Bashiru Ally amepata promotion mwezi July 2013 kutoka Assistant Lecturer na kuwa Lecturer...Ameitafuta muda mrefu Phd kwa sababu ya ukiritimba uliopo kwenye system ya Elimu Tanzania huku wenzie wakienda Ulaya hususani Ujerumani na Uingereza na kurudi na Phd ndani ya miaka mitatu. Ni Mwalimu mzuri sana
Hilo linajulikana Mkuu....Kuwa promoted kutoka Assistant Lecturer hadi Lecturer siyo kigezo (kwa vyuo vya Tanzania) cha kusema huyo jamaa amepata PhD!!
Dr. Bashiru alishindwa uchaguzi wa DARUSO mwaka fulani alipogombea uraisi dhidi ya Bw. Maimu kutoka kitivo cha uhandisi ambaye alishinda uraisi. Historia ina kawaida ya kujirudia, kama akigombea ubunge si ajabu akaambulia patupu hata kama ana uwezo mkubwa wa kiuongozi.
jina lake(BASHIRU UHADI).. linadhihirisha DINI YAKE..haha..mmeshafikia hapo?Si wa kile kitengo cha wapiga matarumbeta wa kukodi toka chuo kilichoipa nchi hasara UDSM.?Haha...napita tuu.
Hilo linajulikana Mkuu....
Bashiru zamani nilimwona kama msomi ambaye alikuwa anataka kuibadilisha hii nchi, ila nilimushuhudia kwenye kituo kimoja cha tv wakijadili kuhusiana na mabomu yaliyolipuliwa arusha, alikuwa anaongea kama mtu aliyetekwa na siasa za udini, badala ya kuongea hali halisi alijifunua na tukamujua namna alivyo, kwa ufipi mi namwona kama mtu hatari sana na hasa kwa kueneza propaganda za udini. Siku hizi hachambui mambo kama msomi mwenye kutaka kuleta mabadiliko ila anaongea km mtetezi wa dini fulani na pia kama mchocheza na mchonganishi
He does not fit in to your CDM system because of the following three concrete reasons...haha..mmeshafikia hapo?Si wa kile kitengo cha wapiga matarumbeta wa kukodi toka chuo kilichoipa nchi hasara UDSM.?Haha...napita tuu.
Mh! Mbona hiyo PhD yake hadi kesho hajaimaliza?!?
hapo ndo tunapokosea......
siyo kila mtu mwenye upeo fulani lazima aingie kwenye siasa, tunahitaji wataalamu wengi zaidi ya wanasiasa... wataalamu ambao hawajafungwa siasani ndo pekee ambao wanaweza kututoa point moja kwenda nyingine. si tunashuhudia wenyewe hapa jinsi ambavyo watu wengi tuliowaamini sana kwa utaalamu wao wanavyotuangusha wakienda huko ulingoni?
Mi nadhani hapo alipo patamuwezesha kusambaza hayo mazuri aliyonayo vizuri zaidi kuliko akienda jimboni
Akiingia kwenye hawezi kuwa na hiyo misimamo yake km ni cdm ajue kina Mbowe watamdrive na atageuka kuwa mburula. Mwache aeneze maarifa.