Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Lema,lissu na msigwa wametolewa nje eti kwa sababu ya kuvunja kanuni
watu wanapiga kelele za people's power-naona wanajaribu kukatakata sauti
naibu spika ameagiza watolewe hadi nje ya geti
Kwanini wabunge wote wa upinzani wasitoke nje??