wanaposhindwa hoja, wao huleta vioja vinginevyo wanabaki kubwabwaja!
nilianza kuamini uandishi wa habari umevamiwa. lakini sasa napata mashaka kuhusu credibility ya huyu ndugu. Je kama kuna ukweli wa hilo Ndimara na yeye alikuwa anavuta hela? kwa nini na yeye kabamizwa sasa. habari inatisha hii kwa kweli. Mzee mkjj usijaribu kuvuta kidogodogo ndugu yangu, watakumwagia acid, ohhooo!
Kwa hiyo na wewe umeshakubali this simple conspiracy theory bila hata kuipa thought kidogo, pole sana, ndio maana wapiga kura wetu ni rahisi kubadilishwa hata kwa kanga, I can understand!
Mkuu Mlalahoi,
Heshima mbele mkuu, unajua siku zote ninazipa heshima sana posts zako humu, isipokuwa sijawahi kuona ukitumia mabavu kupitisha hoja, Yaaaani matusi mazito kama kuwaita wananchi wazembe, wachovu wa weekend, na wanaotaka kuongeza idadi za posts hapa,
kwa sababu tu ya kuuliza kistaarabu iwapo kuna ukweli kwamba serikali n CCM inahusika na huuu uvamizi?
Maandishi yaliyo ukutani mnayoyaona some of you ambayo sis wengine hatuyaoni yako wapi hayo mkuu? Ndimara ninamfahamu sana amekuwa mbunge wa upinzani kwamuda hakumwagiwa acid, Slaa mwenyewe hajamwagiwa acid, Zitto hajamwagiwa acid, sasa iweje leo imwagiwe kwa waandishi tu?
Mimi kama ni fisadi, ninammwagia acid Zitto/Slaa wenye evidence, au waandishi wa habari ambao wanasubiri habari toka kwa Zitto na Slaa? I mean kama ni acid unaimwaga kwa chanzo cha evidence na sio messengers kina Ndimara, hii ishu ni nzito sana mkuu ni lazima tuichukulie serious sana kabla ya kuhukumu bila ushahidi maana in the end mambo kama haya yanaweza kuwa na influence kubwa sana kwa maamuzi ya kesi hiyo ya mafisadi, maana tukumbuke kuwa bado kuna muda mkubwa na wa kutosha kulingana na sheria zetu kwa mafisadi kwenda mahakamani, sasa maneno yasikyokuwa na uhakika kama haya yanaweza kuwapa nguvu hawa, maana kama ni acid unaimwaga kwa chanzo cha evidence na sio kwa muandishi tu wa habari, maana pia tujue kuwa kuna hili gazeti kuharibu biashara za magazeti mengine kwa kutoa habari nzito sana na hivyo kuuza kwa wingi kuliko magazeti ya establishment, kama kuna fats zaidi ziwekwe hapa jamani sio mabavu!
Mlalahoi, you are too big for this mkuu!
for a long time, wewe upo kwenye wrong side of the tracks......goodluck!!.
Quote:-
"kina ES na wenginea mtakuwa mnakubaliana nasi kuwa tukio hili la Kubenea lina mkono wa mafisadi,na kwa kuwa mafisadi ni wana CCM basi ni CCM ndo wahusika wakubwa,simple logoc will tell you that.Unless you can bring someting else out of all this."
Mkuu sio mfisadi wote ni wana-CCM, na CCM has nothing to do na mafisadi, halafu ninaomba nikuambie wazi kuwa so far toka hii topic ianze GT ndiye peke yake ametoa hard evidence ya anachokisema, ninaweza kumpa some support kwa sababu wengine wote mmeshindwa kutoa angalau a hint kuhusiana na madai yenu kuwa serikali ya CCM au mafisadi ndio wanaohusika na huu uharamia,
Ninarudia tena so far ni GT peke yake ndiye anaye make a sense kwa kutoa angalau "Evidence" ku-back up theory yake, hebu na nyinyi toeni japo dataz kidogo, badala ya kuanza analysis over analysis, bila dataz, siamini 100% anayosema GT, lakini kama mjadala ukifungwa sasa theory yake inasimama tena kwa nguvu sana, kwamba Mwandishi alikuwa aki-play double stadard against the rules za uandishi, Mkuu Kithuku, lete facts tuacheni na analysis bila facts!
Please tunahitaji facts na sio itikadi na hisia, pia tunawaombea walioathirika kupona haraka warudi kutuamusha wananchi. Lakini ukisoma hapa chini GT makes a lot of sense na pia ana back-up theory yake na some "Evidence" ingawa siamini lakini angalau mnyonge mnyongeni lakini ninaichukulia hii chini as a fact unless mwingine aje naz tofauti, please enough of analysis tunahitaji facts!!