Miaka 20 ijayo, majina ya Asili Tanzania yatakuwa yamefutika kabisa

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,289
16,973
Miaka 20 ijayo majina ya Asili Tanzania ya makabila kama Ngonyani, Mkude, Kimaro, Haule, Maduhu, Mwita, Wambura, Mabada, Sumari, Kiondo nk yatakua ni ya kuhesabu ana ni ya kutafuta ama yatakua yameisha kabisa.

Leo 95% ya watoto wanaozaliwa majini ni James, John, Abdalah, Mohamed, Abdrazak, Jayden, Johnson, Beatus, Julius, julieth, Jayna, Jasmine, Chris, nk nk.

Wazazi wa siku hizi unakuta kabisa wanauliza eti naomba jina zuri la mtoto wa kike, naomba jina zuri la mtoto wa kiume halafu mapendekezo yanayotolewa huwezi kukuta jina la asili hata moja.

Uzungu, ulimbukeni na ushamba utafuta kabisa majina ya asili ya wazee wetu wa zamani, watasahaulika kabisa.

Mimi binafsi sijawahi kuona ni wapi dini inalazimisha kwamba ni lazima mtu abatizwe kwa majina ya kizungu ama ya jamii nyingine, sasa sijui hii ya kwetu inatoka wapi.

Nashindwa kuelewa, kwamba nikibatizwa John ndio Mungu anapenda ila nikibatizwa Majura Mungu hapendi ama ni nini? Mungu anafanyia nini jina langu?
 
Mimi ni wakwanza sitak kumpa mtoto wangu jina la kurithi kabisa ntampa hayohayo yanayoonekana yakizungu, mimi nina jina la kurithi linanitesa balaaa mizimu hainishi nipo napambana na maombez kanisani kwasabu sitaki uganga na wenzangu wenye hilo jina karibu wanne wamekua waganga kisa ni hilohilo jina lol
 
Ukimwita muhamad si ndio umerithi mila za waarabu tena mtu usiyemfahamu?

Ni bora umtaje jina la kurithi la mtu unayemfahamu
Mimi ni wakwanza sitak kumpa mtoto wangu jina la kurithi kabisa ntampa hayohayo yanayoonekana yakizungu, mimi nina jina la kurithi linanitesa balaaa mizimu hainishi nipo napambana na maombez kanisani kwasabu sitaki uganga na wenzangu wenye hilo jina karibu wanne wamekua waganga kisa ni hilohilo jina lol
 
Tuache utani jina lazima liwe na flavour unapolitamka na sio kufata kigezo cha maana ya jina.

Mi najiukiza kwanini majina yetu ya asili yote yawe yana sound vibaya, kwanini hatukuwa na ubunifu wa kufanya majina ya kiasili yawe na flolavojr nzuri kuwa attract hata wageni?

Nenda mbeya kule utakutana na kina Tuntufye, Mponjoli, Mwakitwange, asumwisye, Yalileni, Lipungo, Kibweja nk

Kama ni wazee hiyo inakuwa imekaa fresh kwao, ila kama ni vijana basi 85% hawafurahii majina yao

Kuna jamaa nilisoma naye alikuwa anaitwa "Tuombe" baada ya shuke tukapotezana siku nayokutana naye nikaskia washkaji zake wanamuita Jerady

Sikutaka kumuuliza ila alipoona nimrpigwa bumbuwazi akaniambia usishangae nishabadili jina nikasema freshi.
 
Mimi ni wakwanza sitak kumpa mtoto wangu jina la kurithi kabisa ntampa hayohayo yanayoonekana yakizungu, mimi nina jina la kurithi linanitesa balaaa mizimu hainishi nipo napambana na maombez kanisani kwasabu sitaki uganga na wenzangu wenye hilo jina karibu wanne wamekua waganga kisa ni hilohilo jina lol
Hakuna cha mizimu ila hayo majina yana sound nasty

Bora ujiite xiang ping kuliko Atupele Mwakaboko
 
Miaka 20 ijayo majina ya Asili Tanzania ya makabila kama Ngonyani, Mkude, Kimaro, Haule, Maduhu, Mwita, Wambura, Mabada, Sumari, Kiondo nk yatakua ni ya kuhesabu ana ni ya kutafuta ama yatakua yameisha kabisa.

