Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Assimilado Zakumi, Evolue Ngabu, Civilado Mkandara na wadau wengine wa historia ya 'Miafrika ndivyo Tulivyo' karibuni kwenye mjadala mpana wa historia ndefu ('long duree') ya siasa uchumi ya Mwafrika. Historia hii inaanza na mwanadamu wa kwanza. Dhahania kuu (ambayo mnaweza kuipinga) ni kwamba hapo mwanzo wanadamu wote waliumbwa sawa na walikuwa katika kiwango kimoja cha maendeleo. Sasa ni lini/wapi 'miafrika' ilipigwa teki/bao, yaani ikazidiwa, na 'mizungu? Kwa nini?
Ufuatao ni mstari wa muda wa kihistoria (historical time line) ambao utatumia kalenda ya Kiafrika, Kiislamu na Kikristo. Tuunganishe hivyo vidoti hapo chini. Humo ndipo kuna siri ya kupigwa bao. Pia kuna ufunguo wa kuwanusuru Waafrika tulioporomoka (regress/mutate) kutoka kuwa 'Wana wa Adamu' na kuwa 'Wana wa Nyani', yaani, kutoka kuwa 'watu' na kuwa 'wanyama' na kutoka kuwa 'Waafrika' na kuwa 'Miafrika'!
6000BC: Adamu (Mwafrika?)
...
2000+ BC: Nimrod the Mighty
...
2900+BC: Farao Menes wa Misri
....
1000+ BC: Makeda, Queen of Sheba
....
0-AD: Simoni Mkirene
...
1000+ AD: Mansa Mussa
...
1500+AD: Queen Nzinga
...
1800+AD: Shaka the Great
...
2000+AD: Nyani Ngabu (Jiafrika?)
...
Ufuatao ni mstari wa muda wa kihistoria (historical time line) ambao utatumia kalenda ya Kiafrika, Kiislamu na Kikristo. Tuunganishe hivyo vidoti hapo chini. Humo ndipo kuna siri ya kupigwa bao. Pia kuna ufunguo wa kuwanusuru Waafrika tulioporomoka (regress/mutate) kutoka kuwa 'Wana wa Adamu' na kuwa 'Wana wa Nyani', yaani, kutoka kuwa 'watu' na kuwa 'wanyama' na kutoka kuwa 'Waafrika' na kuwa 'Miafrika'!
6000BC: Adamu (Mwafrika?)
...
2000+ BC: Nimrod the Mighty
...
2900+BC: Farao Menes wa Misri
....
1000+ BC: Makeda, Queen of Sheba
....
0-AD: Simoni Mkirene
...
1000+ AD: Mansa Mussa
...
1500+AD: Queen Nzinga
...
1800+AD: Shaka the Great
...
2000+AD: Nyani Ngabu (Jiafrika?)
...