kulia nacho ni kipaji
wewe tena hahaaaaaaa
kulia nacho ni kipaji
mtoa mada?kwenye title unatuuliza na sisi kama tumelia?kwenye kisa chako au vya kwetu?wengine tunalizwa kwa maraha sio karaha!
ulikosea! Je unadhani umewaachanisha?
Mwaga Story sasa maana hii inaleta uchungu na Simanzi tunaisubiri au mpaka kesho?Yalishatokea mengi zaidi ya hayo
Mwanaume unalia lia,kama toto!!
Mwaga Story sasa maana hii inaleta uchungu na Simanzi tunaisubiri au mpaka kesho?
maana User wanatosha kukupeleka hadi alfajiri
There are currently 50 users browsing this thread. (7 members and 43 guests)
mtoa mada?kwenye title unatuuliza na sisi kama tumelia?kwenye kisa chako au vya kwetu?wengine tunalizwa kwa maraha sio karaha!
Halafu ikaweje? baada ya kumpelekea huo mshikaki wa simu yake, maana lazima angekushangaa kwani mawasiliano yaliendelea kwa handset ingineMh..
Naogopa kupenda tena!
Halafu ikaweje? baada ya kumpelekea huo mshikaki wa simu yake, maana lazima angekushangaa kwani mawasiliano yaliendelea kwa handset ingine
Hebu mwaga hako kaTrue Story
Duuu kweli ulipenda Mkuu,sasa na wewe uliona kabisa huyo mwanamke ana buzi we ulijiingizia nini au ulikuwa naye kabla,pole rudisha moyo nyuma date mwingine ila kwa maobi upate mke mwema,je wewe ulishawahi kumfanyia ubaya mwanamke mwingine yoyote ,maana malipo ni hapa duniani??
Duu ushasema ni marehem ya nini kuja kumchambua hapa??
Let her rest in peace cz kuendelea kuhold mabaya na machungu ni sign tosha hujamsamehe na even if alitubu before hajakata kauli its obviouz msamaha wake uko pending bcz of u
Let the rain wash awayyy al the pain of yesterdayyyyyy......
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Duu ushasema ni marehem ya nini kuja kumchambua hapa??
Let her rest in peace cz kuendelea kuhold mabaya na machungu ni sign tosha hujamsamehe na even if alitubu before hajakata kauli its obviouz msamaha wake uko pending bcz of u
Let the rain wash awayyy al the pain of yesterdayyyyyy......
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums