Hivi hakuna Bachelor Degree ya Heshima? Wangeanza basi hata na hiy jamani, kweli kabisa PHD?
Dr.Manyau NyauUnajua hata Muhamad Ally anayo PHD ya heshima
lakini hutasikia akiitwa Dokta...
tatizo bongo wotee wanajiita madokta
Mkuu kiswahili ni lugha ya taifa, So dont feel bad to use it.
Na mie nlipewa Phd na babu yangu so dnt fell bad to call me Dr.
Hii shida yote ni ubovu wa tasnia ya habari. Miongozo ya honorary Degree ipo wazi kuhusu matumizi ya hizi title. Hairuhusiwi kuitumia katika official addressing, lakini utakuta vyombo vya habari ndo vimekazana dr. flani, dr. flani. Kama vyombo vya habari visipomuita kwani atajiita mwenyewe? kwanza hatuwaskii hata siku moja wakijiita mi ni Dr. flani
Ndg Nchimbi baada ya kukataliwa PhD yake ya awali, alirudi Mzumbe main Campus kusoma. Wakati nagraduate degree yangu naye alikuwa anagraduate hiyo PhD yake ya MU. Namaanisha balozi nchimbiNchimbi siku nyiingi anajiita Dr
hana PHD wala ya heshima hajawahi kupewa
Dialo aliwahi kuwasilisha Cv ikisema amesoma Harvard na akapewa uwaziri lol
hii nchi ni full comedy
Tatizo lipo wapi? Wacha Mhe. Apewe PhD yakeChuo chenyewe walim wenye phD hawafiki 2
Sent From Ikulu-Magogoni street