Mh.Waziri Masha HAJUI idadi ya magereza Tanzania

Presidential candidates wanaulizwa maswali wana nyumba ngapi sembuse waziri kuulizwa idadi ya magereza yaliyo chini ya wizara yake?

Huwezi kufanya comparison ya nyumba za mtu binafsi na magereza ya taifa. Na hata hizo nyumba Mzee McCain ana nyumba kibao mpaka akashindwa kuzi account vizuri kwenye presidential election.

Tatizo kitu cha msingi hapa ni kipi? Maana idadi ya magereza inatakiwa iwe starter question inayoelekea kwenye prison / prisoner density, Human rights violations, prisons as incubators of communicable diseases, unlawful and unnecessary imprisonment, free citizen/ prisoner ratio etc etc.

Tunaongelea hayo mambo yote? Au tunakazania kutolea macho waziri hajui idadi ya magereza kama hiyo ndiyo end of the story?

Wakati idadi ya magereza iko googable kabisa yani, vilaza wa Clouds FM hawajafanya homework yao tu.

Hata wewe kazini kwako sijui kama una kila figure at the tip of your tongue.Kusema "I don't have that off the top of my head" and "I will get back to you on that one" katika jamii ya watu wa kweli na precise si jambo la ajabu.

Mbona watu tunafanya hivyo corporate America kwenye cutthroat competition na "attention to detail"?. Tena rather than give an inexact unverified estimate, ukisema hivyo katika some meetings unaonekana mtu makini unaetaka uhakika kabla ya kujibu, sio kutoa figures hewa ili uwaridhishe watu tu.

Kama tunamshika shati Masha tumshike kwa mambo ya msingi, ambayo yapo mengi tu.

Siyo hizi trivial teetotaling.
 
stanluva

inaonekana hata comprehension yako ndogo, wapi nimesema masha ni mtendaji mzuri? Hebu nionyeshe hiyo sehemu.

Mimi naweza kukuonyesha sehemu niliposema masha ana mapungufu yake kibao genuine, na wala hahitaji mumletee issues za kuunga unga hapa.

Hebu nionyeshe wapi nimesema masha mtendaji mzuri.

Naona hata kuelewa maandishi tu kunakushinda.

mengine wanaweka wenyewe kwenye tovuti lakini hawasomi wala kujua mpaka wakurupushwe mzee ona hizi taarifa za idara ya huduma ya magereza ambayo ipo kwenye website ya wizara ya mambo ya ndani amabzo masha anapaswa kuzijua kuliko mtu mwingien yeyote yule hapo wizarani >
the tanzania prisons service historical background/about the department

the tanzania prisons service hereinafter ‘the tps' was officially established as a fully-fledged government department on 25th august, 1931 . Prior to that date, the service was administered under the police force. This change did not result in much improvement of prisons conditions as the emphasis remained on safe custody. The incarceration of inmates in maximum security institutions built in major towns and district centers, hard labour and racial segregation in their treatment was a significant feature of the prisons reality. This prisons policy was reflective of its philosophical basis of retribution and incapacitation that prevailed all though the german colonial era ending 1919 and the british protectorate era ending with independence in 1961.

After independence. A new prisons policy was adopted embracing humane treatment of offenders and justice as its core value. The objective was rehabilitation of offenders as a contribution to community safety. In practice, this philosophical shift was manifested by :-
  • introduction of a new legislation, the prisons act, 1967 which embodies the spirit of international basic human rights instruments ;
  • establishment of several open farm prisons in the rural areas which were designated to be centers of excellence for imparting agricultural skills to inmates and to extend such services to surrounding communities ;
  • establishment of vocational training centers in mbeya and morogoro regions for skills-training to inmates. These were linked to the national vocational education and training authority so that certification of graduates is universally recognized ;
  • expansion of economic projects inside the inherited closed prisons for skills-training for long term prisoners ;
  • establishment of educational programmes of different levels in prisons including adult basic education, general academic subjects and primary school education for school drop-outs at the young offenders' prison ; and
  • adoption of a new training curriculum for prisons staff in line with the new approach whereby observance of human rights was emphasized.
with these new developments, prisons condition began to pick up a more humane face and the image of the tps was very much enhanced both within and outside the country as of the early 1970s.
Today the tps consists of 122 institutions, 21 regional offices, two staff training centers, four vocational training facilities and head office. The regional offices provide administrative oversight, while the head office effect management and administration of all prisons stations countrywide.

The tps is responsible for the custody and care of more than 45,000 inmates while its accommodation capacity is 22,669. This implies that the prisons facilities are overcrowded by more than 100 percent.
The service protects public safety by ensuring that all convicts serve their sentences of imprisonment in facilities that are humane, cost-efficient and appropriately secure. The service helps reduce the potential for future criminal activity by encouraging convicts to participate in a range of programmes that have been proven to reduce recidivism.
The service's 11,639 employees ensure the security of prisons countrywide, provide inmates with needed programmes and services.



The Tanzania Prisons Service
 
mengine wanaweka wenyewe kwenye tovuti lakini hawasomi wala kujua mpaka wakurupushwe mzee ona hizi taarifa za idara ya huduma ya magereza ambayo ipo kwenye website ya wizara ya mambo ya ndani amabzo masha anapaswa kuzijua kuliko mtu mwingien yeyote yule hapo wizarani >

Mazee,

Nimeiweka hii link ya Wizara earlier hapo juu.

Wamekuwekea info kwenye website ya Wizara ili uwe na info at the ready, siku Masha anakuja Clouds FM au sehemu yeyote msianze kuulizana habari za "kuna magereza mangapi, wafungwa wangapi" hizi habari zitawapotezea muda, washaziweka kwenye site ili Masha asihitaji kuzijua at the top of his head unnecessarily.

Ndiyo maana zikawekwa mtandaoni, ili hata mtoto wa darasa la sita anayeandika insha kuhusu magereza aweze kuzipata.

Sasa Clouds FM wanaharibu muda kwa kuanza kuuliza maswali ambayo kila mtu mwenye internet anapata majibu. Mimi nilitegemea wangeanza kuuliza swali kwa kusema "tuna magereza kiasi kadhaa yenye wastani wa cell kiasi kadhaa na wastani wa wafungwa kadhaa kwa kila cell, kwa nini tunaweka wafungwa wengi katika cell moja? Hatuoni kwamba wataambukizana magonjwa? Hatuoni kama badala ya gereza kuwa sehemu ya kurekebisha tabia wale majambazi waliokubuhu watawafundisha tabia mbaya wale watu waliofungwa kwa makosa madogo"?

Kwangu mimi hili ni swali lenye mantiki, sio kuuliza idadi ya magereza.Ukiuliza idadi ya magereza wakati iko kwenye net nakuona hujafanya homework yako tu.

Na Waziri akiulizwa swali kama hili wakati washaliweka kwenye net anaweza kukwambia angalia website yetu tuna statistics zote, what is your real question?

Ndiyo haya haya mambo ya kukariri majibu ili tupasi mitihani wakati vitu vya msingi hatuvijui.

Mtu anaikariri formula ya eneo la duara vizuri, pai radius squared sijui nini nini.

Ukimuuliza pai ni nini, anakwambia formula.

Formula ndiyo, lakini imetokana na nini? Kwa nini uitumie hiyo namba kama pai, na wala si 1,2,3,4 au 5.

Anakwambia ndiyo mwalimu alivyotufundisha.

Kukariri mi facts na mi figure tu bila kuelewa the deeper meaning.
 
Magufuli anajua kila detail ya Wizara yake? Kati yangu mimi ninayekubali kwamba Waziri hawezi kuwa na details zote za wizara yake, na wewe unayemsifia Magufuli kwamba anajua kila kitu nani analeta porojo hapa?

