Mhe. Rais Kikwete na ziara ya Mabwepande

Mhe. Rais Kikwete na ziara ya Mabwepande

jana kwenye taarifa ya habari wakati rais akiwa mabwepande alimsimamisha meya mwenda akimtaka asiseme wanatafyta mafungu ,lakini rais alipomwambia kwa nini asiseme wanalipa sasa na mafungu yakipatikana wafidie.
baada ya kutafakari kwa muda meya akasema maagizo yako tumeyapokea.

my take,alichokuwakuwa anamaanisha rais ni kutoa ushauri kama kawaida yake na kusahau kuwa yeye ni rais na kwa mujibu wa katiba yetu rais anaweza kutoa maagiizo na yakatekelezwa.
pia meya mwenda alikuwa sahihi kuyachukua kama maagizo tofauti na rais ambaye huwa anataka kuonekana kwa wananchi kuwa yeye ana nia njema ila waliochini yake ndioo wenye makosa.

hongera mwenda na rais ajifunze kutumia madaraka yake.
 
Napenda kuwajulisha kuwa kichwa cha habari original kilikuwa:

JJ MNYIKA ANAVYOJICHEKESHA KWA JK



Ama kweli CHADEMA mna kazi TENA NZITO.....halafu mnatafuta mchawi wenu ni nani wakati wasaliti mnao kibao chamani kama huyu JJ MNYIKA.

Huyu Mnyika na DEDI yao kule CHADEMA walitamka wazi kuwa HAWAMTAMBUI DR JAKAYA MRISHO KIKWETE kama rais halali wa Tanzania aliyechaguliwa kwa kura za haki....haya LEO KIKO WAPI?

Waswahili wanasema kuwa CHURA KARUDI MAJINI au ndio MWANA MPOTEVU amerudi tena tazama body language....Mnyika anajichekesha na kukenua meno ili aonekana na furaha ya kukutana na DR KIKWETE.


Kwa kuonyesha his TUE COLOURS, kwa kusudi kabisa kaacha kuvaa zile sare (khaki ) wanazovaa watalii wakija Tanzania kutazama ndezi, KINYONGA, nguchiro na nguruwe pori.

Unless hii nayo CHADEMA waseme kuwa imefanyiwa photoshop ili kumwonyesha Mnyika akiwa na furaha wakati kumbe alikuwa kakasirika....na ndio nini kuvaa suti kama ya JK au ndio bas tuu?

8E9U7951.JPG


8E9U7984.JPG

Maisha ya siasa ni ya kinafiki sana maana asemalo mwanasiasa sio analomaanisha. akili kichwani mwako. Ukweli wao ni pale watakaponiambia kuwa mama yangu ni mwanamke.
 
:shut-mouth:Siasa ndivyo ilivyo.CUF wangelikaa meza moja na CCM.Jaribu kupima ustawi wako katika jamii.Vile vile siasa isiendeshe serikali bali serikali iendeshe siasa.Mipango ya nchi kimaendeleo inaendeshwa sera na kuratibiwa na serikali iliyomo madarakani,hivyo mipango yote ikisha ainishwa inatekelezwa hata Chadema ikiingia madarakani.Kwa mantiki hiyo hakuna mbunge kujinadi kuwa mkimpa kura ataleta maji jimboni.:amen:Mh.Mnyika alitamka kuwa pindi atakopochaguliwa atafuatilia mguu kwa mguu kwenye mamlaka yote ili maji yapatikane,na ndivyo anavyofanya.BRAVO mangi.Hebu DAWASA mjipange,toe taarifa jinsi miradi ya maji yanatendeka.Mwaka juzi mlitangaza kuwa mnajenga chanzo kingine mkisaidiwa na millenium Challenge Accounts huko Ruvu Chini na kukosa maji Dar/Pwani itakuwa hadithi,maendeleo yakoje au mmebunya?Vilevile mlisema Mlandizi na Mtoni nao uwezo wao utakuwa mra mbili ,sasa vipi?Mbona maswali hayana majibu?Tunafuatilia kwa takwimu.Jana Mr President kasema atajenga bomba la pili kusafirisha maji kutoka Ruvu Chini kuja Dar sambamba na la sasa , je bomba hilo ni tofauti mlivyotutangazia toka hapo awali.FUNGUKA. :A S shade:
 
