Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,452
- 2,220
Fikra finyu sana hz.. Hata hayo majina ya waarabu na wazungu bado nayo yana udini mwingi...!! Majina haya ya afrika kwanza yalikuwa yanasaidia mtu kujua ametokea wapi ili hata ukipata tatzo watu wanajua wapi watapata ndugu zako.Siyataki ya kifala sana yanaleta ukabila ukitaja tu unajulika unatokea kabila gani siji kumpa mwanangu hayo majina sijui kindamba ndo nn Sasa masumbuko ona na hili
Nimetaja jina somewhere HR enzi izo anakaniambia we ni kabila fulani unatokea sehemu fulani na ni kweli yeye ni mchaga hpo nikakosa job akapewa mwenye jina la macha niliomba nae pamoja pia tulikuwa marafiki tulimaliza wote
Sasa hv unaweza ukatoka dar mwanza utaenda dar na ww ni msukuma na usijue ndugu yako wala usipate mtu wa kukusaidia kwasbb kila mtu ana jina la slave master wake. Alafu kingine inabidi ujifunzr historia ktk mlengo wa waafrika pia na sio huo mlengo wa wazungu unakuaminisha eti waafrika wanaukabila ukabila uliletwa na wakoloni kwania kuintroduce pinciple ya divide and rule...mfno ni watusi na wahutu mfaransa ndio aliyeanzisha ukabila kwa kuwafanya kabila moja kuwapa hadhi na jingine kulishusha