Mhe. Rais Kikwete na ziara ya Mabwepande

Mhe. Rais Kikwete na ziara ya Mabwepande

makamanda uwongo huu hii picha ni photoshop Kamanda Mnyika hawezi jichekesha hivi tunamuomba Slaa kesho atoe tamko kuhusu hii picha na Lissu awashtaki walioitengeneza hatuwezi kukubali kuchezewa hivi INTELIJENSIA yetu ni kali sana
 
Kushirikiana na CCM kunahitaji umakini wa hali ya juu, jiulize ni kweli unapendwa kwa dhati na adui yako au anakuvuta kwenye 18 zake kama ilivyotokea kwa mahasimu wa A. Kibanda. Tafakari ukipenda chukua hatua.
 
makamanda uwongo huu hii picha ni photoshop Kamanda Mnyika hawezi jichekesha hivi tunamuomba Slaa kesho atoe tamko kuhusu hii picha na Lissu awashtaki walioitengeneza hatuwezi kukubali kuchezewa hivi INTELIJENSIA yetu ni kali sana

Umezibuka.

Mara tu wamem-Lwakatare?
 
Hapa mnyika hajakosea chochote!
Ikumbukwe kuwa:-
1. Kumkosoa Kiongozi au serikali sio uadui.
2. Siasa ya vyama vingi sio kuchukiana na kununiana mkutanapo. Salamu ni wajibu na haimaanishi huna msimamo.
3. Chadema kuukemea ufisadi wa Magamba ni wajibu wao kikatiba na wala sio chuki binafsi.
HAPA MNYIKA KAONESHA UKOMAVU WA KISIASA NA SIO UNAFIKI. UNAMPA MTU LIVE NA KESHO MNAENDELEA KUISHI KAMA BINADAMU.
 
Chezea Mnyika weweee!!

Ndio mojawapo ya wajibu wa kiongozi wa upinzani kupigania kutatua matatizo ya wapiga kura wake. Wengine wanakazana na maandamano sijui watawaeleza nini waliowachagua ifikapo 2015. HONGERA MYIKA pamoja na hoja yako binafsi kutupwa bungeni lakini ulichokitaka kinatekelezwa.
 
Nalipinga wazo lake la kuwapa wana mabwepande kila familia mifuko 100 kwani najua wataiuza mtaani na nyumba hawatajenga!bora govt ingejenga au kutoa muongozo na usimamizi wa nyumba zao

WEWE NI BONGOLALA WA UKWELI, raisi ametoa mwongozo kuhusu usimamizi wa cement hiyo kwa maana isije ikaganda, au kuuzwa ikiwa na maana ifanyiwe kazi kama ilivyokusudiwa...
 
Hongera Mnyika na pia ahsante rais Kikwete kwa usikivu.tunaomba mtusaidie na umeme pia.Okoeni Tanesco!okoeni jiji letu la Dar.umeme unaturudisha nyuma sana.
 
Dogo,
Nimesikia unaniita dhaifu? Sasa tuone nani dhaifu!
 
Mwanzo ooooh hatumtambui...leo ohhh karibu mheshimiwa utufungulie mradi

hawa watu hawajaingia serikalini hawaishi kufanya U Turn, wakiingia je?
 
tatizo la wabongo mnaona siasa ni uadui. jamani eleweni siasa ni mtazamo tofauti lakini lengo lilelile la kuwaletea wananchi maendeleo. hongera bwana john japokuwa sijawahi kuwa mwanachadema.
hiyo ndo siasa. ukiyakuta mana ccm au machadema meingine yamenuniana kama nini? utafikiri micuf na miccm kule zenji enzi hizo bana. Aghhh!
 
Asee hii picha ikiwekwa kwa projector naweza kuambia mnyika anameno mangapi ila suala linakuja ivi ht ww ukikutana na JK must utamkenulia ila daah mnyika nampa red card kazidisha asee

Nilishasema hapa muda mwingine tunasumbuliwa na wivu tu, ZZK anasemwa sana kwasababu anapata fursa za kuonana na viongozi wakubwa wa Nchi na JK akiwemo, JJ Mnyika ni miongoni mwa waandaa fitna dhidi ya ZZK kuonana na JK , tuwe wakweli huwezi kufanya siasa bila kuwa karibu na wapinzani wako, Mbowe amefanya hivi huko HAI, selasini amefanya hivi rombo , mama slaa wa zamani kafanya hivi huko Arusha pia.

