Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Nchimbi siku nyiingi anajiita Dr
hana PHD wala ya heshima hajawahi kupewa
Dialo aliwahi kuwasilisha Cv ikisema amesoma Harvard na akapewa uwaziri lol
hii nchi ni full comedy
Hivi Nchimbi siyo Dr. wa Mzumbe (ana PhD ya Mzumbe) kweli huyo?
Hiyo ya Diallo kali kuliko. Hivi anajua hata Harvard ilipo au anaisikia tu?
Yaani bongo we acha tu. Inavyoendeshwa tunajua wenyewe tu. Hakuna sehemu wala sekta iliyo na nafuu.