Kwako muheshimiwa Wenje tafadhali niombe radhi.
Nimekusikia jana ukieleza bungeni kwamba wale wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji.
Baba yangu nae miongoni mwao. Kweli baba yangu mzazi kabisa adanganyike na kitu kidogo kama chakula?
Kwangu hili tusi kwa mzazi wangu.
Mh,WENJE kauli zako zinaudhi
Kwako muheshimiwa Wenje tafadhali niombe radhi.
Nimekusikia jana ukieleza bungeni kwamba wale wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji.
Baba yangu nae miongoni mwao. Kweli baba yangu mzazi kabisa adanganyike na kitu kidogo kama chakula?
Kwangu hili tusi kwa mzazi wangu.
Mh,WENJE kauli zako zinaudhi
Baba ako tena? Kwani akiwa baba anakosa sifa za kupokea rushwa? Vingapi ambavyo baba ako anafanya na hujui? We unayofanya yote watoto wako wanajua?
Mambo mengine huhitaji kumsemea mtu, we mtu mzima bwana mwache mzee ale rushwa
Mkuu hata kama ni rushwa sitegemei mtu kama mbunge posho anayopata adanganyike kwa kitu kama chakula.
Rushwa ya chakula sio kwa mtu mwenye hadhi ya ubunge.
Kwasababu umetaka tujue kwamba baba yako yumo pale mjengoni' sasa funguka zaidi, tuambie jina lake ili tupime kama nae kilaza na mchumia tumbo kama wengine au anaweka mbele maslahi ya taifa? Kwakusikiliza hoja zake tutajua kama huu utetezi wako una mashiko au nawewe ndo walewale?
Mkuu hata kama ni rushwa sitegemei mtu kama mbunge posho anayopata adanganyike kwa kitu kama chakula.
Rushwa ya chakula sio kwa mtu mwenye hadhi ya ubunge.
Sasa waliowapa chakula wamekubali kula ubwabwa baba yako atakataa nini mwambie aache kutumiwa kwa njaa zake
Kwako muheshimiwa Wenje tafadhali niombe radhi.
Nimekusikia jana ukieleza bungeni kwamba wale wajumbe 201 wa bunge maalum la katiba wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji.
Baba yangu nae miongoni mwao. Kweli baba yangu mzazi kabisa adanganyike na kitu kidogo kama chakula?
Kwangu hili tusi kwa mzazi wangu.
Mh,WENJE kauli zako zinaudhi
Point si kujua umahiri wa baba yangu pengine huenda ndio wale ktk kura 7 zinazoharibika.
Sijazungumzia umahili wake' Bali nataka tupime hoja zake. Ili kwakupitia hoja zake tupime kama kweli WENJE hakumtendea haki na pia tupime huu utetezi wako anastahili?