ALLEX JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 2,006 Reaction score 346 Aug 29, 2011 #1 hebu niambieni hapa mbona wametaharuki....
Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,701 Reaction score 6,936 Aug 29, 2011 #2 ALLEX said: View attachment 36150hebu niambieni hapa mbona wametaharuki.... Click to expand... Mimi nimetaharuki tu na avatar yako!!
ALLEX said: View attachment 36150hebu niambieni hapa mbona wametaharuki.... Click to expand... Mimi nimetaharuki tu na avatar yako!!
Aggrey86 JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 853 Reaction score 155 Aug 29, 2011 #3 Mmmmh! Ngoja kwanza mambo mengine jamani raha sanaaaaaaa!
Gama JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 13,264 Reaction score 4,744 Aug 29, 2011 #4 Nitarudi keshokutwa.
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Aug 29, 2011 #5 Aahahahaha!!!!. Hata mimi pia nimetaharuki.
ALLEX JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 2,006 Reaction score 346 Aug 29, 2011 Thread starter #6 gama said: nitarudi keshokutwa. Click to expand... idd njema
Daffi Jr JF-Expert Member Joined Jun 25, 2011 Posts 3,824 Reaction score 909 Aug 29, 2011 #7 Gama said: Nitarudi keshokutwa. Click to expand... <br /> <br /> Baada ya idd siyo?karibu,msalimie sana shemeji,mwambia naja idd,aniandalie mahanjumanti!
Gama said: Nitarudi keshokutwa. Click to expand... <br /> <br /> Baada ya idd siyo?karibu,msalimie sana shemeji,mwambia naja idd,aniandalie mahanjumanti!
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Aug 29, 2011 #8 Huu si mwezi mtukufu. Wanafanya nin hawa?
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,317 Reaction score 1,485 Aug 29, 2011 #9 mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.......................
Hute JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 6,537 Reaction score 6,482 Aug 31, 2011 #10 ina maana gani ii, mwanamke haangalii sura hata kama utakuwa na pua kama kirungu anachoangalia ni hapo chini tu, ila mwanaume anaangalia sura?
ina maana gani ii, mwanamke haangalii sura hata kama utakuwa na pua kama kirungu anachoangalia ni hapo chini tu, ila mwanaume anaangalia sura?
Maayo JF-Expert Member Joined Jul 21, 2011 Posts 317 Reaction score 48 Aug 31, 2011 #11 Hute said: ina maana gani ii, mwanamke haangalii sura hata kama utakuwa na pua kama kirungu anachoangalia ni hapo chini tu, ila mwanaume anaangalia sura? Click to expand... <br /> <br /> Sawa kabisa
Hute said: ina maana gani ii, mwanamke haangalii sura hata kama utakuwa na pua kama kirungu anachoangalia ni hapo chini tu, ila mwanaume anaangalia sura? Click to expand... <br /> <br /> Sawa kabisa
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Aug 31, 2011 #12 mwanamke kahsangaa kuona jamaa hana kipande cha muhogo na mwanaume kashangaa bbie hana pua wala mdomo..................huh
mwanamke kahsangaa kuona jamaa hana kipande cha muhogo na mwanaume kashangaa bbie hana pua wala mdomo..................huh
Also me Member Joined Aug 17, 2011 Posts 67 Reaction score 10 Aug 31, 2011 #13 wel, hao mm inafikiri ilikuwa ni kipindi cha mfungo, so walikuwa wanajadili, kupanga na kuonyeshana ki2 ya kufuturisha jion ya cku hyo!..
wel, hao mm inafikiri ilikuwa ni kipindi cha mfungo, so walikuwa wanajadili, kupanga na kuonyeshana ki2 ya kufuturisha jion ya cku hyo!..