Kuna shughuli yoyote rasmi itayofanyika kusherehekea hili jambo?
Mie nilikuwa Darhtwire na bcstimes.com miaka hiyo hongera sana JF
Kule Bcstimes na Darhotwire tulikua wengi.Kumbe nawe ni mkongwe kwenye haya mambo eh..
kumbe ni wengi tumepata life partners humu. hongera sana.I thank God for Jf. Nilianza kuisoma 2009 ila nikajiunga mwaka 2010... Frankly imenipa mafanikio sana... Mke wangu nilikutana naye love connect. Nimepata marafiki...
Long live Jf na ofcourse haiwezi kufa... I have beautiful mama watoto beside me from Jf.
Hata mimi nilikuwa dar hotwire n akina mzee mwanakijiji,zeze,supergal,jeansal,papa k,mume wangu n.k kulivyosuasua tukasikia hii kitu tukahamia kiukweli kijiwe kilikuwa murua sana. Dar hotwire kama ilikufa kizembe ilikuwa na majukwaa mazuri sana sijui ilikuwaje.Mimi nilikuwa darhotwire....kule kulikuwa na jukwaa linaitwa 'mapenzi mahusiano na urafiki' 'MMU'
kipindi hiko hata Jamboforums ilikuwa inavuma kwa siasa
kule darhotwire mtu akileta siasa tu anaambiwa 'nenda jamboforums'
tuondolee siasa
ukiingia Jamboforums kulikuwa hakuna jukwaa la MMU bado
mtandao mwingine ulikuwa eastafrican.com kama sikosei...
ilipoanza kufa darhotwire ndo tukahamia huku wengine
na jukwaa la MMU huku likaanzishwa
Moja ya kitu nakumbuka ni jinsi 'wapwaz' walivyoilazimisha JF ianzishe jukwaa la chit chat
kwa tabia ya kuanzisha story hasa kwenye thread ya mtu MMU
nina memory nyingi sana JF....
it has been fun....a lot of fun.....na kujifunza mengi.....
Hata mimi nilikuwa dar hotwire n akina mzee mwanakijiji,zeze,supergal,jeansal,papa k,mume wangu n.k kulivyosuasua tukasikia hii kitu tukahamia kiukweli kijiwe kilikuwa murua sana. Dar hotwire kama ilikufa kizembe ilikuwa na majukwaa mazuri sana sijui ilikuwaje.
Nilikuwa natumia jina hili hili ndgUlikuwa unatumia jina gani kule?