Mh................!!!

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?
 
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?

Sumu haijaribiwi kwa kuionja.
 
Mwanajamii1 yaani umenifanya nitabasamu..
Kuna kaka mmoja alioa Binti aliyekuwa changudoa
Wamekaa binti katulia na wakawa wamejipatia mtoto wa kike.
Mara binti akaanza vitabia vyake vya uchangu tena..
Hiyo ndoa haipo na dada anaendelea na hiyo kazi yake ..wakati kaka analea mwanae .
 
Inategemeana amekueleza ameachaachaje mambo hayo!
Je anaonesha majuto ya kile alichokuwa anafanya?
Au alibanwa na jamii, familia au institution fulani ndipo akapumzika kutenda hayo?

Kama jibu lake ni hilo la 2, basi aweza kuja kwa kasi mbaya zaidi!
Check out!
 
Hahahahaha!!!!

Uwezekano upo wa yeye kubadilisha mwenendo wake kwa kutegemea influence yako and how you treat him/her at the same time kuna wale wanawake ambao wanajiuza wanajikuta they fall in love with someone na hatimaye wanakuwa housewife i have seen one ambaye alikuwa anajiuza but ghafla akapata mwanaume ambaye alimpenda na hatimaye akakubali kuwa mke, thou pia kuna usemi unasema "Once a good girl has gone bad, she's gone bad forever"
 
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?

Niliwahi kuuliza swali hilo miaka ileee bila kupatikana jibu muafaka....

...ukitegemea mchumba wako atabadilika tabia ukishamuoa, jua unajitafutia kujiudhi roho tu. Tabia hazibadilishiki. Kama mwanamke/mwanaume alikuwa mzinzi ataendelea hivyo hivyo hata mkioana.

Kama mwanamke.mwanaume alikuwa mdokozi, mchoyo, mchafu, mwongo...nk atayaficha makucha yake kwa kipindi fulani kutimiza malengo yake, kisha maisha yataendelea kama kawaida.

Wazee wetu ndoa zao zilidumu kwakuwa kwenye kutafuta mchumba, walihusishwa wanafamilia na marafiki wa karibu kwenye kutoa ushauri na maamuzi yupi anafaa, au hafai.

Ndoa za kisasa, waamuzi wa mwanzo na wa mwisho ni wanandoa wenyewe.
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/37029-tabia-haibadiliki.html

Nadhani, jibu la msingi kwa swali hili yafaa kila mmoja wetu ajiulize mwenyewe.

Je,....zile tabia zako mbaya unazipa nafasi ya kuzirudia tena kwenye mahusiano mapya?
Kama jibu ni hapana then 'who are we to judge others' watazirudia?
 
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?
Mi namjua mbaba mmoja hivi alimuoa baamedi aliyekuwa anagawa kama pipi. Huwezi amini alivyobadilika. Hii ishu bana huwezi kupata jibu la moja kwa moja manake inategemea n'tu na n'tu...Ila kuwa safe zaidi.........Usiijaribu sumu kwa kuionja.

BTW ndo kusema nijiandae kukamata mahari ya Jambazi?
Chunga tamaa mbaya.
 
Inategemea, hizo tabia mbaya anazifanya kwa kulazimika au kwa kuchagua?
  • Kama anafanya kwa kukosa machaguo, akipata machaguo, anaweza kuchagua kuacha!
  • Kama amechagua hayo maisha, uwezekano wa kuacha ni next to impossible
 
kama uamuzi wa kubadilika ulikuwa wa kwake binafsi uwezekano ni mkubwa akaendelea kuwa na tabia njema, ukiongezea na support anayopata kutoka kwa wanaompenda (u inclusive). lakini asiseme anataka kubadilika kwa ajili yako ww! muhimu ni kutambua kuwa kamwe huwezi kumbadilisha mtu tabia,inabidi ajutie na kutaka kubadilika yeye mwenyewe. manipulation haisaidii hata kidogo, lakini toa support yako inapobidi (kwa kumtia moyo na kumuombea pia). Mungu ameweka njia mbili mbele ya kila mwanadamu, huwezi kum'buruzia kwenda njia nzuri
 
Uwezekano wa kuziacha kabisa upo au wa kutoziacha,maana inategemea kwanini alikuwa anafanya hivyo,maana kama uchangu,wizi watu wengine wanafanya kwa ajili ya ugumu wa maisha,na wengine wanafanya hivyo kwa hulka na raha zao,thus inategemea na sababu kwanini huyo mtu alijiingiza huko.
 
yote yawezekana chini ya jua
NN aksante nadhani kuna ukweli hapa kuwa yote yanawezekana but will you be willing kuingia mkataba na mtu wa aina hii bila kuwa na uhakika? kama hapana, utasubiri mpaka lini ndipo ujiridhishe na kufanya maamuzi?

Sumu haijaribiwi kwa kuionja.

Aksante Mkirua ......na huu ni mtazamo wa wengi!! sio kuwa tunawanyima second chances hao ambao wamebadilika??
 
MJ1 Nyani N kasema vizuri labda na mimi nifafanue zaidi

1.Wanasema chizi haponi ila huwa anapata nafuu tu,siku akiona jalala anatamani arudi kuchakuachakua.Hivyo kuna uwezekano huyo mtu
akarudia asili yake

2.Lakini kisheria pia mhalifu akipelekwa mahakamani kosa au makosa aliyofanya nyuma hayawezi kutumika kama ushahidi wa kuthibitisha uhalifu
wake alioufanya sasa.Mfano kama mtu anakosa la utapelii akakamatwa na kufunguliwa kesi kisha akatoka kwa dhamana naakiwa chini ya dhamana akatapeli mtu mwingine,mtu huyu akipelekwa mahakamani hiyo ni kesi mpya wala haitakuwa nauhusiano na ile ya mwanzo.

Kwahiyo yote yanawezekana ila isim judge mtu kwa past yake,wapo watu nawafahamu walikuwa na maisha machafu lakini sasa wana ndoa zao stable kuliko za wale walioonekana wana maadili.

Kila raheli,usisahau kutupa mshindo nyuma wa huu mchakato
 
Anaweza kuziacha kbs au aziache kwa muda thn arudie tena. Ila sasa ukimkuta aliyeziacha, huwa anaziacha KABISA! anakuwa ni tofauti mpk ukiambiwa mambo aliyokuwa anafanya zamani huwezi kuamini!
 
Wapendwa
Nawaamkua!!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.

Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?



kuku ni kuku tu, jogoo jina.......................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom