Mh.Waziri Masha HAJUI idadi ya magereza Tanzania

Nadhani hapa hatumpimi kwa haki Lau. Itakuwa kwa haki endapo tungemlinganisha na mtu mwingine au watu wengine kwenye nafasi kama ya kwake ili kujua kama kutokujua "idadi" kunatosha kumfanya aonekane haijui wizara nzima.

- Je waziri wa Ulinzi anajua idadi ya kambi zote za jeshi nchini off the top of his head?
- Je waziri wa elimu anajua idadi ya vyuo vikuu vyote nchini na shule zote za sekondari za serikali ukimuuliza tu
- Je Waziri wa Afya anajua idadi ya hospitali zote za serikali nchini?

Mimi naona hili ni suala la cheap politics - ningependa hasa kujua beside ya kutokujua idadi. alizungumza nini cha kuoneshe incompetence yake?
 
Utapangaje mipango ya kuboresha hali za magereza huku hujui idadi yake? Lol...wewe nawe bana....sijui akili yako inafanyaje kazi tu....

Unaweza kabisa kujua sera ya wizara yako kuhusu magereza bila kujua idadi kamili ya magereza! Idadi kamili inaweza kukupiga chenga lakini si sera. kwa detail zaidi angem-refer kwa Kamishna wa magereza. Lakini kwenye sera hakuna kwa ku-refer.

Na ukweli ni kuwa angetoa figure yeyote hakuna ambaye angempinga. Mngeenda kwenye hizo website ambazo hakuna ambae ana zi-update, waziri angeweza kuwaruka kimanga kuwa idadi aliyotoa ndio sahihi! Mimi ningeelewa kama hili swali lingekuwa ni la kuanzia tu na funga kai ingefuata. Kweli katika maswali yote ya kumuuliza waziri hili ndio lilionekana la msingi?

Amandla.......
 
Unaweza kabisa kujua sera ya wizara yako kuhusu magereza bila kujua idadi kamili ya magereza! Idadi kamili inaweza kukupiga chenga lakini si sera. kwa detail zaidi angem-refer kwa Kamishna wa magereza. Lakini kwenye sera hakuna kwa ku-refer.

Na ukweli ni kuwa angetoa figure yeyote hakuna ambaye angempinga. Mngeenda kwenye hizo website ambazo hakuna ambae ana zi-update, waziri angeweza kuwaruka kimanga kuwa idadi aliyotoa ndio sahihi! Mimi ningeelewa kama hili swali lingekuwa ni la kuanzia tu na funga kai ingefuata. Kweli katika maswali yote ya kumuuliza waziri hili ndio lilionekana la msingi?

Amandla.......

Ahsante Fundi,

Usipotee hivyo kaka, busara zako zahitajika !
 
Nadhani hapa hatumpimi kwa haki Lau. Itakuwa kwa haki endapo tungemlinganisha na mtu mwingine au watu wengine kwenye nafasi kama ya kwake ili kujua kama kutokujua "idadi" kunatosha kumfanya aonekane haijui wizara nzima.

- Je waziri wa Ulinzi anajua idadi ya kambi zote za jeshi nchini off the top of his head?
- Je waziri wa elimu anajua idadi ya vyuo vikuu vyote nchini na shule zote za sekondari za serikali ukimuuliza tu
- Je Waziri wa Afya anajua idadi ya hospitali zote za serikali nchini?

Mimi naona hili ni suala la cheap politics - ningependa hasa kujua beside ya kutokujua idadi. alizungumza nini cha kuoneshe incompetence yake?

Exactly my sentiments MM.
 
Nadhani hapa hatumpimi kwa haki Lau. Itakuwa kwa haki endapo tungemlinganisha na mtu mwingine au watu wengine kwenye nafasi kama ya kwake ili kujua kama kutokujua "idadi" kunatosha kumfanya aonekane haijui wizara nzima.

- Je waziri wa Ulinzi anajua idadi ya kambi zote za jeshi nchini off the top of his head?
- Je waziri wa elimu anajua idadi ya vyuo vikuu vyote nchini na shule zote za sekondari za serikali ukimuuliza tu
- Je Waziri wa Afya anajua idadi ya hospitali zote za serikali nchini?

Mimi naona hili ni suala la cheap politics - ningependa hasa kujua beside ya kutokujua idadi. alizungumza nini cha kuoneshe incompetence yake?

Hao wote wanatakiwa kujua hayo kama ambavyo raisi anatakiwa kujua nchi yake ina mikoa mingapi na ana mawaziri wangapi kwenye baraza lake.

Siamini macho yangu hapa kuona mnatetea hili. SMH

Hata baba aliye responsible anatakiwa ajue idadi ya wanae....unless wewe uniambie hujui una ma-junior wangap...lol...maana inawezekana hujui atiii
 
Forget about splitting hairs, I have an atom smasher hapa Fermilab chamtoto linakimbizana na CERN huko.

Sasa muda wote unabishana hata hujui Masha kasema nini?

Nukuu kamili iko wapi? Unayo? Au unachukulia hiyo iliyoandikwa hapo juu kuwa ndio kamili?
 
Baada ya miaka yote hiyo ktk wizara hajui idadi ya magereza!

Anachojua ni nini?

Hebu muulizeni majina ya ukoo ya miss Tanzania wa 2005 - 2009 muone!
 
Baada ya miaka yote hiyo ktk wizara hajui idadi ya magereza!

Anachojua ni nini?

Hebu muulizeni majina ya ukoo ya miss Tanzania wa 2005 - 2009 muone!

Usikute hata hajayatembelea yote.....shameful.

Angekuwa ndio kaingia tu wizarani hapo ningem-cut some slack. Sasa yeye yuko tokea sijui mwaka gani mpaka hii leo hajui. Very shameful.
 
Mimi simfagilii Masha kwa kawaida.


Ukitegemea waziri ajue details zote hizi utategemea nini tena? Ajue vituo vyote vya uhamiaji, polisi etc? Akiwa ana focus kwenye hizi details ataweza kufocus kwenye the big and strategic picture?


Labda Waziri Masha kaona hakuna haja ya kutembea na exact statistics kichwani wakati zinaweza kupatikana kirahisi tu, na badala ya kutembea na statistics kichwani, hiyo memory space inaweza kutumiwa vizuri kama itachukua some grand plan.

Sasa kama mngesema hajui jibu la kitu strategic, kwa mfano jinsi gani ya kukabili magonjwa magerezani, hapo ningeona kuna issue.
Hivi wewe mzima kweli??
 
Hao wote wanatakiwa kujua hayo kama ambavyo raisi anatakiwa kujua nchi yake ina mikoa mingapi na ana mawaziri wangapi kwenye baraza lake.

Siamini macho yangu hapa kuona mnatetea hili. SMH

Hata baba aliye responsible anatakiwa ajue idadi ya wanae....unless wewe uniambie hujui una ma-junior wangap...lol...maana inawezekana hujui atiii

Wewe unajua una ma file mangapi kwenye computer yako?
 
Nyani.. suala la kutembelea magereza hilo ni muhimu sana, suala la ukosefu wa vifaa vya kuzimia moto, au hata kusimamia shule na vyuo vyote viwe na fire alarms na extinguishers ni muhimu kutaka kujua lakini idadi ya magereza in the hierarchy of importance sidhani kama ni muhimu kihivyo kwa sabbau akitupa namba tu halafu what?
 
Wewe unajua una ma file mangapi kwenye computer yako?

