Mhe. Rais Kikwete na ziara ya Mabwepande

Mhe. Rais Kikwete na ziara ya Mabwepande

Hongera Mh Mnyika,msg Yako Sio Tu Imekuwa Sent And Delivered Bali Imefanyiwa Kazi!
 
JK inabidi amualike Mnyika wakae kwa kituo kuongea vizuri, sio photo op tu. Kwa muungwana salamu ni furaha, hata kwa adui, kwa hiyo nikiona wanacheka napata kujua kwamba wanajua common decorum, wasingecheka ningehofu kwamba twaweza kupata mauaji ya kimbari kama Mama Kejo. JK anasema "wewe ndo umeniita dhaifu siyo?" Mnyika anacheka "lazima ukweli tuseme mzee unachemsha sana ujue"

nimelog in kukupa like, I concur with you...kumcriticize mtu haina maana kuwa ni adui, na kucheka na mtu haina maana kuwa ndo unakubaliana na kila anachokifanya.
 
Huyu si ndiye alisema jk ni dhaifu?
Huwezi kumhukumu Mnyika. Alisema kuwa JK ni dhaifu lakini hakusema kuwa hatakutana naye na wala hakusema kuwa atamnunia, wala hakusema kuwa atamchapa makofi. Hata sasa ukimuuliza atasema kuwa JK ni dhaifu.
 
Leo naona ameamka vizuri mkulu angekuwa anafanya hivi kila siku tungekuwa mbali. Sasa aendelee hivihivi na isiwe geresha

Kusema kweli mheshimiwa amefurahisha na alitoa mifuko 100 ya cement kwa kila kaya, Furniture centre imetoa mabati 30 kwa kila kaya

Mabwepande imestawi ghafla, nampongeza kwa hiki kidogo alichofanya JK
 
Askari tunaishi kwa amri,namtaka OCD Kawe ahamishie ofisi yake hapa kuanzia leo- alisema ACP Kova
 
Please go and try somewhere else. Jamii Forums is NOT odinary forum where you can post whatever comes in your medula oblingata.


Please behave.

What is the purpose of JF smart one?
 
Mbona mama kairuki na huyo mjeshi wamenuna sana ??

Huyo mama na mjeshi hawauwezi unafiki, kwa kuwa wanajua matatizo yanayowakabili watu wa hapo, hawawezi kumchekea JK kumuonesha mambo ni shwari ile hali kiukweli hali ni mbaya.
 
Siasa sio vita su uadui.Kuwa vyama tofauti haimaanishi mnuniane au msisalimiane.Huo sio ukomavu wa siasa ni utoto.Sisi sote ni watanzania uzalendo kwanza

Casa wengi wanajua ni ugomvi na vita,siasa ni kuzungumza 2lipokuwa,2lpo na 2napokwenda 2kilenga mabadiliko chanya,Mnyika anajua nn maana ya siasa,by then the weakest president in tz cnc 1961 has to learn and change from Mnyika and other who speak for change.
 
Siasa sio vita su uadui.Kuwa vyama tofauti haimaanishi mnuniane au msisalimiane.Huo sio ukomavu wa siasa ni utoto.Sisi sote ni watanzania uzalendo kwanza

Casa wengi wanajua ni ugomvi na vita,siasa ni kuzungumza 2lipokuwa,2lpo na 2napokwenda 2kilenga mabadiliko chanya,Mnyika anajua nn maana ya siasa,by then the weakest president in tz cnc 1961 has to learn and change from Mnyika and other who speak for change.
 
J4MAYOKA ni vizuri ufahamu kuwa upinzani siyo kila kitu/jambo. Unashangaa hata suti zao kufanana? Angalia TV chaneli za majuu utaona Obama; Raisi wa Israel na PM Benjamin Netanyahu wamevaa sare mpaka tai zao. Jana wakati anafungua Daraja huko Kimara wafuasi wa CCM na Chadema waliruhusiwa kupeperusha bendera za vyama vyao katika kusheherekea uzinduzi wa daraja hilo. JK kamteua Mbunge James Mbatia lakini hakumzuii kuichachafya serikali suala la kuporomoka kwa kiwango cha elimu hapa Bongo. Tafadhali angalia mahojiano ya Star TV yanayoendelea asubuhi hii kati yao na Professor Mchome. Obama kateua mtu wa upinzani kuongoza wizara ya ulinzi. Tuweke ushabiki pembeni tutete utaifa kwanza. Kwa kweli zaidi ya watu milioni mbili tuna shida ya maji hapa Dar es Salaam. Hii ni kero ambayo tumedumu nayo toka 1980.
 
Back
Top Bottom