Miaka 20 ya ulaghai wa CHADEMA kwa wananchi?

Miaka 20 ya ulaghai wa CHADEMA kwa wananchi?

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,829
Je ni miaka 20 ya ulaghai ya Chadema kwa wananchi?

Je ni miaka 20 ya kuleta chaos nchini?

Je ni miaka 20 ya kubwata majukwaani bila malengo?

Je ni miaka 20 ya matumaini hewa?

Je ni miaka 20 ya kutumiwa na ccm?

Je ni miaka 20 iliyoenda bure?

Je ni miaka 20 inayoishia kwenye usaliti?

Je ni miaka 20 ya uwoga na kutojiamini?

Je ni miaka 20 ya kushindwa na kujisalimisha kwa Mafisadi?

Je ni miaka 20 iliyoshindwa kuwashawishi watanzania?

Je ni miaka 20 ya mazingaombwe?

Au ni miaka 20 ya kuanza kujipanga?

Au ni miaka 20 ya kukosa uvumilivu?

Yako maswali mengi sana yataulizwa in the next 3 months ...!

Majibu ya maswali haya yataonekana octoba 26.

HAKUNA HAJA TENA YA GOLI LA MKONO.
 
Hata Marekani ilimtumia gaidi Osama Bin Laden kuisambaratisha Urusi. Iwapo Lowassa ana uwezo wa kuisambaratisha CCM ni lazima CDM wamtumie! Lengo ni kuing'oa CCM madarakani! Siasa ni strategy na hii ni fursa nzuri kwa CCM kung'oka hata kama ni kwa mbinu chafu! Mengine baadae!
 
Ccm Kwisha habari yenu chadema kina dola hats kilete maendeleo tumia akili jaribu hata za kuku
 
Hata Marekani ilimtumia gaidi Osama Bin Laden kuisambaratisha Urusi. Iwapo Lowassa ana uwezo wa kuisambaratisha CCM ni lazima CDM wamtumie! Lengo ni kuing'oa CCM madarakani! Siasa ni strategy na hii ni fursa nzuri ya CCM kufa hata kama ni kwa mbinu chafu! Mengine baadae!
Kwa hiyo CHADEMA baada ya kumtumia Lowassa na kuisambaratisha CCM watakuja kumuua kama Marekani walivyomuua Osama?

Hizi hoja hizi?

Yetu macho na masikio!
 
Ccm leo siku mbaya sana kwenu.Hamuamini macho yenu kama mamvi anaondoka kiulainiiiiiiiii
 
Hatuna haja ya kubishana tukajiandikishe alafu tukutane oktoba .
 
meningitis

Piga chin CDM ni chama cha matapeli. Ni chama cha akina Yuda. Zitto walimfukuza ona sasa wao wamekaribisha mwizi
 
Last edited by a moderator:
meningitis

Mkuu siasa sio kabila, kwamba hubdilika na wakati, hoja za ulaghai unazileta wewe uliekuwa unampigia kampeni makongoro usiku namchana........... amekatwa na amejidhalilisha maana alikuwa nakamilisha mission iliyofel ya kutaka kumuingiza Membe Ikulu........ wapinzani wana kazi moja tu.. kuitoa CCM madarakani..hicho kichaka mlichojificha mtajitokeza wote... mmezoea upinzani dhaifu, mwmembamba..sio mwaka huu... mtaanguka vibaya na mtajuta sana....Yetu macho.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu siasa sio kabila, kwamba hubdilika na wakati, hoja za ulaghai unazileta wewe uliekuwa unampigia kampeni makongoro usiku namchana........... amekatwa na amejidhalilisha maana alikuwa nakamilisha mission iliyofel ya kutaka kumuingiza Membe Ikulu........ wapinzani wana kazi moja tu.. kuitoa CCM madarakani..hicho kichaka mlichojificha mtajitokeza wote... mmezoea upinzani dhaifu, mwmembamba..sio mwaka huu... mtaanguka vibaya na mtajuta sana....Yetu macho.

Mission ya Chadema ni kuindoa ccm madarakani tu...then what???

Makongoro ni msafi sio fisadi...alitumwa kumuobdoa fisadi mwenye nguvu ndani ya chama tawala na sasa fisadi kaibuka kwa sura ya upinzani ataondolewa tu!

Ukitaka kujua msimamo wangu nisome katika threads zangu utaelewa.Hata hii itafakari na kuielewa halafu jiulize kwa nini iko katika mfumo wa swali!
 
Back
Top Bottom