Wewe utakuja na kila aina ya mifano mingine ambayo hata haihusiani lakini huwezi kuhalalisha Masha kutokujua magereza yaliyo chini yake ni mangapi. Sasa kuniuliza mimi kwenye computer yangu nina mafaili mangapi tayari umesharuka swali la msingi. Swali la msingi hapo lingekuwa wewe una computer ngapi na off the top of my dome ningekwambia ninazo mbili; desktop na laptop. Next?
 
Nadhani hapa hatumpimi kwa haki Lau. Itakuwa kwa haki endapo tungemlinganisha na mtu mwingine au watu wengine kwenye nafasi kama ya kwake ili kujua kama kutokujua "idadi" kunatosha kumfanya aonekane haijui wizara nzima.
MM magereza si sawa na shule au Hospitali ambazo zimetapakaa nchi nzima hadi vichochoroni, magereza kwa kila wilaya hayazidi moja na kwenye mageereza mengi ni hapa Dar ambapo kuna magereza ya Segerea,Ukonga na Keko, na kumbuka pia kuna baadhi ya wilaya zina - share gereza.

tunapozungumzia strategies tunamaanisha Logistic na Logistic ni Data, kama hana Data hawezi kutengeneza Logistic na kama huwezi kutengeneza Logistic basi kwenye strategy ujue utaibuka na sifuri.
 
Nyani.. suala la kutembelea magereza hilo ni muhimu sana, suala la ukosefu wa vifaa vya kuzimia moto, au hata kusimamia shule na vyuo vyote viwe na fire alarms na extinguishers ni muhimu kutaka kujua lakini idadi ya magereza in the hierarchy of importance sidhani kama ni muhimu kihivyo kwa sabbau akitupa namba tu halafu what?

In the hierarchy of importance linaweza lisiwe na umuhimu sana, hapo sikatai. Lakini pia halina ugumu wa kujua. Hivi unataka kuniambia Tanzania tuna magereza maelfu ya mamia hadi usijue idadi yake?

Kikwete akisema kesho hajui Tanzania ina mikoa mingapi ukilinganisha na matatizo yanayo-face hiyo mikoa utaona ni sawa na huo mfano ulioutoa lakini would you excuse that? Please don't tell me you would coz I want to be like you when I grow up and if you excuse that you will be letting me down big time....
 
MM magereza si sawa na shule au Hospitali ambazo zimetapakaa nchi nzima hadi vichochoroni, magereza kwa kila wilaya hayazidi moja na kwenye mageereza mengi ni hapa Dar ambapo kuna magereza ya Segerea,Ukonga na Keko, na kumbuka pia kuna baadhi ya wilaya zina - share gereza.

tunapozungumzia strategies tunamaanisha Logistic na Logistic ni Data, kama hana Data hawezi kutengeneza Logistic na kama huwezi kutengeneza Logistic basi kwenye strategy ujue utaibuka na sifuri.

Kuna jingine la Butimba na Mwanakijiji analijua sana hilo....(imebidi niingize utani kidogo hapa maana hawa jamaa leo wameniangusha kwa kweli)
 
Nadhani hapa hatumpimi kwa haki Lau. Itakuwa kwa haki endapo tungemlinganisha na mtu mwingine au watu wengine kwenye nafasi kama ya kwake ili kujua kama kutokujua "idadi" kunatosha kumfanya aonekane haijui wizara nzima.

- Je waziri wa Ulinzi anajua idadi ya kambi zote za jeshi nchini off the top of his head?
- Je waziri wa elimu anajua idadi ya vyuo vikuu vyote nchini na shule zote za sekondari za serikali ukimuuliza tu
- Je Waziri wa Afya anajua idadi ya hospitali zote za serikali nchini?

Mimi naona hili ni suala la cheap politics - ningependa hasa kujua beside ya kutokujua idadi. alizungumza nini cha kuoneshe incompetence yake?

Umesahau kumuuliza Magufuli tonnage za samaki wa L. Victoria.

Suppose wote hao wanashindwa kutoa majibu sahihi ya maswali yako. Je, hiyo itakuwa ni ahueni kwa Masha? Tutasema eti Masha anafaa kwa sababu wote hao wameshindwa?