Nimefurarijika kwa tamko la Mh. Rais JK kwa kuwakumbuka wakazi wa Mabwe Pande kwa kuwapa kila kaya tani 5 za saruji...baada ya wao kuishi kwa mateso kwa takribani mwaka mmoja na zaidi.... Rais kama Rais ambaye ni Amiri Jeshi mkuu ametamka YAMEKUWA . yako mambo mengi katika nchi hii ambayo Rais anatakiwa ayatamke tu... YATAKUWA NAMPONGEZA KWA HILO
 
swala la maji limemshinda Mnyika Jk ameamua kuingilia kati kusaidia?
 
wakati mwingine natamani nisiitwe Mtanzania kutokana na fikra za baadhi ya wananchi wenzangu. Muda wote tunawaza uhasama, vita, kupandikiziana vitu, visasi. Hivi hatupigi hatua nawambieni. Utakuta hata bungeni mtu anatoa hoja nzuri kwavile ni upinzani watu wazima unaodhani wana heshima zao watazomea, watapiga meza ni karaha tu. Mnyika ulitaka afanye nini hapo? Rais kaja jimboni kwake watu wake wanapata huduma kwa hela ya kodi zetu wote unataka avimbe ili iwe nini? Tubadilike bwana yaani hapa kwetu upinzani utadhani ni uhaini. watu badala ya kufanya shughuli za maendeleo kutwa kucha wanahangaika kudhibitiana. hatufiki popote namna hii.
 
Napenda kuwajulisha kuwa kichwa cha habari original kilikuwa:

JJ MNYIKA ANAVYOJICHEKESHA KWA JK



Ama kweli CHADEMA mna kazi TENA NZITO.....halafu mnatafuta mchawi wenu ni nani wakati wasaliti mnao kibao chamani kama huyu JJ MNYIKA.

Huyu Mnyika na DEDI yao kule CHADEMA walitamka wazi kuwa HAWAMTAMBUI DR JAKAYA MRISHO KIKWETE kama rais halali wa Tanzania aliyechaguliwa kwa kura za haki....haya LEO KIKO WAPI?

Waswahili wanasema kuwa CHURA KARUDI MAJINI au ndio MWANA MPOTEVU amerudi tena tazama body language....Mnyika anajichekesha na kukenua meno ili aonekana na furaha ya kukutana na DR KIKWETE.


Kwa kuonyesha his TUE COLOURS, kwa kusudi kabisa kaacha kuvaa zile sare (khaki ) wanazovaa watalii wakija Tanzania kutazama ndezi, KINYONGA, nguchiro na nguruwe pori.

Unless hii nayo CHADEMA waseme kuwa imefanyiwa photoshop ili kumwonyesha Mnyika akiwa na furaha wakati kumbe alikuwa kakasirika....na ndio nini kuvaa suti kama ya JK au ndio bas tuu?

8E9U7951.JPG


8E9U7984.JPG

Hapo DADA umechemka sana. Kuvaa nguo kama aliyovaa Mnyika si usaliti. Kwani CHADEMA inatumia rangi ngapi?
 
Huyu ni kiongozi wa nchi na zaidi ya yote ni mzee hivyo ni kama mzazi huwezi kuleta dharau za kifala,ukileta ujinga wajanja wanang'oa jicho.

hata aking'oa na kucha ila ukweli anakuwa kashapewa
 
ni kelele hizo za Mnyika ndio zimesababisha Jk aende kimara na sasa hivi maji yameanza kutoka huko baada ya maandamano na kelele nyingi.sasa mlitaka asimpokee wakati yeye ni mbunge?ili iweje?sasa nyie mlitaka amtwange makofi?huyo jk ilikuwa aende kimara siku nyingi lakini akaahirisha.leo kaenda na full band,magari ya washawasha,FFU kibao,utafikiri kaambiwa kimara kuna magaidi wengi!hawa jamaa wanaogopa sana Chadema na ngome zao!

wao si wametaka haki yao tu na si vinginevyo sasa hayo mabom na FFU wa nini?
 
tena kwa kuonyoshea kuwa hayuko pamoja na wenzake kaamua kuvaa sare kama alivyovaa bosi.

