Mheshimiwa John Mnyika: What is Plan C

Mheshimiwa John Mnyika: What is Plan C

Jamaa yupo Bungeni analeta habari zile zile za kila siku: (Waziri Malima)<ul><li>Ukosekanaji wa mafuta (wasambazaji kugoma)</li><li>mvua</li><li>gesi</li><li>matengenezo</li></ul>Story zile zile za kila siku..., hakuna jipya hapa.., Pia kama kawaida anaitupia lawama Tanesco kwamba haikuwaambia wananchi ni nini kilichokuwa kinaendelea..... (bure kabisa hawa watu)...<br />
<br />
Eti matatizo mengi yametokea kwa wakati mmoja.., hivi hawa wasambazaji waligoma lini?? na huu mgao umeanza lini?
<br />
<br />
Umeonaee....hawa watu wametufanya mazezeta kweli kweli.Kwa hali kama hiyo kuna haja ya kutafuta kufanya kitu cha mfano ili wajifunze?Nadhani hapana....TUAMKE WATANZANIA !
 
Thats all
ikiwa kama kila jambo solution ni kuing'oa CCM madarakan bas uwezo wetu wa kuchambua na kuyatatua matatizo utakuwa umefika mwisho.
Hebu tuache UTOPIAN ideas na tuje na implementable suggestions.

Dharura gani tutaihandle kwa kuchange the whole system? Tunafikiri kisawasawa kweli? Hata kama CDM tukaingia mtaani kuchukua dola leo, tutaipata kabla ya december? Tutatatua matatizo haya kwa wakati? Hebu tutoe mapendekezo sustainable.
 
Mi nadhan tuitishe harambee ya kitaifa kupata fedha ya kununua mafuta. Kampeni hii iratibiwe na cdm kwa umahiri mkubwa, na hakika huu utakuwa mtaj mkubwa kuelekea 2015 elections.
 
Mkuu nakuunga mkono na hili ndio tunapaswa tufanye mabadiliko sio kwa njia ya kupiga tuu kelele ambazo washirika wa upende wa pili hata haziwaumizi, wao wanaendeela kupokea ten percent zao na hali inaendelea kuwa ile ile naona sasa muda wa kufanya kile watawala hawataki umefika wa kutetea haki zetu na kupata kile ambacho tunakitaka kwa ajili ya kusaidia Tanzania ambayo inalemaa na kuendelea kudidimia
MR. Rocky ni vema tutambue kuwa winners do not do different things but they do things differently.
Tusiunge mkono tu kila tunachoona kwa mara ya kwanza kuwa chafaa.
Gharama yake ni kubwa kuliko unavyofikiria. Nadhan tuangalie njia ambazo hazitatumiza hata sisi wenyewe.
 
GreatThinkers,<br />
Plan C ni kurevise Uhalali wa Si Si Em kubaki madarakani<br />
Thats all
ikiwa kama kila jambo solution ni kuing'oa CCM madarakan bas uwezo wetu wa kuchambua na kuyatatua matatizo utakuwa umefika mwisho.
Hebu tuache UTOPIAN ideas na tuje na implementable suggestions.
Dharura gani tutaihandle kwa kuchange the whole system? Tunafikiri kisawasawa kweli? Hata kama CDM tukaingia mtaani kuchukua dola leo, tutaipata kabla ya december? Tutatatua matatizo haya kwa wakati? Hebu tutoe mapendekezo sustainable.
Nawewe umeingia kwenye mkumbo uleule wakushindwa kutoa mapendekezo sustainable na kwahiyo huna mchango wowote, ni bora hata waliopendekeza serikali ya walafiki ibwage manyanga.
 
Mi nadhan tuitishe harambee ya kitaifa kupata fedha ya kununua mafuta. Kampeni hii iratibiwe na cdm kwa umahiri mkubwa, na hakika huu utakuwa mtaj mkubwa kuelekea 2015 elections.