Tutasema wote hawafai na tuna haki hiyo.

Kwa nini mtu usema ni cheap politics. Tangu lini nchi hii iwe na serious politics? Tulianza kuuliza maswali ya ahadi za mwana TANU, tukaingia kuwatisha wapiga kura kwa kuwaonyesha picha za mauaji ya Rwanda, sasa hivi tunafupisha vikao vya Bajeti na kuleta maendeleo kwa kutumia Brazil.

Let us use the available weapon.
 
La msingi siyo Waziri kufahamu idadi KAMILI, bali tunategemea angefahamu na kutoa ANGALAU rough estimate au approximation kwa mfano, "ninakisia idadi ya magereza nchi nzima ni zaidi ya elfu moja na mia tano" mfano. Kwa kushindwa kutoa ANGALAU makisio ya juu juu ni dalili kwamba hayuko serious and he's basically incompetent.
 
MM magereza si sawa na shule au Hospitali ambazo zimetapakaa nchi nzima hadi vichochoroni, magereza kwa kila wilaya hayazidi moja na kwenye mageereza mengi ni hapa Dar ambapo kuna magereza ya Segerea,Ukonga na Keko, na kumbuka pia kuna baadhi ya wilaya zina - share gereza.

tunapozungumzia strategies tunamaanisha Logistic na Logistic ni Data, kama hana Data hawezi kutengeneza Logistic na kama huwezi kutengeneza Logistic basi kwenye strategy ujue utaibuka na sifuri.

Mbona wagumu kutofautisha nini tofauti ya mtu kusema "I don't have this info off the top of my head" na "we don't have this info" ?

Yaani watu walivyomshupalia utadhani kasema Wizara haijui tuna magereza mangapi, kumbe data zipo na zimewekwa mpaka mtandaoni, na link tumetoa hapa.

Hivi mnafikiri hii decision making process inafanywa on the fly, off the top of people's heads?

This is exactly what Clouds FM intended, kuwa distract watu kutoka ku discuss serious issues kibao, waende ku focus kwenye trivialities za namba ya magereza. Na wabongo wamekubali line, hook and sinker.

At the end of the day Masha kafanya interview, kaulizwa softball questions, kashafanya distractions, watu wanaongelea trivia.

Akiulizwa anatamba I am in touch with the people and the press, I just did a live interview with a popular radio station and took some burning questions.

Huku watu hawaongelei strategy wala policy, wana focus kwenye trivia za accounting.
 
Mbona wagumu kutofautisha nini tofauti ya mtu kusema "I don't have this info off the top of my head" na "we don't have this info" ?

Yaani watu walivyomshupalia utadhani kasema Wizara haijui tuna magereza mangapi, kumbe data zipo na zimewekwa mpaka mtandaoni, na link tumetoa hapa.

Hivi mnafikiri hii decision making process inafanywa on the fly, off the top of people's heads?

This is exactly what Clouds FM intended, kuwa distract watu kutoka ku discuss serious issues kibao, waende ku focus kwenye trivialities za namba ya magereza. Na wabongo wamekubali line, hook and sinker.

At the end of the day Masha kafanya interview, kaulizwa siftball questions, kashafanya distractions, watu wanaongelea trivia.

Akiulizwa anatamba I am in touch with the people and the press, I just did a live interview with a popular radio station and took some burning questions.

Huku watu hawaongelei strategy wala policy, wana focus kwenye trivia za accounting.

Wewe si ni mzee wa preciseness wewe? Mimi siridhiki na hiyo "I don't have this info off the top of my head". Hiki siyo kitu kinachobadilika badilika kama idadi ya wahamiaji haramu kutoka Mexico. Hatujengi magereza mapya kila mwaka. Waziri mhusika anatakiwa kujua idadi yake period.
 
Back
Top Bottom