Leo 95% ya watoto wanaozaliwa majini ni James, John, Abdalah, Mohamed, Abdrazak, Jayden, Johnson, Beatus, Julius, julieth, Jayna, Jasmine, Chris, nk nk.

Wazazi wa siku hizi unakuta kabisa wanauliza eti naomba jina zuri la mtoto wa kike, naomba jina zuri la mtoto wa kiume halafu mapendekezo yanayotolewa huwezi kukuta jina la asili hata moja.

Uzungu, ulimbukeni na ushamba utafuta kabisa majina ya asili ya wazee wetu wa zamani, watasahaulika kabisa.

Mimi binafsi sijawahi kuona ni wapi dini inalazimisha kwamba ni lazima mtu abatizwe kwa majina ya kizungu ama ya jamii nyingine, sasa sijui hii ya kwetu inatoka wapi.

Nashindwa kuelewa, kwamba nikibatizwa John ndio Mungu anapenda ila nikibatizwa Majura Mungu hapendi ama ni nini? Mungu anafanyia nini jina langu?
Mkuu dp yako utata mtupu
 
Mimi ni wakwanza sitak kumpa mtoto wangu jina la kurithi kabisa ntampa hayohayo yanayoonekana yakizungu, mimi nina jina la kurithi linanitesa balaaa mizimu hainishi nipo napambana na maombez kanisani kwasabu sitaki uganga na wenzangu wenye hilo jina karibu wanne wamekua waganga kisa ni hilohilo jina lol
Hayo kama yapo kwenu hata wote mkija kujiita majina ya kizungu yatakuja tu......huwezi kimbia asili yako
 
Miaka 20 ijayo majina ya Asili Tanzania ya makabila kama Ngonyani, Mkude, Kimaro, Haule, Maduhu, Mwita, Wambura, Mabada, Sumari, Kiondo nk yatakua ni ya kuhesabu ana ni ya kutafuta ama yatakua yameisha kabisa.

Leo 95% ya watoto wanaozaliwa majini ni James, John, Abdalah, Mohamed, Abdrazak, Jayden, Johnson, Beatus, Julius, julieth, Jayna, Jasmine, Chris, nk nk.

Wazazi wa siku hizi unakuta kabisa wanauliza eti naomba jina zuri la mtoto wa kike, naomba jina zuri la mtoto wa kiume halafu mapendekezo yanayotolewa huwezi kukuta jina la asili hata moja.

Uzungu, ulimbukeni na ushamba utafuta kabisa majina ya asili ya wazee wetu wa zamani, watasahaulika kabisa.

Mimi binafsi sijawahi kuona ni wapi dini inalazimisha kwamba ni lazima mtu abatizwe kwa majina ya kizungu ama ya jamii nyingine, sasa sijui hii ya kwetu inatoka wapi.

Nashindwa kuelewa, kwamba nikibatizwa John ndio Mungu anapenda ila nikibatizwa Majura Mungu hapendi ama ni nini? Mungu anafanyia nini jina langu?
Hata hivyo hakuna faida ya majina ya asili wala majina ya kigeni.

So uamuzi ni wa mtu.

Nina mpango wa mwanangu mmoja nimuite "PUTIN"
 
Mimi ni wakwanza sitak kumpa mtoto wangu jina la kurithi kabisa ntampa hayohayo yanayoonekana yakizungu, mimi nina jina la kurithi linanitesa balaaa mizimu hainishi nipo napambana na maombez kanisani kwasabu sitaki uganga na wenzangu wenye hilo jina karibu wanne wamekua waganga kisa ni hilohilo jina lol
Kwanza jina gan pili mizimu ni baba zako mama zako na ndugu zako waliokufa ambao siku ukifa utaenda kuungana nao hukoo usipotoshwe na din ya mzungu iliyokuja kimaslai mizimu na mungu ni kitu kimoja. Kabla ya din ilikuepo din imeikuta mizimu din inakataza mizimu sababu inapingana na maslai yao niliwai kushuudia kanisa moja la kiroho likipiga marufuku waumin kununua vitu kama maji soda na wafanyabiashara wakafukuzwa kisa waumin watakua hawatoi sadaka hii ndio maslai ya din
 
Duuh,ndiyo tatizo la watu wanaoidharau HISTORY,unapoteza asili yako huku unachekelea!!