Mkuu exactly my point..., "There is more than one way to skin a cat".....

kwenye kampeni sijazo itakuwa ni vema kuwaambia watu kwamba tuliwasaidia kuwaondoa gizani baada ya serikali yenu kuwasahau..., kuliko kusema kwamba tuliwahamashisha muingie barabarani ili mpate umeme lakini haikufanikiwa...,

Sababu mazuri yote huwa hawasemi kwamba upinzani ndio umewasukuma bali huwa wanasema serikali ni sikivu, hivi hata hiyo mitambo wanayokodi ni Tshs ngapi hivi kweli Tanzania hatuwezi kununua mitambo yetu mpaka tukodi...??;
 
Hayo maposho ya makalio kwa mwaka mmoja tu yangeondoa adha ya kukodikodi mitambo.

Very true mkuu hata kama hata hao waheshimiwa hawataki kutoa pesa zao hivi unadhani kuna mtanzania ambae angekataa kutoa harambee na kuchangia alichonacho..?!!!

Sababu pekee ambayo hatujaenda this route ni sababu tungefanya hivi watu wasingepata 10%; hivi hata upinzani kweli wangeshindwa kuonyesha good gesture kwa kusema tunawaletea mitambo hii wananchi wetu ili kuondoa hili balaa!!??

Kuna mambo mengi sana ambayo upinzani wanaweza kufanya kama publicity na ambayo itawajengea sifa maradufu.., lakini nashangaa kwanini hawafanyi!!!
 
MR. Rocky ni vema tutambue kuwa winners do not do different things but they do things differently.
Tusiunge mkono tu kila tunachoona kwa mara ya kwanza kuwa chafaa.
Gharama yake ni kubwa kuliko unavyofikiria. Nadhan tuangalie njia ambazo hazitatumiza hata sisi wenyewe.

Mkuu kwa namna yoyote siungi mkono njia ambazo tukizitumia zitatuletea madhara makubwa na kutuumiza. Ningependa njia ambazo kila mmoja anajua wajibu wake na anautelekeza wajibu wake kwa kadri ya uwezo wake bila kumuumiza mtu yoyote au kuingia gharama ambazo zitakuwa zinatuumiza kwa kizazi chetu.
Njia za amani za kufanya jambo lifanyike na sio njia za fujo zitakazotuachia makovu mengi sana
 
Mkuu kwa namna yoyote siungi mkono njia ambazo tukizitumia zitatuletea madhara makubwa na kutuumiza. Ningependa njia ambazo kila mmoja anajua wajibu wake na anautelekeza wajibu wake kwa kadri ya uwezo wake bila kumuumiza mtu yoyote au kuingia gharama ambazo zitakuwa zinatuumiza kwa kizazi chetu. <br />
Njia za amani za kufanya jambo lifanyike na sio njia za fujo zitakazotuachia makovu mengi sana
Umenena vema mkuu. Hebu upinzani uoneshe sasa kuwa upo kama serikali mbadala. Usimamie utatuzi wa hizi kero tusiziachie NGOs.
Umma uko nyuma ya opposition, so ni vema kama chance hii ikatumika sasa. Amin nakuambia vizazi vitaandika historia tukufu mioyoni mwao milele.

Tunaweza, hebu Ndugu Mnyika J. J achukue agenda hii tuanze harambee ya kitaifa.
 
Very true mkuu hata kama hata hao waheshimiwa hawataki kutoa pesa zao hivi unadhani kuna mtanzania ambae angekataa kutoa harambee na kuchangia alichonacho..?!!!<br />
<br />
Sababu pekee ambayo hatujaenda this route ni sababu tungefanya hivi watu wasingepata 10%; hivi hata upinzani kweli wangeshindwa kuonyesha good gesture kwa kusema tunawaletea mitambo hii wananchi wetu ili kuondoa hili balaa!!??<br />
<br />
Kuna mambo mengi sana ambayo upinzani wanaweza kufanya kama publicity na ambayo itawajengea sifa maradufu.., lakini nashangaa kwanini hawafanyi!!!

