Rugaijamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2010
- 2,942
- 1,300
<br />Jamaa yupo Bungeni analeta habari zile zile za kila siku: (Waziri Malima)<ul><li>Ukosekanaji wa mafuta (wasambazaji kugoma)</li><li>mvua</li><li>gesi</li><li>matengenezo</li></ul>Story zile zile za kila siku..., hakuna jipya hapa.., Pia kama kawaida anaitupia lawama Tanesco kwamba haikuwaambia wananchi ni nini kilichokuwa kinaendelea..... (bure kabisa hawa watu)...<br />
<br />
Eti matatizo mengi yametokea kwa wakati mmoja.., hivi hawa wasambazaji waligoma lini?? na huu mgao umeanza lini?
<br />
Umeonaee....hawa watu wametufanya mazezeta kweli kweli.Kwa hali kama hiyo kuna haja ya kutafuta kufanya kitu cha mfano ili wajifunze?Nadhani hapana....TUAMKE WATANZANIA !