QUOTE="safuher, post: 42544488, member: 537940"]
Hata hivyo hakuna faida ya majina ya asili wala majina ya kigeni.

So uamuzi ni wa mtu.

Nina mpango wa mwanangu mmoja nimuite "PUTIN"
 
Mimi ni wakwanza sitak kumpa mtoto wangu jina la kurithi kabisa ntampa hayohayo yanayoonekana yakizungu, mimi nina jina la kurithi linanitesa balaaa mizimu hainishi nipo napambana na maombez kanisani kwasabu sitaki uganga na wenzangu wenye hilo jina karibu wanne wamekua waganga kisa ni hilohilo jina lol
Kweli,basi badilisha Hilo jina nashauri uitwe Elon Musk ili urithi utajiri badala ya hili jina la kurithi majini la kiafrika.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza jina gan pili mizimu ni baba zako mama zako na ndugu zako waliokufa ambao siku ukifa utaenda kuungana nao hukoo usipotoshwe na din ya mzungu iliyokuja kimaslai mizimu na mungu ni kitu kimoja. Kabla ya din ilikuepo din imeikuta mizimu din inakataza mizimu sababu inapingana na maslai yao niliwai kushuudia kanisa moja la kiroho likipiga marufuku waumin kununua vitu kama maji soda na wafanyabiashara wakafukuzwa kisa waumin watakua hawatoi sadaka hii ndio maslai ya din
We amini unavyoamini na mie niache! Siwezi kuabudu mtu aliyekufa ambaye anataka kila mwaka nimwage dam sijui niague mtu! Niache ustarabu wa kuvaa sut na baibui nivae kaniki?
 
Miaka 20 ijayo majina ya Asili Tanzania ya makabila kama Ngonyani, Mkude, Kimaro, Haule, Maduhu, Mwita, Wambura, Mabada, Sumari, Kiondo nk yatakua ni ya kuhesabu ana ni ya kutafuta ama yatakua yameisha kabisa.

Leo 95% ya watoto wanaozaliwa majini ni James, John, Abdalah, Mohamed, Abdrazak, Jayden, Johnson, Beatus, Julius, julieth, Jayna, Jasmine, Chris, nk nk.

Wazazi wa siku hizi unakuta kabisa wanauliza eti naomba jina zuri la mtoto wa kike, naomba jina zuri la mtoto wa kiume halafu mapendekezo yanayotolewa huwezi kukuta jina la asili hata moja.

Uzungu, ulimbukeni na ushamba utafuta kabisa majina ya asili ya wazee wetu wa zamani, watasahaulika kabisa.

Mimi binafsi sijawahi kuona ni wapi dini inalazimisha kwamba ni lazima mtu abatizwe kwa majina ya kizungu ama ya jamii nyingine, sasa sijui hii ya kwetu inatoka wapi.

Nashindwa kuelewa, kwamba nikibatizwa John ndio Mungu anapenda ila nikibatizwa Majura Mungu hapendi ama ni nini? Mungu anafanyia nini jina langu?
Umechanganya habari... Sirnames hazitapotea ndugu. Kule ungonini, NGONYANI, HAULE etc ni majina ya ukoo na mara nyingi hayo huwa siyo first names... Hivyo hata mwanao umwite BLACKSMIRTH, bado ataitwa BLACKSMIRTH NGONYANI, au BLACKSMIRTH HAULE etc...!! Majina yatakayopotea ni yale ya asili na ni majina ya kwanza...
 
Mimi ni wakwanza sitak kumpa mtoto wangu jina la kurithi kabisa ntampa hayohayo yanayoonekana yakizungu, mimi nina jina la kurithi linanitesa balaaa mizimu hainishi nipo napambana na maombez kanisani kwasabu sitaki uganga na wenzangu wenye hilo jina karibu wanne wamekua waganga kisa ni hilohilo jina lol
Mizimu ni imani iliyoujaza moyo, nafsi na akili yako..!!
 
Xiang Ping kwako ndio ina sound good kuliko Atupele Mwakaboko,

Athari za Utumwa zitaishi milele kwa Waafrica
Vizuri lazima vipendwe na vilivyo vibaya lazima visemwe

Ungependa kutunza misingi ya kiafrika basi leo hii kama we ni mwanamke hukupaswa kuvaa nguo

Ulitakiwa uwe umevaa magome ya miti na ukiyaacha matiti wazi
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom