MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #21
Mwanajamii1 yaani umenifanya nitabasamu..
Kuna kaka mmoja alioa Binti aliyekuwa changudoa
Wamekaa binti katulia na wakawa wamejipatia mtoto wa kike.
Mara binti akaanza vitabia vyake vya uchangu tena..
Hiyo ndoa haipo na dada anaendelea na hiyo kazi yake ..wakati kaka analea mwanae .
Loh hapa inasikitisha kuwa once gone bad, gone bad forever eh? mwe!! aksante dada kwa mfano hai huu