Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,204
- 162,774
Mhudumu wa kitengo cha kuhifadhi maiti cha Hospitali ya Rufaa Mbeya,Eugene Vurugu amemtishia naibu waziri wa afya,Dr.Saif Rashid kuwa ikitokea amefariki akiwa mkoani Mbeya,basi maiti yake italazwa sakafuni kutokana na uhaba wa majokufu ya kuhifadhi maiti katika kitengo hicho.
Mhudumu huyo alisema kitengo hicho kina majokofu sita na hulazimika kuhifadhi maiti kwa zamu ili angalau maiti zisiharibike.
"Hata wewe Waziri ukifa leo,hakuna pa kukuweka.Utawekwa sakafuni kusubiri maiti nyingine zipoe halafu utaingizwa ndani kwa kuingizwa maiti mbili kwenye eneo la mtu mmoja"alisema Vurugu.
CHANZO:Mwananchi
MY TAKE:
Mfanyakazi huyu atasalimika kweli kwa kumwambia waziri ukweli huu hadharani?
Huyu mtumishi anastahili kupandishwa cheo kwa ujasiri wake wa kutetea mazingira mazuri ya kazi.
Mhudumu huyo alisema kitengo hicho kina majokofu sita na hulazimika kuhifadhi maiti kwa zamu ili angalau maiti zisiharibike.
"Hata wewe Waziri ukifa leo,hakuna pa kukuweka.Utawekwa sakafuni kusubiri maiti nyingine zipoe halafu utaingizwa ndani kwa kuingizwa maiti mbili kwenye eneo la mtu mmoja"alisema Vurugu.
CHANZO:Mwananchi
MY TAKE:
Mfanyakazi huyu atasalimika kweli kwa kumwambia waziri ukweli huu hadharani?
Huyu mtumishi anastahili kupandishwa cheo kwa ujasiri wake wa kutetea mazingira mazuri ya kazi.