Mkuu mi ntaendelea kupinga hili suala kwa nguvu zote kabisa....Haiwezekani kumchangisha mwananchi,tena masikini ambaye kila uchao analipa kodi( ili aweze kupata huduma na kuendesha taifa hili) eti ashiriki kuwafunza hao mabwenyenye!HII HAPANA....

Na hao wapinzani unaowazungumzia hawakusanyi kodi,watatoa wapi hizo fedha kununulia ama kukodi mitambo?Si ndo watasema yaleyale ya kufadhiliwa na mataifa ya magharibi ili kuing'oa serikali?

Cha msingi hapa ni kuzidi kuwabana kwa nguvu zote hawa wanaokusanya kodi zetu na kushindwa kutatua matatizo yetu,ili watimize wajibu wao....KAMA HAWASIKII/HAWATAKI(kama inavyodhihirika sasa)

TUWANG'OE KWA NGUVU
 
Mkuu kwa namna yoyote siungi mkono njia ambazo tukizitumia zitatuletea madhara makubwa na kutuumiza. Ningependa njia ambazo kila mmoja anajua wajibu wake na anautelekeza wajibu wake kwa kadri ya uwezo wake bila kumuumiza mtu yoyote au kuingia gharama ambazo zitakuwa zinatuumiza kwa kizazi chetu. <br />
Njia za amani za kufanya jambo lifanyike na sio njia za fujo zitakazotuachia makovu mengi sana
<br />
<br />
Hata maandamano ya wananchi wote bila kukoma mpaka kieleweke,ni njia ya amani pia.Tusiogope maumivu kwenye kudai hali bora!
 
Mkuu kuna watawala ambao kwao dhana ya maandamano bado haiwakai kichwani na hawajui nini maana ya maandamano na haki za waandamanaji. Katika tanzania yetu mnaweza mkawa na maandamano ya amani yakageuka fujo na watawala wakachukua kisingizio hicho kuwa waandamanaji ndo walianzisha fujo.
 
QUOTE=Andersonds;2386102]Umenena vema mkuu. Hebu upinzani uoneshe sasa kuwa upo kama serikali mbadala. Usimamie utatuzi wa hizi kero tusiziachie NGOs.<br />
Umma uko nyuma ya opposition, so ni vema kama chance hii ikatumika sasa. Amin nakuambia vizazi vitaandika historia tukufu mioyoni mwao milele.<br />
<br />
Tunaweza, hebu Ndugu Mnyika J. J achukue agenda hii tuanze harambee ya kitaifa.[/QUOTE]<br />
<br />
Mkuu jukumu sio la Mnyika peke yake ni lako na mimi na yule ambaye anaona na anapata shida hizi tunazozipata. Kuwaachia peke yao sio suluhisho ila tuonyeshe mwamko huo sisi wenyewe na wale wawe viongozi wetu. Tusiishie kulalamika tuu maana kama ni kulalamika tumefikia kiwango cha mwisho sasa hivi ni hatua mbadala za kutatua matatizo yetu
 
Mkuu mi ntaendelea kupinga hili suala kwa nguvu zote kabisa....Haiwezekani kumchangisha mwananchi,tena masikini ambaye kila uchao analipa kodi( ili aweze kupata huduma na kuendesha taifa hili) eti ashiriki kuwafunza hao mabwenyenye!HII HAPANA....

Mkuu tatizo la hivi sasa tunapoendelea kutokufanya kitu ni kwamba wote we are paying a high price, already... watu wa mijini biashara haziendi, na wanaonunua generator wanalipa maradufu, hata hao masikini wa vijijini vitu vinapanda bei.., mfano mzuri ni wakulima wa Pamba kama ginneries hazifanyi kazi basi maghala yanajaa pamba na wanunuzi wanaacha kununua na mvua zikija pamba zitaharibika kwahiyo mkuu ni muhimu serikali ilete dawa ya kuondoa kabisa hili tatizo long term.., vilevile wakati hawa jamaa wamelala ni vizuri tuangalie ni nini sisi wananchi kama kuna kitu kipo tunaweza tukafanya kuondoa hii bala in short term... (au kuacha kuwategemea hawa jamaa kabisa...)

