Miaka 20 ya ulaghai wa CHADEMA kwa wananchi?

Miaka 20 ya ulaghai wa CHADEMA kwa wananchi?

swali lowasa kafisadi nini tumuulize katibu mkuu wa cdm slaa alimtaja mwembeyanga kule.je slaa alituongopea? au pesa inaongea?[/QUO

Jina la LOWASA lilikuwa langapi kwenye list ya SLAA..... wimbo wa ufisadi mmeuimba sana CCM........ kana kwamba baada ya lowasa kutoka hakukufanyika ubadhirifu wowote....ESCROW, HATI CHAFU ZA KILA WIZARA, zote hizo ni kazi za Lowasa sio.......... hilo chakatunachoma moto soon.....

Kwa hiyo TIBAIJUKA NA CHENGE MTAWAPOKEA?
 
Nani aliyethibitisha ufisadi wa ccm kama systen?

Isitoshe ccm imewashughulikia mafisadi na wale waliotajwa kuwa mafisadi ...nani tumuanini?

Ulaghai una mwisho joo!!

Ooops...thank you pal, now you came out in your true colors.........CCM ni chaka cha mijizi, miungu watu...
hatukuzaliwa kuongozwa na familia zile zile, fikra zile zile miaka zaid ya 50..tunataka fikra mpya, mfumo mpya, kizaz kipya......LOWASSA ATOSHA............CCM Ilifia DODOMA
 
swali lowasa kafisadi nini tumuulize katibu mkuu wa cdm slaa alimtaja mwembeyanga kule.je slaa alituongopea? au pesa inaongea?[/QUO

Jina la LOWASA lilikuwa langapi kwenye list ya SLAA..... wimbo wa ufisadi mmeuimba sana CCM........ kana kwamba baada ya lowasa kutoka hakukufanyika ubadhirifu wowote....ESCROW, HATI CHAFU ZA KILA WIZARA, zote hizo ni kazi za Lowasa sio.......... hilo chakatunachoma moto soon.....

yule wa 11 ni lowasa yupi? cdm mnakumbatia mafisadi kama wenzenu ccm.cdm hamna utofauti naccm.
 
Ooops...thank you pal, now you came out in your true colors.........CCM ni chaka cha mijizi, miungu watu...
hatukuzaliwa kuongozwa na familia zile zile, fikra zile zile miaka zaid ya 50..tunataka fikra mpya, mfumo mpya, kizaz kipya......LOWASSA ATOSHA............CCM Ilifia DODOMA

Umeelewa ulichokipost?
Fikra mpya ni zipi hasa?
 
Mission ya Chadema ni kuindoa ccm madarakani tu...then what???

Makongoro ni msafi sio fisadi...alitumwa kumuobdoa fisadi mwenye nguvu ndani ya chama tawala na sasa fisadi kaibuka kwa sura ya upinzani ataondolewa tu!

Ukitaka kujua msimamo wangu nisome katika threads zangu utaelewa.Hata hii itafakari na kuielewa halafu jiulize kwa nini iko katika mfumo wa swali!

achana nao,
 
Pamoja na sisi watanzania tuliowengi kua wafuata upepo lkn kuna siku cdm kama chama cha upinzani kinachoaminiwa na wengi kua wapinzani wa kweli, watakuja kupoteza uaminifu wao kwa watanzania kwa tamaa zao za kulazimisha kuingia ikulu, kweli dr. Silaha na cdm yake wamfungulie kesi makufuli eti fisadi na bwana mamvi awe mtaktifu, kweli? eti tumemsamehe dhambi, nyie km nani? izo fedha alizodaiwa kuchota richimondi amezirudisha kwa sisi maskini walala hoi? anasamehewaje labda kwa mfano?
 
