emmanuel s.
Member
- Dec 22, 2013
- 5
- 1
hahahahahaha tanzania bwana, nini kitabu na research, hana hata artical kwenye gazeti la ijumaa. hahahahahaha!!!!!!
Tanzania ni nchi ya kipumbavu na kijinga tu.
Nchimbi siku nyiingi anajiita Dr
hana PHD wala ya heshima hajawahi kupewa
Dialo aliwahi kuwasilisha Cv ikisema amesoma Harvard na akapewa uwaziri lol
hii nchi ni full comedy
hahahahahaha tanzania bwana, nini kitabu na research, hana hata artical kwenye gazeti la ijumaa. hahahahahaha!!!!!!
Muendelezo wa PhD za JK.. na apewe tu. Si ndo wameamua hivyo..!? Hii ndoTanzania bhana.
Tanzania ni nchi ya kipumbavu na kijinga tu.
Mkuu kiswahili ni lugha ya taifa, So dont feel bad to use it.
Dah mbona wanakatisha tamaa waliozipata kwa kusoma.
Hadi hii Nchi yetu iendelee kazi kweli
Kwahiyo JK na Reginald Mengi wamezisomea chuo gani? Na ni heshima ipi kwa watu wenye PhD walio zisotea imeshuka kutokana na watu hawa kupewa PhD.
Mkuu kiswahili ni lugha ya taifa, So dont feel bad to use it.