Tatizo watu wana confuse kuwa versed katika detail na utendaji, the two need not go together.Unaweza ukawa una detail zote lakini huna utendaji, na unaweza kuwa mtendaji unaye delegate kazi za number crunching kwa watu.

Huyo Nyerere mwenyewe mnaye m revere alikuwa anatoa hotuba zake live, huku akitoa statistics ambazo hana uhakika nazo, anaomba confirmation kutoka kwa watu wa administration yake, kwa sababu anajua mtu yeyote mwenye akili hawezi kumtegemea yeye kujua intricate details zote za nchi, it is just unrealistic.

Masha anasemeka sana, lakini kama mnataka kumsema msimseme kwa hili. Mtaonekana wazushi tu.

Take it from a known nitpicker.

Anatakiwa awe na just a rough estimation. Sio lazima exact figure. Kama alipoulizwa alijibu plain 'sijui' basi hii itakuwa mpya ya karne. Mimi najipa moyo alijibu kitu kama 'Kusema kweli idadi halisi ya magereza siijui lakini magereza tuliyonayo hayapungui .....
 
Kiranga said:
Huwezi kufanya comparison ya nyumba za mtu binafsi na magereza. Na hata hizo nyumba Mzee McCain ana nyumba kibao mpaka akashindwa kuzi account.[/qoute]

Idea ni ileile kwamba kama kitu au vitu viko chini yako basi huna budi kuvijua kama unavyovijua viganja vya mikono yako. Kuna vitu vya msingi kabisa ambavyo mtu mwenye mamlaka fulani unatakiwa ujue na hili kwa Masha ni mojawapo. Leo hii Kikwete aulizwe swali kuwa Tanzania ina mikoa mingapi halafu aseme hajui....all hell will break loose na watu watakuwa up in arms kumkandya na kusema kuwa ni kilaza.

Tatizo kitu cha msingi hapa ni kipi?

Kitu cha msingi ni kwamba waziri anayesimamia magereza hajui idadi ya magereza anayosimamia. Would it make sense to you if Kikwete didn't know the number of his cabinet ministers? It certainly won't for me. I don't know about you.

Maana idadi ya magereza inatakiwa iwe starter question inayoelekea kwenye prison / prisoner density, Human rights violations, prisons as incubators of communicable diseases, unlawful and unnecessary imprisonment, free citizen/ prisoner ratio etc etc.

Who knows..maybe that's where the line of questioning was heading to but if you don't even know the number of prisons you oversee what sense does it make to go any further?

Tunaongelea hayo mambo yote? Au tunakazania kutolea macho waziri hajui idadi ya magereza kama hiyo ndiyo end of the story?

Ni wazi hayo yote ni ya muhimu pia lakini waziri mhusika anatakiwa kujua vitu anavyohusika navyo.

Wakati idadi ya magereza iko googable kabisa yani, vilaza wa Clouds FM hawajafanya homework yao tu.

Kilaza ni waziri asiyejua haya idadi ya magereza yaliyo chini ya mamlaka yake. Kujua kwa mfano Tanzania ina magereza 15 kuna ugumu gani? How many brain cells does one need to burn to know that?

Hata wewe kazini kwako sijui kama una kila figure at the tip of your tongue.Kusema "I don't have that off the top of my head" and "I will get back to you on that one" katika jamii ya watu wa kweli na precise si jambo la ajabu.[/quoute]

Of course I don't have all the figures about everything but if you ask me the very basic information about the company I work for, there won't be any stuttering. Shoot hata wewe nchi unayoishi sasa hivi nikikuuliza kuhusu basic information zake hutashindwa kunipa.

Kama tunamshika shati Masha tumshike kwa mambo ya msingi, ambayo yapo mengi tu.

Siyo hizi trivial teetotaling.

Haya madogo madogo nayo ni ya msingi vilevile kwani yanaonesha utovu wa umakini wake. Kama mtu anashindwa vitu vidogo vidogo kama kujua idadi ya magereza tutakuwaje na imani naye kuhusu mambo yaliyo complex?
 
Kiranga said:
Huwezi kufanya comparison ya nyumba za mtu binafsi na magereza. Na hata hizo nyumba Mzee McCain ana nyumba kibao mpaka akashindwa kuzi account.[/qoute]
Idea ni ileile kwamba kama kitu au vitu viko chini yako basi huna budi kuvijua kama unavyovijua viganja vya mikono yako. Kuna vitu vya msingi kabisa ambavyo mtu mwenye mamlaka fulani unatakiwa ujue na hili kwa Masha ni mojawapo. Leo hii Kikwete aulizwe swali kuwa Tanzania ina mikoa mingapi halafu aseme hajui....all hell will break loose na watu watakuwa up in arms kumkandya na kusema kuwa ni kilaza.



Kitu cha msingi ni kwamba waziri anayesimamia magereza hajui idadi ya magereza anayosimamia. Would it make sense to you if Kikwete didn't know the number of his cabinet ministers? It certainly won't for me. I don't know about you.



Who knows..maybe that's where the line of questioning was heading to but if you don't even know the number of prisons you oversee what sense does it make to go any further?



Ni wazi hayo yote ni ya muhimu pia lakini waziri mhusika anatakiwa kujua vitu anavyohusika navyo.



Kilaza ni waziri asiyejua haya idadi ya magereza yaliyo chini ya mamlaka yake. Kujua kwa mfano Tanzania ina magereza 15 kuna ugumu gani? How many brain cells does one need to burn to know that?

Hata wewe kazini kwako sijui kama una kila figure at the tip of your tongue.Kusema "I don't have that off the top of my head" and "I will get back to you on that one" katika jamii ya watu wa kweli na precise si jambo la ajabu.[/quoute]

Of course I don't have all the figures about everything but if you ask me the very basic information about the company I work for, there won't be any stuttering. Shoot hata wewe nchi unayoishi sasa hivi nikikuuliza kuhusu basic information zake hutashindwa kunipa.



Haya madogo madogo nayo ni ya msingi vilevile kwani yanaonesha utovu wa umakini wake. Kama mtu anashindwa vitu vidogo vidogo kama kujua idadi ya magereza tutakuwaje na imani naye kuhusu mambo yaliyo complex?

What next do you want from him? The names of all the cops in the mainland? Kuna haja ya kujua namba za simu za marafiki zako wote kwa kichwa kama umeziandika katika address book unayoweza kuifungua wakati wowote?
 
What next do you want from him? The names of all the cops in the mainland?

What's this? A rhetorical question? Anyway, that would be nearly impossible for him or anyone to know.

Kuna haja ya kujua namba za simu za marafiki zako wote kwa kichwa kama umeziandika katika address book unayoweza kuifungua wakati wowote?

Kwanza kuna marafiki (friends), jamaa (acquaintances), washirika (associates) na ndugu wa karibu (family). Namba za baba na mama na nazijua by heart. Za marafiki wa karibu wa siku nyingi ambao tuna mawasiliano ya mara kwa mara nazijua kwa kichwa. Za washikaji tu wa 'mambo vipi wewe' namba zao zimehifadhiwa kwenye contact list.

Kwa hiyo hata simu yangu ikipotea na nipo in the middle on nowhere mom and dad and my close friends will get a call from me. Dunno about you....maybe you're too technology dependent...but I'm old school...
 
What's this? A rhetorical question? Anyway, that would be nearly impossible for him or anyone to know.



Kwanza kuna marafiki (friends), jamaa (acquaintances), washirika (associates) na ndugu wa karibu (family). Namba za baba na mama na nazijua by heart. Za marafiki wa karibu wa siku nyingi ambao tuna mawasiliano ya mara kwa mara nazijua kwa kichwa. Za washikaji tu wa 'mambo vipi wewe' namba zao zimehifadhiwa kwenye contact list.

Kwa hiyo hata simu yangu ikipotea na nipo in the middle on nowhere mom and dad and my close friends will get a call from me. Dunno about you....maybe you're too technology dependent...but I'm old school...

Mimi sina hata hiyo simu :) Nitapiga some smoke signals, who is technology dependent now?

On a serious note, nafikiri kuna maswala muhimu zaidi ambayo Waziri wa Mambo ya ndani anatakiwa kuyajua kwa kichwa, na haya mengi ni ya strategy na policy, kuliko idadi ya magereza.

Kwa kutumia mfano huu wa namba za simu, strategic and policy issues ndiyo kama namba za baba na mama, na namba za magereza ndiyo kama namba za simu za acquintances ambazo they can alway be looked up, lakini si lazima waziri azijue by heart.

Kwa sababu mkae mkijua kuna ma inter-ministry issues huko, kuna ma drug war, kuna wazee wanauawa, kuna watu wanauana Tarime, kuna mambo milioni kidogo.Mkimtaka huyu bwana ayajue yote in fine detailed numbers mtamgeuza kuwa accountant tena, na si waziri.

Hata hao ma accountant wenyewe wana ma calculator na computers zao wanapostore info.
 
Mimi sina hata hiyo simu :) Nitapiga some smoke signals, who is technology dependent now?

On a serious note, nafikiri kuna maswala muhimu zaidi ambayo Waziri wa Mambo ya ndani anatakiwa kuyajua kwa kichwa, na haya mengi ni ya strategy na policy, kuliko idadi ya magereza.

Kwa kutumia mfano huu wa namba za simu, strategic and policy issues ndiyo kama namba za baba na mama, na namba za magereza ndiyo kama namba za simu za acquintances ambazo they can alway be looked up, lakini si lazima waziri azijue by heart.

Kwa sababu mkae mkijua kuna ma inter-ministry issues huko, kuna ma drug war, kuna wazee wanauawa, kuna watu wanauana Tarime, kuna mambo milioni kidogo.Mkimtaka huyu bwana ayajue yote in fine detailed numbers mtamgeuza kuwa accountant tena, na si waziri.

Hata hao ma accountant wenyewe wana ma calculator na computers zao wanapostore info.

Haya bana...wewe hutaki tu kukubali kuwa alichemsha kama alisema hajui. Lakini deep down nadhani kuwa unakubali kuwa alichemsha but you just can't bring yourself to admit it coz you've alredy started off by defending him.
 
Haya bana...wewe hutaki tu kukubali kuwa alichemsha kama alisema hajui. Lakini deep down nadhani kuwa unakubali kuwa alichemsha but you just can't bring yourself to admit it coz you've alredy started off by defending him.

Angechemsha kama angejifanya anajua, akatoa figure ambayo iko off, halafu watu tuka google hapa na kuona figures alizotoa Waziri na zilizotolewa na Wizara kwenye website yao ziko tofauti.

Hajachemsha, amekuwa mkweli tu.

Kila siku tunalalamika kwamba tunataka viongozi wakweli.Waziri akiwa mkweli kwamba hajui hii figure, figure ambayo wizara ishaiweka mtandaoni na hahitaji kuijua kwa kichwa, mtu yeyote anaweza kuipata- tunamwona "kachemsha"

And then we have the nerve to wonder why our politicians are such big liars?
 
Nitajieni IDADI ya Magereza yaliojegwa kwa kipindi cha kuanzia 2005-2010, sikumbuki kujengwa kwa gereza lolote binafsi kati miaka hiyo. magereza si sawa na wafungwa kwamba kila siku wanaongezeka, mi sielewi.
Nawaomba jambo moja , nisaidieni kutafiti idadi ya Magereza.
 
GOTCHA! Wakati watu wanaumia! Kama Mkuu mmoja alivyouliza, baada ya Mheshimiwa kushindwa kujibu, aliulizwa swali gani?
Au hili ndilo lilikuwa swali la msingi? Hivi nini muhimu zaidi, waziri kujua ma-albino wangapi wameuawa au kujua wizara ina mpngo gani katika kukomesha mauaji hayo? Hali ya magereza yetu wengi tunaijua. Cha muhimu ni kujua wizara ina mpango gani wa kuboresha hali zake au idadi ya magereza? Aliyechemsha hapa ni aliyeuliza swali na si waziri.

Amandla.....
 
Mimi sina hata hiyo simu :) Nitapiga some smoke signals, who is technology dependent now?

On a serious note, nafikiri kuna maswala muhimu zaidi ambayo Waziri wa Mambo ya ndani anatakiwa kuyajua kwa kichwa, na haya mengi ni ya strategy na policy, kuliko idadi ya magereza.

Kwa kutumia mfano huu wa namba za simu, strategic and policy issues ndiyo kama namba za baba na mama, na namba za magereza ndiyo kama namba za simu za acquintances ambazo they can alway be looked up, lakini si lazima waziri azijue by heart.

Kwa sababu mkae mkijua kuna ma inter-ministry issues huko, kuna ma drug war, kuna wazee wanauawa, kuna watu wanauana Tarime, kuna mambo milioni kidogo.Mkimtaka huyu bwana ayajue yote in fine detailed numbers mtamgeuza kuwa accountant tena, na si waziri.

Hata hao ma accountant wenyewe wana ma calculator na computers zao wanapostore info.
Kwa hiyo, idadi ya magereza nchini ni fine detailed number? I thought tulikuwa tunaongelea very general information hapa........remember, pig picture!!
 
Nitajieni IDADI ya Magereza yaliojegwa kwa kipindi cha kuanzia 2005-2010, sikumbuki kujengwa kwa gereza lolote binafsi kati miaka hiyo. magereza si sawa na wafungwa kwamba kila siku wanaongezeka, mi sielewi.
Nawaomba jambo moja , nisaidieni kutafiti idadi ya Magereza.

Ona Prisons in Tanzania
 
Kwa hiyo, idadi ya magereza nchini ni fine detailed number? I thought tulikuwa tunaongelea very general information hapa........remember, pig picture!!

Wanaotaka Waziri ajue idadi kamili ya magereza wanataka a finely detailed number.

Tunaosema si lazima Waziri kuijua idadi hii kwa sababu inaweza kupatikana muda wowote, na ni muhimu zaidi waziri ajue mambo ya policy na strategy tunaongelea the bigger picture.

Huwezi ku focus kwenye pixels na big picture at the same time, it is against Heisenberg's Uncertainty Principle.

Hata ukiwa na camera, huwezi kufocus kwa mtu aliye mbali na aliye karibu at the same time, it is against the laws of optics.

Ndiyo maana kuna ma number crunchers kazi yao maaalum ku crunch numbers, wanaandaa statistics and all wana publish kwenye ma website.

Halafu kuna ma policy wonk wanakupa correlation ya hizo numbers na trends na what needs to be done, bila ya haja ya kuzikumbuka hizo exact numbers off the top of their heads, as long as they know their bearings and the necessary litmus tests.

Tatizo letu tuna confuse number cruncher na policy wonk, tunafikiri mtu kuwa number cruncher ndiyo kuwa policy wonk.

Kwangu mimi any sufficiently intelligent clerk can number crunch, it is the policy wonk who can see trends and anticipate what needs to be done I find interesting.

Niambieni Masha kachemka wapi kwenye strategic/ policy issue au kwenye utendaji.Siyo some number crunching contest.
 
Angechemsha kama angejifanya anajua, akatoa figure ambayo iko off, halafu watu tuka google hapa na kuona figures alizotoa Waziri na zilizotolewa na Wizara kwenye website yao ziko tofauti.

Kweli kabisa. Kujifanya unajua wakati hujui ni vibaya. Hapa sina ubishi kabisa.

Hajachemsha, amekuwa mkweli tu.

Katika kuwa mkweli ndio ame-reveal kuwa hayuko makini na kazi yake. Kutokujua idadi ya dola muhimu kama magereza huku wewe ukiwa waziri mhusika ni kuonesha uvivu, kutokuiweza kazi, na kutokujali kazi yako (not being serious). Hivi ina maana huyu jamaa tokea awe waziri wa mambo ya ndani hajatembelea magereza yote kujionea mwenye jinsi yanayojiri kila siku? Come on son...kwa kweli hapa unatetea kisichoteteeka.

Kila siku tunalalamika kwamba tunataka viongozi wakweli.Waziri akiwa mkweli kwamba hajui hii figure, figure ambayo wizara ishaiweka mtandaoni na hahitaji kuijua kwa kichwa, mtu yeyote anaweza kuipata- tunamwona "kachemsha"

Ndio tunataka wakweli na wakiwa wa kweli tutaweza kuona ni wapi walio bomu na wapi wanaoweza kazi. Kwa hili tumeshajua kuwa hayuko makini. Hivi Kiranga kwani idadi ya magereza ni kubwa hivyo hadi kutokuijua waziri mzima? Hivi Ban-Ki-Moon akisema hajui idadi ya wanachama wa umoja wa mataifa si tutamshangaa? We have to hold these guys to the highest of standards bana.

And then we have the nerve to wonder why our politicians are such big liars?

Perhaps they lie because they know if they tell the truth they are going to be called out on their incompetences.
 
Utapangaje mipango ya kuboresha hali za magereza huku hujui idadi yake? Lol...wewe nawe bana....sijui akili yako inafanyaje kazi tu....

Tofautisha "kutojua idadi ya magereza off the top of his head" na "kutokujua idadi ya magereza"

Naamini wanapofanya mipango ya kuboresha magereza huwa hawafanyi vitu "off the top of their heads", na tushaona data wanazo mpaka mtandaoni wameweka breakdown ya magereza by wilaya.

Sasa kusema waziri hataweza kufanya mipango ya kuboresha magereza kwa sababu hajui idadi ya magereza wakati alichosema ni kwamba hajui "off the top of his head" ni kuwa dishonest.

Wewe unajua kila numbered detail ya kazi yako off the top of your head?

Tatizo mnataka kumfanya huyu kama mkuu wa idara ya magereza, wakati yeye ni waziri wa mambo ya ndani, ana kazi nyingi muhimu sawa na na hata zaidi ya magereza.
 
Tofautisha "kutojua idadi ya magereza off the top of his head" na "kutokujua idadi ya magereza"

Naamini wanapofanya mipango ya kuboresha magereza huwa hawafanyi vitu "off the top of their heads", na tushaona data wanazo mpaka mtandaoni wameweka breakdown ya magereza by wilaya.

Sasa kusema waziri hataweza kufanya mipango ya kuboresha magereza kwa sababu hajui idadi ya magereza wakati alichosema ni kwamba hajui "off the top of his head" ni kuwa dishonest.

Wewe unajua kila numbered detail ya kazi yako off the top of your head?

Okay, first off, what is the exact question and the exact quote of his answer?

Secondly, I see you are trying hard to split hairs and evade some of my questions.

Thirdly, I have already admitted I don't know every detail of my job. However, I know enough about the basic information. The minister wasn't asked anything about intricate details. He was just asked about the number of prisons. Not the number of prisoners in each prison and the number of prison guards or whether the inmates sleep on bunk beds or sleep on the floor .
 
Okay, first off, what is the exact question and the exact quote of his answer?

Secondly, I see you are trying hard to split hairs and evade some of my questions.

Forget about splitting hairs, I have an atom smasher hapa Fermilab chamtoto linakimbizana na CERN huko.

Sasa muda wote unabishana hata hujui Masha kasema nini?
 
Back
Top Bottom