Ooops...thank you pal, now you came out in your true colors.........CCM ni chaka cha mijizi, miungu watu...
hatukuzaliwa kuongozwa na familia zile zile, fikra zile zile miaka zaid ya 50..tunataka fikra mpya, mfumo mpya, kizaz kipya......LOWASSA ATOSHA............CCM Ilifia DODOMA

unazani ni mashindano ya kubadirisha stemp katam? wenzio wamesoma alama za nyakati wakaona mwaka huu hawana chao wakabii wamuuzie mbuzi kwenye gunia lowasa, wewe eti kuongozwa na familia hilehile
mwaka huu ni ushindani kati ya ccm A na ccm B,
 
And CCM should stay, for what... Makongoro sio fisadi.. hana vision...... huo ufisadi wa ,Lowasa ulithibitishwa na nani.... au unasikia ya kuambiwa na wewe unaweka kichwani...... Hii nchi itaongozwa vizuri iwapo CCM watangoka.....

Tunataka wangoke full stop.... by any how.

Kwani wakati Dr slaa anawataja mafisadi pale mwembe Yanga mahakama gani ilithibitisha ufisadi wa Lowasa, JK na wengine?
 
Rest in peace CCM

Happy birthday Tanzania

Naona JF imegeuka stress release hub,,,,are you serious kuwa kwa CHADEMA/UKAWA kumpokea mtu mwenye makandokando ndio utakuwa mwisho wa CCM? Unadhani watanzania ni wapumbavu kiasi hicho? Tafadhali never underestimate watanzania bwana. Kaburi mlilojichimbia ndimo mtakamozikiwa.

Otherwise let's go betting tukutane baada ya election date hapa. Embu Invisible njoo unipatie modality ya ku-bet na huyu kijana.Kwangu mimi rais ajaye ni John Pombe Magufuli maana upinzani ni kama wameshamsimika rasmi na hakuna cha kulialia kuhusu system this time around.
 
Last edited by a moderator:
Ukawa wamenikumbusha wale fisi watatu kwenye lion king movie

Wao ukiwatupia paja la nyama wako tayari hata kumuua Mufasa na simba ili Scar atawale

Scar alipoona hawezi kua mfalme tena baada ya simba kuzaliwa akaamua kujiunga na mafisi wenye njaa. Alipowaambia nia yake kwanza walikataa, lakini alipowarushia paja la punda milia walipiga saluti na kutoa tamko kama chadema

Hawa characters hawatofautiani sana na ukawa. Unawarushia paja la nyati tu wenyewe wataanza kushindana nani awe wa kwanza kutoa tamko kua EL kaungana nao

Atakurupuka Lema Mbio kusema wanapokea kigogo

Lisu nae mbio kumsafisha EL

Na wengine wengi tu

Lakini tusubiri baada ya uchaguzi
 
attachment.php


Picha yangu ya siku poleni sana m iCCM
 
Kwa nini Chadema hawakwenda mahakamani na ile list of shame?huo ndio ulaghai ninaouzungumzia!!

sasa wewe, naye au ndio kupagawa???!! chadema siku hizi anapeleka watu mahakamni!! Nyie kama mlimlea kwa kushindwa kumpeleka mahakamani, imekula kwenu, na kwa sasa ni too late, Mbona mmepagawa hivyo??
 
Ooops...thank you pal, now you came out in your true colors.........CCM ni chaka cha mijizi, miungu watu...
hatukuzaliwa kuongozwa na familia zile zile, fikra zile zile miaka zaid ya 50..tunataka fikra mpya, mfumo mpya, kizaz kipya......LOWASSA ATOSHA............CCM Ilifia DODOMA
lowasa mnamkubali nyie tu wa kaskaz,zaidi ya hapo hakubaliki popote afadhali hata cdm ya kina slaa ilikua inakubalika sehemu kibao,poleni ccm ni baba wa siasa africa.
 
Shiiiiii ....baada ya kuandika yote hayo umesahau kimoja..
"Ni miaka 20 ya kuing'oa ccm" sasa inaenda kutimia
 
Kwa hiyo CHADEMA baada ya kumtumia Lowassa na kuisambaratisha CCM watakuja kumuua kama Marekani walivyomuua Osama?

Hizi hoja hizi?

Yetu macho na masikio!

Asante sana mkuu. Jamii forums inahitaji watu wawe wepesi kufikiri kabla ya kuandika.

Kwanza Marekani na Urusi ni mataifa mawili tofauti. Hapa tunaongelea Tanzania ya watanzania wenyewe
 
Back
Top Bottom