM should stay, for what... Makongoro sio fisadi.. hana vision...... huo ufisadi wa ,Lowasa ulithibitishwa na nani.... au unasikia ya kuambiwa na wewe unaweka kichwani...... Hii nchi itaongozwa vizuri iwapo CCM watangoka.....

Tunataka wangoke full stop.... by any how.
 
Mimi nazani kuweni makini tuuu mutaelewa chadema hata kikishika nchi baadae tutasema marakumi iendeleee ccm na hii leo mutakataa lakini mutaamini fanyeni mistake mpeni kura lowasa
 
And CCM should stay, for what... Makongoro sio fisadi.. hana vision...... huo ufisadi wa ,Lowasa ulithibitishwa na nani.... au unasikia ya kuambiwa na wewe unaweka kichwani...... Hii nchi itaongozwa vizuri iwapo CCM watangoka.....

Tunataka wangoke full stop.... by any how.
Nani aliyethibitisha ufisadi wa ccm kama systen?

Isitoshe ccm imewashughulikia mafisadi na wale waliotajwa kuwa mafisadi ...nani tumuanini?

Ulaghai una mwisho joo!!
 
CCM haina chakutuambia wananchi zaidi ya kuamini kuwa LOWASA sio fisadi... haiwezekani afanye ufisadi na miaka yote hiyo kupita aachwe tu! hata mahakamani asipelekwe. NIMEAMINI LOWASA HANA TATIZO! Kwa serekali makini chiniya CCM, lazima ange wajibishwa nakufilisiwa! kwakua hilo halijafanyika! lowasa alizushiwa tuu! na watanzania wenye kuelewa tunaamini hivyo... ccm wanajua ukweli kuhusu tuhuma za LOWASA... kama walishindwa kumtumia acha atumiwe na wengine.
 
Chadema watu wanarudisha kadi sasa..u can fool some people sometime, but you cant fool all the people all the times

Msikae Dsm piteni mikoani muone, hamtaamini macho yenu. Watu wamevunja moyo. Mpaka nimeshangaa attitude ya watu ilivyobadilika
 
CCM haina chakutuambia wananchi zaidi ya kuamini kuwa LOWASA sio fisadi... haiwezekani afanye ufisadi na miaka yote hiyo kupita aachwe tu! hata mahakamani asipelekwe. NIMEAMINI LOWASA HANA TATIZO! Kwa serekali makini chiniya CCM, lazima ange wajibishwa nakufilisiwa! kwakua hilo halijafanyika! lowasa alizushiwa tuu! na watanzania wenye kuelewa tunaamini hivyo... ccm wanajua ukweli kuhusu tuhuma za LOWASA... kama walishindwa kumtumia acha atumiwe na wengine.
Kwa nini Chadema hawakwenda mahakamani na ile list of shame?huo ndio ulaghai ninaouzungumzia!!
 
And CCM should stay, for what... Makongoro sio fisadi.. hana vision...... huo ufisadi wa ,Lowasa ulithibitishwa na nani.... au unasikia ya kuambiwa na wewe unaweka kichwani...... Hii nchi itaongozwa vizuri iwapo CCM watangoka.....

Tunataka wangoke full stop.... by any how.

swali lowasa kafisadi nini tumuulize katibu mkuu wa cdm slaa alimtaja mwembeyanga kule.je slaa alituongopea? au pesa inaongea?
 
Chadema mmenunuliwa kwa billion 10 tu Nani asiye jua mkataba wa mbowe edo
 
swali lowasa kafisadi nini tumuulize katibu mkuu wa cdm slaa alimtaja mwembeyanga kule.je slaa alituongopea? au pesa inaongea?[/QUO

Jina la LOWASA lilikuwa langapi kwenye list ya SLAA..... wimbo wa ufisadi mmeuimba sana CCM........ kana kwamba baada ya lowasa kutoka hakukufanyika ubadhirifu wowote....ESCROW, HATI CHAFU ZA KILA WIZARA, zote hizo ni kazi za Lowasa sio.......... hilo chakatunachoma moto soon.....
 
Back
Top Bottom