Mhe. Rais Kikwete na ziara ya Mabwepande

Mhe. Rais Kikwete na ziara ya Mabwepande

JK inabidi amualike Mnyika wakae kwa kituo kuongea vizuri, sio photo op tu.

Kwa muungwana salamu ni furaha, hata kwa adui, kwa hiyo nikiona wanacheka napata kujua kwamba wanajua common decorum, wasingecheka ningehofu kwamba twaweza kupata mauaji ya kimbari kama Mama Kejo.

JK anasema "wewe ndo umeniita dhaifu siyo?"

Mnyika anacheka "lazima ukweli tuseme mzee unachemsha sana ujue"
 
Tatizo hawa majangili (maccm) wamegeuza siasa kama vile uadui, ndo maana kila CDM wanapotaka kufanya maandamano au mikutano yao ya hadhara vikwazo vinakuwa vingi. maccm wanatumia nguvu kubwa sana (through policcm) kuzuia CDM isifanye shughuli zake. Shukrani za pekee ni kwa wapenda maendeleo wa Tanzania ambao pamoja na makwazo yote haya wamekuwa bega kwa bega na CDM kuhakikisha kuwa kila raia wa tanzania anapata elimu ya uraia itakayomuwezesha kujikomboa kutoka katika lindi la majangili wanaotawala hii nchi yetu tukufu ya tanzania
 
Jamani Kuwa tofauti KISIASA sio UADUI wa kutocheka na kutosalimiana... Yaani ni VITA? Ina Maana Haujui DEMOCRACY UKO NYUMA KWELI.... SOMA Demokrasia za wengine... Wanatukanana Majukwaani kesho wanachaguana Angalia OBAMA na HILLARY CLINTON...


KWELI UKO NYUMA KIMAENDELEO na Hiyo itatumaliza sisi Wananchi...
 
Heko Mnyika mpaka umemtoa Rais!

Nadhani mleta mada hajakomaa kisiasa, maana mbunge kutamka wazi kwamba Rais ni dhaifu na bado Rais akatembelea jimbo la mbunge huyo ni ishara kwamba anamkubali.

Tukubali tukatae, bado Kikwete ni Rais hivyo ni hasara badala ya faida kutojihusisha naye pale anapoonyesha nia ya kurekebisha baadhi ya kasoro.

Nazidi kumpongeza Myika, ndio siasa tunazohitaji. Mitt alikuwa wa kwanza kukubali kushindwa na kumpongeza Obama. Mbona mambo ya nje tunayafagilia wakifanyika nchini tunasema usaliti?

Hii nchi ni yetu sote. Naombea serikali ya mseto Tanzania!
 
Watu wanaomsema Kikwete vibaya ni wale ambao hawajawahi hata kukutana nae face to face. In short ni wale ambao hata HAWAMJUI...
 
Watu wanaomsema Kikwete vibaya ni wale ambao hawajawahi hata kukutana nae face to face. In short ni wale ambao hata HAWAMJUI...

Si Mali kitu unamjua wa nini kama aliomba uraisi halafu anataka watu wamjue wa nini sasa huyo atokomee huko basi kwa mkewe na wanawe
 
Kwani kuna shida gani akicheka. si kila kicheko ni cha furaha wakati mwingine mtu ana huzunika.
 
Hii suti ya Mnyikaaaaaaaaa....mhhh.. Size yake ipoje hii? ntarudi
 
Ninavyoona cheka ya Mnyika haikubaliani na Kikwete. Amecheka kwa kebehi. Take note. Soma sura yake utagundua kwamba hamkubali JK.
 
kikwete:
nimekukamata!..nikuvunje mkono?
mnyika: hahahaaaa....!!!. usifanye hivyo bana.
Kikwete:
kwanini unaniita dhaifu?
Mnyika: nlikua natania mkuu.
mia
 
jk mnyika.JPG
Mfupa hauna ulimi.
 
Back
Top Bottom