Akili gani hii?.......wakati mwingine ukialikwa kwenye shughuli ya watu lazima uvae kama wao......ni ustaarabu tu....sasa hapa Mkapa kwani kasilimu?

mama+shein+4.jpg
 
Napenda kuwajulisha kuwa kichwa cha habari original kilikuwa:

JJ MNYIKA ANAVYOJICHEKESHA KWA JK



Ama kweli CHADEMA mna kazi TENA NZITO.....halafu mnatafuta mchawi wenu ni nani wakati wasaliti mnao kibao chamani kama huyu JJ MNYIKA.

Huyu Mnyika na DEDI yao kule CHADEMA walitamka wazi kuwa HAWAMTAMBUI DR JAKAYA MRISHO KIKWETE kama rais halali wa Tanzania aliyechaguliwa kwa kura za haki....haya LEO KIKO WAPI?

Waswahili wanasema kuwa CHURA KARUDI MAJINI au ndio MWANA MPOTEVU amerudi tena tazama body language....Mnyika anajichekesha na kukenua meno ili aonekana na furaha ya kukutana na DR KIKWETE.


Kwa kuonyesha his TUE COLOURS, kwa kusudi kabisa kaacha kuvaa zile sare (khaki ) wanazovaa watalii wakija Tanzania kutazama ndezi, KINYONGA, nguchiro na nguruwe pori.

Unless hii nayo CHADEMA waseme kuwa imefanyiwa photoshop ili kumwonyesha Mnyika akiwa na furaha wakati kumbe alikuwa kakasirika....na ndio nini kuvaa suti kama ya JK au ndio bas tuu?

8E9U7951.JPG


8E9U7984.JPG
wewe ni mwana ccm,kosa lake mnyika hapo ni nini?
 
Elewa kuwa kazi mojawapo ya upinzani ni kuikosoa serikali, kuielekeza, kutoa maoni na kutoa njia mbadala kwa masuala muhimu. Upinzani sio uadui kama wengine wanavyochukulia. Kuna mambo mengi ambayo upinzani umepigania na kutoa maoni na serikali imeyatekeleza. Lengo ni moja, kuleta maendeleo kwa Watanzania, tatizo ni njia gani itumike kuharakisha lengo hili. kwa bahati mbaya sana nchi yetu haina sera za Kitaifa ambapo kila chama cha siasa kinatakiwa kieleze ni kwa namna gani itatekeleza na wananchi wakiikubali njia hiyo basi watakichagua chama husika. Hali ilivyo hivi sasa ni kubeza, matusi, kejeli na chuki ambavyo mwananchi wa kawaida haimsaidii.

Kwa kumalizia Mhe. Mnyika hana sababu ya kumchukia Rais Kikwete, na akiwa karibu nae basi labda atafanikiwa kwa urahisi sana kutimiza ahadi zake kwa wananchi waliomchagua wala sio kusaliti chama chake. Na hivyo ndivyo inavyoelekea hasa kuhusiana na swala la maji. Si lazima kusubiri mpaka chama chake kiingie madarakani.


Wako wabunge ambao badala ya kupigania maendeleo ya wananchi waliowachagua wanapoteza muda kwa maandamano yasiyo na tija. Kwa mfano kwa nini kung"ang"ania kufanya maandamano kuhusu kushuka kwa Elimu badala ya kukaa na wananchi waliowachagua kupanga mikakati ya kuimarisha elimu katika maeneo yao? Sababu za kushuka elimu ni nyingi, na nyingine ziko ndani ya uwezo wa wapigakura waliowachagua kama vile kuondoa utoro, mimba na ndoa za utotoni kwa hayo kuna haja ya kufanya maandamano? Ni bora kutoa maoni kwa vyombo husika au kamati iliyoteuliwa kuliko kupoteza nguvu kazi kwa kufanya maandamano. Wako watu wachache wanaofikiri kushirikiana na chama tawala ni usaliti. Tuondoe fikra hizi.

kama serikali yenyewe inashauriwa na hata wanaccm wenzao wanakataa we unadhani CDM wakikaa na wapiga kura wakaja na mikakati thabiti ya kutatua kushuka kwa elimu serikali itatekeleza? Kama utaitetea itatekeleza kuna hili suala la madai ya walimu yaliyo wazi kabisa pasipokuhitaji elimu hata ya chekechea ili upate kugundua walitekeleze ili tujue na wasikivu then itatumika hiyo njia
 
