kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 627
Yule mwingine mwana harakati aliyekuwa anamchafua mfalme wa saudia
Mamlaka ikamkatakata kama nyama wakatupiwa mamba mtoni
Maisha yanaendelea saudia bado ni tulivu yeye mwana harakati katangulia baguani..kelele nyingi azina mashiko watawala wakikutaka paah kimya hakuna cha mzungu wala muhindi...
Naungana na mtoa hoja kelele za lisu ni porojo kwanza sio mjenga hoja ni mpiga kelele tu kama marehemu mtikila
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamlaka ikamkatakata kama nyama wakatupiwa mamba mtoni
Maisha yanaendelea saudia bado ni tulivu yeye mwana harakati katangulia baguani..kelele nyingi azina mashiko watawala wakikutaka paah kimya hakuna cha mzungu wala muhindi...
Naungana na mtoa hoja kelele za lisu ni porojo kwanza sio mjenga hoja ni mpiga kelele tu kama marehemu mtikila
Sent using Jamii Forums mobile app