meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
- Thread starter
- #61
swali lowasa kafisadi nini tumuulize katibu mkuu wa cdm slaa alimtaja mwembeyanga kule.je slaa alituongopea? au pesa inaongea?[/QUO
Jina la LOWASA lilikuwa langapi kwenye list ya SLAA..... wimbo wa ufisadi mmeuimba sana CCM........ kana kwamba baada ya lowasa kutoka hakukufanyika ubadhirifu wowote....ESCROW, HATI CHAFU ZA KILA WIZARA, zote hizo ni kazi za Lowasa sio.......... hilo chakatunachoma moto soon.....
Kwa hiyo TIBAIJUKA NA CHENGE MTAWAPOKEA?