Na hao wapinzani unaowazungumzia hawakusanyi kodi,watatoa wapi hizo fedha kununulia ama kukodi mitambo?Si ndo watasema yaleyale ya kufadhiliwa na mataifa ya magharibi ili kuing'oa serikali?Cha msingi hapa ni kuzidi kuwabana kwa nguvu zote hawa wanaokusanya kodi zetu na kushindwa kutatua matatizo yetu,ili watimize wajibu wao....KAMA HAWASIKII/HAWATAKI(kama inavyodhihirika sasa),TUWANG'OE KWA NGUVU!
Na hapa wapinzani chochote watakachofanya positive hivi sasa kuondoa shida kwa mwananchi itakuwa ni mtaji wao kuhakikisha uchaguzi ujao wananchi wanakuwa na imani zaidi nao, na sio mpaka watoe pesa zote wanaweza tu kuonyesha mfano na kuwa mstari wa mbele kuwaongoza wananchi kuhakikisha hii shida inaondoka.. (mfano kusema posho zao za miezi mitatu ziende kwenye kuondoa haya matatizo)

Kuwangoa kwa nguvu ni easier said than done.., ukizungumza na watu kuna watu bado uelewa wao ni mdogo na juhudi zozote za kuwafumbua macho zinaweza kuwa spinned na CCM kwamba hawa jamaa wanataka kuleta fujo na ni watu wa fujo... Kwahiyo mkuu kuna mbinu ambazo upinzani wanaweza kutuonjesha ni nini wanaweza kufanya wakichukua madaraka ambacho hakiwezi kuwa misquoted na mtu yoyote bali kila mwenye macho ataoa ni cha hekima na ni njia ya kutupeleka kwenye better life...

Mkuu kumbuka hawa ni watanzania waliokataa Elimu ya Bure, na bei nafuu ya vifaa vya ujenzi kwa kukosa kwao imani kwahiyo hao si wakuwategemea kwamba watafanya mapinduzi.., kuna watu walishakubali kukaa gizani mpaka December wakisema kwamba ni sawa tu sababu hakuna mvua..., kwahiyo the only way ni kuwatoa matongotongo na kuwaonyesha kwamba it can always be better and it should be better
 
Plan C ni Kumuomba huyo muheshimiwa ambaye tunasikia kwamba ni mtumishi wa uma aliyeweka vijisenti kama tilioni tatu kule SA ,Atusaidie kidogo maana nasikia ni mbabe aliwahi kututisha kipindi fulani!,
 
Yes hili ndilo Jibu kuu na sahihi ili kupata permanent solution ya mambo mengi

Mkuu how and when maana time kinazidi ksonga na matatizo ndo yanazidi as if yameambiwa hapa ndio kituo
 
Mkuu kama bado unaota au una nia ya kuwakejeli watu bora usijibu. Kuna watu wana siku ya tatu hawajauona umeme wewe unawakejeli watu kuwa tutapata umeme wa uhakika <br />
Wacha hasira za watu zipoe
<br />
<br />
 
Mr rocky nna uhakika unajidai umelala na cku zote anayejidai amelala ni vigumu kumuamsha. ata kama hutaki kuamka cc 2takupa ukweli ivoivo mwisho utaamka tu. najua akifa baba ako au mama ako kwa tatizo la umeme hospitalini utaamka 2 kwan nnaona unaona wanakufa mahospitalini kwa kukosa operation juu ya tatizo la umeme unawaona kama wanyama tena wale wasio na faida duniani. mwogope mungu ongea ukweli acha kujidai umelala.
 
Back
Top Bottom