trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo ulifikiri wameachana kweli?
Pole!
Nilidhani nimepata mwenza wa maisha yangu wajua...
Ila ndoa ilifungwa K'nyama Luth.
Kifupi nilipatikana..
Kwa hiyo ulifikiri wameachana kweli?
Pole!
he he he he
Chai Chungu style. Pole kwa kudhani mkwara wako ungewaachanisha.
Kumbuka kuwa walikwishaachana na ndio maana hakuona taabu kukujulisha kuwa wapo mahali pale,hata hivyo mzee aliyekuwa anakula mali zako alikuwa na mkewe,tatizo lilikuwa wapi?
Ilifaa umuamini mwenza wako kwa wakati ule maana kilichokuwa akilini kwake si ngono zembe bali ndoa na alitaka uamini kuwa hakuwa na mahusiano tena na yule mzee.
Hizi staili za siku hizi za kuvuta uzi.............kazi kwelikweli
Mkuu Bujibuji umenichekesha sana,jamaa alidhani mzee kaitwa kuona anachonunua ili nae aongezee.
hivi mitambo ya analogia si imezimwa dar yote?? naona kuna watu bado wanatumia kinyemela..
Nilidhani nimepata mwenza wa maisha yangu wajua...
Ila ndoa ilifungwa K'nyama Luth.
Kifupi nilipatikana..
Bora useme wewe mdada!
Sasa hivi hujapatikana?