Tuondoe vibanzi vya kushabikia ubaya tu na kuandaa chuki kwa wenzetu, rejeeni injili ya yohana kwa wale waliomshtaki mama muasherati na yesu akawaambia asiyetenda dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza kurusha jiwe kwa mama huyu, wote wakaondoka kimya kimya.
 
Uso kwa uso na dhaifu.This is what is called a "PLASTIC SMILE". unacheka usoni lakini moyoni unajua unachokifanya.Hii ndiyo siasa.Mnyika muda mwingi huwa katika tabasamu.Hata alipomtukana jamaa bungeni, he came out laughing.picha hii hainishangazi
 
"WE ALL APPEAR LIKE MEN BUT WHEN WE OPEN OUR MOUTHS IS WHEN YOU CAN TELL BOYS FROM MEN" Chinua Achebe (The Arrow of God)
 
Nilishasema hapa muda mwingine tunasumbuliwa na wivu tu, ZZK anasemwa sana kwasababu anapata fursa za kuonana na viongozi wakubwa wa Nchi na JK akiwemo, JJ Mnyika ni miongoni mwa waandaa fitna dhidi ya ZZK kuonana na JK , tuwe wakweli huwezi kufanya siasa bila kuwa karibu na wapinzani wako, Mbowe amefanya hivi huko HAI, selasini amefanya hivi rombo , mama slaa wa zamani kafanya hivi huko Arusha pia.

Tuondoe vibanzi vya kushabikia ubaya tu na kuandaa chuki kwa wenzetu, rejeeni injili ya yohana kwa wale waliomshtaki mama muasherati na yesu akawaambia asiyetenda dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza kurusha jiwe kwa mama huyu, wote wakaondoka kimya kimya.

Unachokipinga ndicho unachokifanya tena!?
 
Unachokipinga ndicho unachokifanya tena!?

Sina unafiki nimepinga sababu nina ushahidi wa Mnyika kushabikia mambo ya ovyo kuhusu kukutana kwa JK na ZZK tuache fitna na tuwe wakweli kwa nafsi zetu.
 
alitaka kwenda kujionea au kushuhudia msitu wa mabwepande ambako ndio nyumbani kwa mahasimu wake kama akina ulimboka na wengineo wataofuatia wa aina hiyo...
 
usikute hapo mr Dhaifu aliachia kituko ndio maana MNYIKA akacheka,ukitaka kujua kwa nn MNYIKA hakupewa nafasi ya kuongea pale GOLANI,muulize MR DHAIFU.
 
Mwanzo ooooh hatumtambui...leo ohhh karibu mheshimiwa utufungulie mradi

hawa watu hawajaingia serikalini hawaishi kufanya U Turn, wakiingia je?

Madarasa ya M4C yanahitaji yaongeze somo la kuhusu siasa za upinzani. Upinzani sio uadui bali ni kwamba yule ambaye yuko nje (chama pinzani) amkosoe na kumshinikiza aliyeshika madaraka (chama tawala) hadi atimize wajibu wake. Ni utaratibu uliowekwa na kikatiba. Kama ungekuwa mwanafunzi mzuri wa M4C ungekuwa umeishaona matunda ya kazi za upinzani. Mojawapo kubwa sana ni huo mrejeo unaoutoa - kama si CDM kumkomalia Mh JK ikiwa ni pamoja na 'walk out' bungeni, leo hii tusingekuwa na mchakato wa Katiba Mpya (kumbuka hii haikuwa katika Ilani ya CCM). Mnyika ana kila sababu ya kujipongeza na kufurahi anapokutana na magambas maana amekuwa mstari wa mbele - bungeni na nje ya bunge kuyapasha ukweli. Hizi kimbiakimbia unazoziona kuhusiana na maji na huduma nyingine jijini Dar ni kutokana na mashinikizo kama hayo. Na ndio maana watu wenye uelewa wa kutosho ikiwa ni pamoaja na wanaCCM wangependa kuona upinzani unaimarika.
 
Back
Top Bottom