Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,066
- 1,047
Mh Pinda ni kiboko ya siasa za bongo...ameanza kwa kuwaweka kwenye reli zake.
'nani yule analala?'
Pm amemaliza? katoa maamuz gan?
Nimejitahidi kuisoma tone yake ya leo but sijaambulia chochote, lakini anaonekana ana confidence sana.Sioni dalili zozote za kuwajibika..... I am so disappointed now....