n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,019
- 2,707
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi (RUDN University) nchini Urusi.
Tuzo hiyo ni ishara ya kutambua uongozi wake, mageuzi katika sekta ya elimu, juhudi zake katika kuimarisha diplomasia ya Tanzania pamoja na mchango wake katika kuimarisha hadhi ya Tanzania kimataifa, ikiwemo kupitia sekta ya utalii.
Pia soma Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Heshima Nigeria kwa mchango wake kwa Jamii na Ubinadamu
——————
President Samia Suluhu Hassan is scheduled to receive an Honorary Doctorate of Philosophy (Honoris Causa) from the Peoples' Friendship University of Russia (RUDN University). The accolade recognizes her leadership, educational reforms, and contributions to strengthening Tanzania's international diplomacy.
The honorary degree will be conferred during her state visit to Russia, where she is also attending the St. Petersburg International Economic Forum (SPIEF).
Tuzo hiyo ni ishara ya kutambua uongozi wake, mageuzi katika sekta ya elimu, juhudi zake katika kuimarisha diplomasia ya Tanzania pamoja na mchango wake katika kuimarisha hadhi ya Tanzania kimataifa, ikiwemo kupitia sekta ya utalii.
Pia soma Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Heshima Nigeria kwa mchango wake kwa Jamii na Ubinadamu
——————
President Samia Suluhu Hassan is scheduled to receive an Honorary Doctorate of Philosophy (Honoris Causa) from the Peoples' Friendship University of Russia (RUDN University). The accolade recognizes her leadership, educational reforms, and contributions to strengthening Tanzania's international diplomacy.
The honorary degree will be conferred during her state visit to Russia, where she is also attending the St. Petersburg International Economic Forum (SPIEF).
