Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,557
Mhe. Freeman Mbowe, Salva Rweyemamu, Waunguruma BBC Kuhusu Mkutanoo wa JK na Chadema!
Wameunguruma katika kipindi cha Dira ya Dunia, kinachoendela sasa!
Walikuwa wakihojiwa na Mtangazaji Aboubakar Mfamao.
Mhe. Mbowe alieleza lengo lao la kuzungumza na JK. Salva alieleza walivyokubaliwa.
BBC ikauliza Kikao ni lini?. Salva akajibu watafanya mawasiliano ya kiofisi kupanga lini wote watakuwa na nafasi.
Mhe. Mbowe amesema Chadema wako tayari wakati wowote, hivyo determinant ni JK tuu.
Angalizo!. JK yuko kwenye kikao cha NEC Dodoma kwa siku mbili, hivyo huo mkutano lazima uwe Jumatatu au Jumanne kwa sababu JK atausani ule muswada siku ya Jumatano ili Alhamisi tarehe 1 Desemba, sheria hiyo ndio inatakiwa iwe inaanza kutumika!.
Kitendo cha JK kukubali kukutana na Chadema, ni dalili njema, ila kwa kumbukumbu yangu, JK ni very strict na (arrogant) kwenye issue za kuhatarisha usalama wa taifa letu, kama nilivyo shuhudia wakati wa ile hotuba yake ya 'Mbayuwayu'. Naombeni niwape maandalizi ya kisaokolojia kwa wale wote wenye Great Expectetions na JK kuwa hatausaini, please just "Hope for the best, but be prepare for the worst!" kwa sababu, ATAUSAINI!
Kusikiliza fuata hii link http://www.bbc.co.uk/swahili/medianu...dunia_wed.shtm
Pasco.
Wameunguruma katika kipindi cha Dira ya Dunia, kinachoendela sasa!
Walikuwa wakihojiwa na Mtangazaji Aboubakar Mfamao.
Mhe. Mbowe alieleza lengo lao la kuzungumza na JK. Salva alieleza walivyokubaliwa.
BBC ikauliza Kikao ni lini?. Salva akajibu watafanya mawasiliano ya kiofisi kupanga lini wote watakuwa na nafasi.
Mhe. Mbowe amesema Chadema wako tayari wakati wowote, hivyo determinant ni JK tuu.
Angalizo!. JK yuko kwenye kikao cha NEC Dodoma kwa siku mbili, hivyo huo mkutano lazima uwe Jumatatu au Jumanne kwa sababu JK atausani ule muswada siku ya Jumatano ili Alhamisi tarehe 1 Desemba, sheria hiyo ndio inatakiwa iwe inaanza kutumika!.
Kitendo cha JK kukubali kukutana na Chadema, ni dalili njema, ila kwa kumbukumbu yangu, JK ni very strict na (arrogant) kwenye issue za kuhatarisha usalama wa taifa letu, kama nilivyo shuhudia wakati wa ile hotuba yake ya 'Mbayuwayu'. Naombeni niwape maandalizi ya kisaokolojia kwa wale wote wenye Great Expectetions na JK kuwa hatausaini, please just "Hope for the best, but be prepare for the worst!" kwa sababu, ATAUSAINI!
Kusikiliza fuata hii link http://www.bbc.co.uk/swahili/medianu...dunia_wed.shtm
Pasco.