Nimefurarijika kwa tamko la Mh. Rais JK kwa kuwakumbuka wakazi wa Mabwe Pande kwa kuwapa kila kaya tani 5 za saruji...baada ya wao kuishi kwa mateso kwa takribani mwaka mmoja na zaidi.... Rais kama Rais ambaye ni Amiri Jeshi mkuu ametamka YAMEKUWA . yako mambo mengi katika nchi hii ambayo Rais anatakiwa ayatamke tu... YATAKUWA NAMPONGEZA KWA HILO

Ndio uzuri wa Katiba yetu, Amri ya Raisi haipingwi, inatekelezwa tu, lkn ukileta makatiba ya nchi nyingine kama Kenya wamevunjavunja madaraka ya Raisi na sasa cha moto watakiona, watapoteza muda na miaka 5 ijayo kupingana tu na kuonyeshana nani anajua sana Bungeni, huku sisi tunasonga mbele tu, kwa Amri moja, kwa watu wamoja toka JUU!

 
Nimefurarijika kwa tamko la Mh. Rais JK kwa kuwakumbuka wakazi wa Mabwe Pande kwa kuwapa kila kaya tani 5 za saruji...baada ya wao kuishi kwa mateso kwa takribani mwaka mmoja na zaidi.... Rais kama Rais ambaye ni Amiri Jeshi mkuu ametamka YAMEKUWA . yako mambo mengi katika nchi hii ambayo Rais anatakiwa ayatamke tu... YATAKUWA NAMPONGEZA KWA HILO

wanahaidi mengi lakini hayatekelezwi
 
siasa sio uadui ,sisi sote ni watanzania na nia yetu ni kuleta maendeleo katika taifa letu japo tunatofautina we ccm fisadi mimi mzalendo mpenda maendeleo chadema,wewe unayetaka mnyika na jk wasielewane kisa vyama tofauti utakuwa hujui maana ya siasa, ni lazima utakuwa kati ya maccm (magamba) wanao changanya siasa na vitu vingine kama dini na ukabila.

sitaki kuamini kama na ccm wanataka maendeleo ya Tanzania na ni waTz maana wanachokifanya hata mkoloni alipokuwepo Tz hakuthubutu hata kufikiria kufanya hivyo
 
Napenda kuwajulisha kuwa kichwa cha habari original kilikuwa:

JJ MNYIKA ANAVYOJICHEKESHA KWA JK



Ama kweli CHADEMA mna kazi TENA NZITO.....halafu mnatafuta mchawi wenu ni nani wakati wasaliti mnao kibao chamani kama huyu JJ MNYIKA.

Huyu Mnyika na DEDI yao kule CHADEMA walitamka wazi kuwa HAWAMTAMBUI DR JAKAYA MRISHO KIKWETE kama rais halali wa Tanzania aliyechaguliwa kwa kura za haki....haya LEO KIKO WAPI?

Waswahili wanasema kuwa CHURA KARUDI MAJINI au ndio MWANA MPOTEVU amerudi tena tazama body language....Mnyika anajichekesha na kukenua meno ili aonekana na furaha ya kukutana na DR KIKWETE.


Kwa kuonyesha his TUE COLOURS, kwa kusudi kabisa kaacha kuvaa zile sare (khaki ) wanazovaa watalii wakija Tanzania kutazama ndezi, KINYONGA, nguchiro na nguruwe pori.

Unless hii nayo CHADEMA waseme kuwa imefanyiwa photoshop ili kumwonyesha Mnyika akiwa na furaha wakati kumbe alikuwa kakasirika....na ndio nini kuvaa suti kama ya JK au ndio bas tuu?

8E9U7951.JPG


8E9U7984.JPG

Mkuu, nafikiri una lingine. Mnyika tunamfahamu kama tunavyomfahamu Kikwete. Ulitakaje? Mnyika asalimiane na Kikwete akiwa amenuna? Au? Tubadilike, tukiendelea na mawazo ambayo nimeyaona katika post yako; hakika hatufiki!
 
Back
Top Bottom