Malipesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 310
- 32
wewe kwako IKULU ni kitu cha ajabu sana? Naona Huaelewa topic sawasawa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kila ki2 kinakwenda kwa mipango na ratiba hy ni ikulu bwana,, maadam wamekubaliana kukutana shaka iko wapi jamani? Kweli uhuru bila nidhamu ni fujo. Tusiwashurutishe hawa viongozi maadam tumekubali kuwapa ridhaa ya kuonana na mkuu watatuwakilisha vyema. Au kale ka imani bd hakatoshi?