Plan C ingeweza kuwa kwa serikali kualika wawekezaji kuja kufungua mradi wa Photovoltaic power plant. Jua tunalo a kutosha halafu tunakaa kwenye gizs? Nina uhakika wakianza na walau 25 MW kwa jiji la Dar au Ars itasaidia sana kupunguza tatizo hili umeme.
I am sure kama serikali ina nia, wawekezaji wapo and that could be done on credit.
I am sure kama serikali ina nia, wawekezaji wapo and that could be done on credit.