Mi nililia kwa hasira,wewe je??

Mi nililia kwa hasira,wewe je??

unatakiwa kumuamini now kwani alivyo kuonyesha alifanya vibaya hadi ukalia au kilicho kuliza kitu gani au ulihikwa na hasira baada ya kumuona aliye kua anachomeka dushelele ndani yako

Nilifanya hayo yote, tena kwa moyo wote...
Kulia nadhani kwa hisiakuwa huenda wakawa bado walikuwa wanawasiliana..
 
eeenh pole sana mkuu!

haya endelea mwaya manake naona umekuja na za kijedajeda kama wakina fulani humu............
 
eeenh pole sana mkuu!

haya endelea mwaya manake naona umekuja na za kijedajeda kama wakina fulani humu............

Fuatilia pages mkuu Paloma nimefunguka kwa kirefu...
 
Last edited by a moderator:
Hapa jamaa yangu umenikumbusha zile Story za 2013 za akina CHAI CHUNGU
Kipindi nambembeleza aniachie,tulipata kukaa baa moja First and Last ,Chang'ombe,Dar. Ndiyo ikapaki ballon nyeupe. akatoka mama ni mzee,hana mfano!
Maana km hapa umetuacha hewani, na ili kupata majibu ni lazima usiondoke ili tujue hilo liMama la wapi

Tulipendana,tena sana,sema alikuwa anadai hawezi kumuonya au kumforce waachane mtu ambaye hajagombana naye..
Hapana ,aliaga dunia,miaka 2 iliyopita.
Naamini ni True Story pole sana ila sasa ni yupi utakuwa naye? na acha kuwachunguza kuku wakati wa na meno 32, huko nyuma hukua nae ndipo utaishi kwa amani

Acha ya hayo ya kabla ya ndoa,baada ya hapo pia,duh... siwezi kuelezea. yanahitaji uzi wake..
Malizia kwanza uzi huu halafu uulete mwingine kwa style ya kina CHAI CHUNGU unapiga halafu unazama lazima utafunga mabehewa maana siku hizi hatutaki mikanda wa CD /DVD ni True Story zenu
 
Last edited by a moderator:
Yaani hicho ndicho kikulize? kwanini asitabasamu wakati alikuwa anakula hela ya Mhandisi.
 
Kifupi Ukwaju hayo ni majibu niliyowapa members ... Waliokuwa wanafuatilia hii stori...
Kuna aliyedai ungemchukua mkewe kama kulevel the matter..
Ndo nikamjibu ni mama mzee sana.
 
Last edited by a moderator:
Ukwaju , nashukuru kwa ushauri,ni kweli ukimchunguza kuku,hutamla.. Sema tulipendana,akiona ana stori ya kushare na mimi,kwanza ananiomba radhi..anahadithia.. basi stori inakuwa inauma haina mfano!
Maana ni mambo aliyoyapitia kabla ya kuwa na mimi...
 
Last edited by a moderator:
Yaani hicho ndicho kikulize? kwanini asitabasamu wakati alikuwa anakula hela ya Mhandisi.

Tena ana baloon,ana pickup 2.8,ana ghorofa analoishi na mkewe na wanae..
Acha tu...
Na hiyo naongelea ni miaka ya 2003/2004 ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom