trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
- Thread starter
- #121
Watu tunatofautiana kufikili aisee, mimi nililie mwanamke? Unambembeleza mwanaume mwenzio akuachie? Huyo ni mwanamke tena? Oooops!!!!!!
Alikuwa na nguvu ya soko mkuu... Gari 3,baloon na pickup 2,2.8 moja na hilux. Ana ghorofa maeneo ya sabasaba grounds..Na ni miaka ya mwanzo baada ya mwaka 2000 . Na hawakuwahi kugombana mind you...
Pia kama hujawahi kupenda, hiki kisa hutakielewa Jakubumba ..
Last edited by a moderator: