Mh.Waziri Masha HAJUI idadi ya magereza Tanzania

Magufuli anajua kila detail ya Wizara yake? Kati yangu mimi ninayekubali kwamba Waziri hawezi kuwa na details zote za wizara yake, na wewe unayemsifia Magufuli kwamba anajua kila kitu nani analeta porojo hapa?

Tatizo watu wana confuse kuwa versed katika detail na utendaji, the two need not go together.Unaweza ukawa una detail zote lakini huna utendaji, na unaweza kuwa mtendaji unaye delegate kazi za number crunching kwa watu.

Huyo Nyerere mwenyewe mnaye m revere alikuwa anatoa hotuba zake live, huku akitoa statistics ambazo hana uhakika nazo, anaomba confirmation kutoka kwa watu wa administration yake, kwa sababu anajua mtu yeyote mwenye akili hawezi kumtegemea yeye kujua intricate details zote za nchi, it is just unrealistic.

Masha anasemeka sana, lakini kama mnataka kumsema msimseme kwa hili. Mtaonekana wazushi tu.

Take it from a known nitpicker.

Magereza yako mangapi Nchi hii hadi Waziri ashindwe kuyajua? Ungejisikiaje kwa mfano Mh Pinda aulizwe idadi ya mikoa nchi hii halafu akose jibu?
 
Magereza yako mangapi Nchi hii hadi Waziri ashindwe kuyajua? Ungejisikiaje kwa mfano Mh Pinda aulizwe idadi ya mikoa nchi hii halafu akose jibu?

Kwa hiyo what are you trying to say? Kwamba tuna about gereza moja kila mkoa?

Kama hii detail haipatikani mpaka wamuulize Waziri, then swala la muhimu zaidi ya hili lingekuwa kuulizia mchakato wa kupata habari hizi kirahisi kama kwenye website au wizarani. Ili kusudi akija Waziri, watu waache kuongelea accounting details, waongelee the big picture.

But then again I don't really expect Clouds FM to talk about the big picture.

Which is why they are asking about the number of prisons in the first place anyway. Katika maswali yote unayoweza kumuuliza waziri wewe unaona idadi ya magereza, an accounting issue that should be able to be traced with ease, kuwa ndilo la muhimu?

Mwanahabari huyu anaelewa priority na economic use of time?

Mwishowe atakuja Kikwete mtamuuliza idadi ya watu na nyumba Tanzania.
 
Shame on him! Lakini hii kitu ilitegemewa kwani Masha ilishajulikana toka mwanzo kuwa uwezo wake ni mdogo!
 
Mimi simfagilii Masha kwa kawaida.

Lakini katika hili mlitegemea ajue:
- idadi ya Magereza off the top of his head? This is a bit unfair.
- Ajue vituo vyote vya uhamiaji, polisi etc?

Akiwa ana focus kwenye hizi details ataweza kufocus kwenye the big and strategic picture?

Kuna habari moja ya mzaha inasimulia Albert Einstein aliulizwa namba yake ya simu, akajibu ngoja niiangalie, watu wakamshangaa wewe Einstein mtu unajua mambo ya relativity magumu sana, halafu unashindwa kukumbuka namba yako ya simu tu? Akajibu "I never remember something I can look up easily".

Mkuu,

Umekaa Ki-Sayansi zaidi. Waziri kwenye nafasi yake anatakiwa akae Ki-Siasa and not otherwise.

Waziri wa Mambo ya Ndani (na Usalama wa Rai) anatakiwa off the top of his head ajue:
1. Idadi ya Askari wake wote kutoka vikosi vyake vyote (Police, Uhamiaji, Magereza, Fire brigade)
2. Idadi ya Vyuo vya mafunzo kwa askari wake wote
3. Idadi ya Wakuu wa Idara zake zote
4. Idadi ya vyuo vya mafunzo (Magereza) na categorization yake (Ya kilimo, Maximum Security, Ujenzi, Uvuvi, Ufundi)
5. Idadi ya vituo vya polisi nchi nzima: Bila takwimu hii hawezi kuboresha utendaji wa polisi in relation to workforce
6. Idadi ya wafungwa : by category
7. na takwimu nyingine zinazohusiana na utendaji wake wa kazi
 
Mkuu,

Umekaa Ki-Sayansi zaidi. Waziri kwenye nafasi yake anatakiwa akae Ki-Siasa and not otherwise.

Waziri wa Mambo ya Ndani (na Usalama wa Rai) anatakiwa off the top of his head ajue:
1. Idadi ya Askari wake wote kutoka vikosi vyake vyote (Police, Uhamiaji, Magereza, Fire brigade)
2. Idadi ya Vyuo vya mafunzo kwa askari wake wote
3. Idadi ya Wakuu wa Idara zake zote
4. Idadi ya vyuo vya mafunzo (Magereza) na categorization yake (Ya kilimo, Maximum Security, Ujenzi, Uvuvi, Ufundi)
5. Idadi ya vituo vya polisi nchi nzima: Bila takwimu hii hawezi kuboresha utendaji wa polisi in relation to workforce
6. Idadi ya wafungwa : by category
7. na takwimu nyingine zinazohusiana na utendaji wake wa kazi

Kwa hiyo kila siku asubuhi awe anaulizia idadi mpya ya "Askari wake wote kutoka vikosi vyake vyote (Police, Uhamiaji, Magereza, Fire brigade)" "Pamoja na wafungwa" etc ?

Maana idadi hii inabadilika kila siku.

Hata hao ma CEO wa makampuni wanaotambulikwa kwa kufuatilia stock prices za kampuni zao hawawezi kukupa stock value off the top of their head at any time kwa sababu inabdilika kila sekunde.

Acheni hizo, tafuteni issue serious za kumsema. Zipo nyingi tu mbona.

Msiwe wavivu mnataka kumsema mtu lakini hamtaki kujishughulisha kutafuta issues legitimate.
 
Kwa hiyo what are you trying to say? Kwamba tuna about gereza moja kila mkoa?

Kama hii detail haipatikani mpaka wamuulize Waziri, then swala la muhimu zaidi ya hili lingekuwa kuulizia mchakato wa kupata habari hizi kirahisi kama kwenye website au wizarani. Ili kusudi akija Waziri, watu waache kuongelea accounting details, waongelee the big picture.

But then again I don't really expect Clouds FM to talk about the big picture.

Which is why they are asking about the number of prisons in the first place anyway. Katika maswali yote unayoweza kumuuliza waziri wewe unaona idadi ya magereza, an accounting issue that should be able to be traced with ease, kuwa ndilo la muhimu?

Mwanahabari huyu anaelewa priority na economic use of time?

Mwishowe atakuja Kikwete mtamuuliza idadi ya watu na nyumba Tanzania.
Mkuu, swala la bigger picture hapa ni lipi haswa? Kwa nini unafikiri, kuuliza idadi ya magereza sio swali la msingi?
What if: in order to explore the bigger picture ya matatizo ya kuhudumia magereza, akaanza na kuuliza yapo mangapi kwanza? then, idadi itapelekea discussion ya why so few lakini hamuwezi kuhudumia? au idadi ni kubwa, je inalingana na uhitaji? namba ya wafungwa estimate in a year ni ngapi?

Kwangu mimi, swali lilikuwa relevant kwa aspects zote!!
 
Watanzania mna vituko, mnashindwa kukumbuka tarehe za kuzaliwa watoto wenu mnafikiri mtakumbuka mambo ya kuna magereza mangapi Tanzania?

Wakati mwingine si busara sana kutumia muda na resource kichwani kukariri mambo ambayo unaweza kuyapata mara moja ukitaka.

Masha alaumiwe kwa kushindwa kuilinda nchi dhidi ya ujambazi, mauaji ya Albino nk lakini sio hili la kushindwa kukariri kichwani nchi ina magereza mangapi.

Nchi haiwezi kuangamia kwasababu waziri hakumbuki kichwani kuna mageraza mangapi. Kukariri mambo na utendaji ni vitu viwili tofauti.
 
Acheni hizo, tafuteni issue serious za kumsema. Zipo nyingi tu mbona.

Zitaje basi, au umeamua kuwa msemaji wake, naona umeng'ang'ania kuwa yupo sahihi kwa kutojua idadi ya magereza.

Tuambie basi issue serious unazozijua wewe!
 
Aghaaa hio ndio mjue uongozi wa kupeana tu kwa kuwa fulani alinisupport wakati wa kampeni au huyu ni mtoto wa fulani.Shame on you.
 
Mkuu, swala la bigger picture hapa ni lipi haswa? Kwa nini unafikiri, kuuliza idadi ya magereza sio swali la msingi?
What if: in order to explore the bigger picture ya matatizo ya kuhudumia magereza, akaanza na kuuliza yapo mangapi kwanza? then, idadi itapelekea discussion ya why so few lakini hamuwezi kuhudumia? au idadi ni kubwa, je inalingana na uhitaji? namba ya wafungwa estimate in a year ni ngapi?

Kwangu mimi, swali lilikuwa relevant kwa aspects zote!!

Nimesema kwamba sitegemei Waziri atembee na kila detail ya Wizara yake, kwa sababu ili afanye hivi, siku nzima atajifungia wizarani akikariri detail za siku hiyo, ambazo zitabadilika kesho yake na hivyo kumfanya kesho yake ajifungie tena ili kukariri detail zilizo current kwa siku hiyo.

Nimeeleza swala muhimu zaidi ya kujua idadi ya magereza, ni swali litakaloishrutisha wizara iweke habari hizi wazi mtandaoni au wizarani, ili kusudi waandishi waweze kupata habari hizi mara moja na anapokuja waziri, wanahabari wasiwe na haja ya kuuliza tuna magereza mangapi, waende directly kwenye a bigger picture question, kwa mfano, mbona tuna magereza mengi hivi? machache hivi? yaliyojazana sehemu moja hivi etc etc.

Inawezekana kabisa swali likawa ni starter tu, lakini mimi sitegemei waziri awe na majibu ya maswali kama haya kichwani, atakuwa na majibu ya maswali mangapi? What's next? Mtataka ajue idadi ya askari wote kama alivyosema mkuu mmoja hapo juu?

Tatizo moja la society yetu, hatuna kitu kama "Freedom of Information Act" inayowashurutisha watu wa serikali na industry watoe information.
Tatizo lingine redio inayomhoji Clouds FM, hakuna mt anayeweza kufikiria kumwambia Waziri wekeni hizi data kwenye website ili ukija hapa tusianze habari za accounting, twende kwenye large picture. Hakuna mtu anayeweza kuliframe hili swali katika context ya "Freedom of Information Act" ili lije kuwa applicable kwa nchi nzima, wizara zote na sekta zote nyingine.

Kama alivyosema Dr. Murray Gell-Mann, waziri akijua kila detail ana risk kuwa botanist au taxonomist. Mimi nitamsamehe Waziri kama hana detail, lakini kama hana strategic view, that is a concern to me.

So far, mnaonyesha Masha hakuwa na detail, hamjaonyesha kama Masha hakuwa na strategic view.

Msichoelewa ni kwamba, si lazima uwe na the finest detail ili kuwa na the best strategic view.In some cases kuwa na the finest detail actually kunakufanya usione the bigger picture vizuri.Chukua picha halafu uimagnify, utakuja kuona the very pixelation of that picture, down to a single pixel.You will notice that if you do that you will lose the sight of the bigger picture.

Kwa hiyo kama Masha hataki kuwa buried in the pixels so that he can concentrate on the bigger picture, I totally understand that.

Kaulizwa swali strategic akashindwa kulijibu?

Isije kuwa Clouds FM hawajafanya homework yao, hawana maswali strategic ya kuuliza, na wanaishia kuuliza maswali ya accounting.
 
Magufuli anajua kila detail ya Wizara yake? Kati yangu mimi ninayekubali kwamba Waziri hawezi kuwa na details zote za wizara yake, na wewe unayemsifia Magufuli kwamba anajua kila kitu nani analeta porojo hapa?

Tatizo watu wana confuse kuwa versed katika detail na utendaji, the two need not go together.Unaweza ukawa una detail zote lakini huna utendaji, na unaweza kuwa mtendaji unaye delegate kazi za number crunching kwa watu.

Huyo Nyerere mwenyewe mnaye m revere alikuwa anatoa hotuba zake live, huku akitoa statistics ambazo hana uhakika nazo, anaomba confirmation kutoka kwa watu wa administration yake, kwa sababu anajua mtu yeyote mwenye akili hawezi kumtegemea yeye kujua intricate details zote za nchi, it is just unrealistic.

Masha anasemeka sana, lakini kama mnataka kumsema msimseme kwa hili. Mtaonekana wazushi tu.

Take it from a known nitpicker.

Mkuu usiongee kwa vile umeongea angalia Logic ya hicho kilisho zungumzwa! Yeye Masha kama waziri hajaulizwa detail zote za wizara yake! Ameulizwa idadi ya magereza hapa nchini jibu hakutoa! Sasa kama magereza hajui yako mangapi ataweza kuelezea utendaji wa askari magereza! Hizo ni porojo, aitwe mkuu wa gereza la ukonga aulizwe gereza lake lina askari wangapi kisha aseme hajui mbele ya Masha utaona atakavyo mfanya huyo mkuu!
Kikingine kuonyesha kuwa wizara hii imemshinda Masha, angalia ni matukio mangapi ya polisi wanaua raia wasio na hatia? Kisha uanatokea mpambe mbele za watu na kuanza kusema, Masha ni mtendaji mzuri.... ila ooh simple data kama hizo ni rahisi kuzipata! nini wewe acha kebehi na majigambo wakati matukio yote yanaonekana na kusikika! Au ndio wale wa ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI?

Kifupi hii wizara inatia kichefuchefu mkuu, hilo halina ubishi! Open your eyes, wapiga kura tumeliona hili hasa sisi wa nyamagana na mwaka huu lazima kieleweke! Nenda kampe taarifa!

Wana JF naomba tuangalie kauli tunazo toa humu ndani, nyingine zina keraaaaa!
Aksante!
 
Zitaje basi, au umeamua kuwa msemaji wake, naona umeng'ang'ania kuwa yupo sahihi kwa kutojua idadi ya magereza.

Tuambie basi issue serious unazozijua wewe!

Mnaotaka kumsema Masha so far mme prove kuwa intellectually lazy, I am not going to be trapped into doing your homework for you, do your own homework. I have already aired my unanswered reservations about Masha, and do not need to repeat them.

Mimi siwezi kuwa msemaji wa Masha, msemaji wa Masha alikuwa FMES hapa,nishamuua Masha hapa mpaka rafiki yake FMES aka surrender, sasa mimi nitakuwaje msemaji wake?

Nevertheless mimi sitaki kuwa mtu wa kumpinga na kumshambulia Masha eti kwa sababu yeye ni establishment tu, au kwa sababu yeye ni CCM tu, kama mnataka kumshambulia njooni na issue legit tutawaunga mkono.

Mkija na issue za kuunga unga tutazikataa tu.
 
Mkuu usiongee kwa vile umeongea angalia Logic ya hicho kilisho zungumzwa! Yeye Masha kama waziri hajaulizwa detail zote za wizara yake! Ameulizwa idadi ya magereza hapa nchini jibu hakutoa! Sasa kama magereza hajui yako mangapi ataweza kuelezea utendaji wa askari magereza! Hizo ni porojo, aitwe mkuu wa gereza la ukonga aulizwe gereza lake lina askari wangapi kisha aseme hajui mbele ya Masha utaona atakavyo mfanya huyo mkuu!
Kikingine kuonyesha kuwa wizara hii imemshinda Masha, angalia ni matukio mangapi ya polisi wanaua raia wasio na hatia? Kisha uanatokea mpambe mbele za watu na kuanza kusema, Masha ni mtendaji mzuri.... ila ooh simple data kama hizo ni rahisi kuzipata! nini wewe acha kebehi na majigambo wakati matukio yote yanaonekana na kusikika! Au ndio wale wa ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI?

Kifupi hii wizara inatia kichefuchefu mkuu, hilo halina ubishi! Open your eyes, wapiga kura tumeliona hili hasa sisi wa nyamagana na mwaka huu lazima kieleweke! Nenda kampe taarifa!

Wana JF naomba tuangalie kauli tunazo toa humu ndani, nyingine zina keraaaaa!
Aksante!
Mazee unaongelea logic?

Achana na logic, wewe inaonekana huelewi hata set theory.

Sijasema kwamba wamesema Masha akumbuke details zote za wizara yake.

Ila hii detail ya magereza, ni subset ya detail zote. Na ili kujibu swali impromptu kuhusu any detail, litataka Waziri awe na all details, otherwise itabidi waziri akiulizwa na asipokuwa na detail mumpe udhuru.

Sijui kama unaweza kuelewa hili.
 
Kwa hiyo kila siku asubuhi awe anaulizia idadi mpya ya "Askari wake wote kutoka vikosi vyake vyote (Police, Uhamiaji, Magereza, Fire brigade)" "Pamoja na wafungwa" etc ?

Kama kila siku asubuhi haulizi hilo swali hapo juu - then he is not fit for the position! Nikukumbushe tu kitu kimoja, Clouds walimuuliza swali "Ni zipi changamoto za kazi yako" Masha akajibu "Zipo nyingi tu, kwa mfano unaamka asubuhi unaambiwa ghorofa imeungua Kariakoo, mara unaanza kufuatilia kama zima moto walifika on-time, mara kufuatilia kama hakuna raia waliopoteza maisha yao...."

Mkuu hilo jibu la Waziri Masha, it tells me hata kama kuna kibaka au jambazi ameuliwa Mbagala, Masha lazima ajue (right?)

Hata hao ma CEO wa makampuni wanaotambulikwa kwa kufuatilia stock prices za kampuni zao hawawezi kukupa stock value off the top of their head at any time kwa sababu inabdilika kila sekunde.

Kulinganisha "stock prices" na "idadi ya Magereza" si sahihi. Wazira ya anayoiongoza Masha sio sawa na Makampuni unayoyasema. Well nadhani in comparison Lehman Brothers inaweza kuwa sawa na Wizara ya Masha - CEO alisahau jinsi gani trading ilikuwa infanyika na mwisho wake unajulikana!

Acheni hizo, tafuteni issue serious za kumsema. Zipo nyingi tu mbona.
Sioni issue serious zaidi amabyo Waziri anatakiwa kuifahamu, zaidi ya Nini kinaendelea ndani ya Wizara yake!

Legitimate issues?
1. Mradi wa NIDA unaendeleaje? umepigwa Kalenda tena?
2. Wahamiaji Haramu takwimu zao ziko je?
3. Hivi hapa Dar es Salaam, kazi ya Fire Brigade nini? Kuna Magari mangapi ya Fire?
4. Vipi Passport, bado zinauzwa hapo TZ?

I have to go - World Cup fever is here!
 
Kikingine kuonyesha kuwa wizara hii imemshinda Masha, angalia ni matukio mangapi ya polisi wanaua raia wasio na hatia? Kisha uanatokea mpambe mbele za watu na kuanza kusema, Masha ni mtendaji mzuri.... ila ooh simple data kama hizo ni rahisi kuzipata! nini wewe acha kebehi na majigambo wakati matukio yote yanaonekana na kusikika! Au ndio wale wa ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI?

Stanluva

Inaonekana hata comprehension yako ndogo, wapi nimesema Masha ni mtendaji mzuri? Hebu nionyeshe hiyo sehemu.

Mimi naweza kukuonyesha sehemu niliposema Masha ana mapungufu yake kibao genuine, na wala hahitaji mumletee issues za kuunga unga hapa.

Hebu nionyeshe wapi nimesema Masha mtendaji mzuri.

Naona hata kuelewa maandishi tu kunakushinda.
 
Kama kila siku asubuhi haulizi hilo swali hapo juu - then he is not fit for the position! Nikukumbushe tu kitu kimoja, Clouds walimuuliza swali "Ni zipi changamoto za kazi yako" Masha akajibu "Zipo nyingi tu, kwa mfano unaamka asubuhi unaambiwa ghorofa imeungua Kariakoo, mara unaanza kufuatilia kama zima moto walifika on-time, mara kufuatilia kama hakuna raia waliopoteza maisha yao...."

Mkuu hilo jibu la Waziri Masha, it tells me hata kama kuna kibaka au jambazi ameuliwa Mbagala, Masha lazima ajue (right?)



Kulinganisha "stock prices" na "idadi ya Magereza" si sahihi. Wazira ya anayoiongoza Masha sio sawa na Makampuni unayoyasema. Well nadhani in comparison Lehman Brothers inaweza kuwa sawa na Wizara ya Masha - CEO alisahau jinsi gani trading ilikuwa infanyika na mwisho wake unajulikana!


Sioni issue serious zaidi amabyo Waziri anatakiwa kuifahamu, zaidi ya Nini kinaendelea ndani ya Wizara yake!

Legitimate issues?
1. Mradi wa NIDA unaendeleaje? umepigwa Kalenda tena?
2. Wahamiaji Haramu takwimu zao ziko je?
3. Hivi hapa Dar es Salaam, kazi ya Fire Brigade nini? Kuna Magari mangapi ya Fire?
4. Vipi Passport, bado zinauzwa hapo TZ?

I have to go - World Cup fever is here!

Hakuna sehemu nilipomtetea Masha wala kusema anajua kazi, kama ulivyo ni quote hapo juu, nimesema kuna legitimate issues nyingi tu, nyingine umezitaja.

Nilichosema ni kwamba kumtegemea Waziri ajue intricate details zinazobadilika kila siku, ajue off the top of his head, ni uonevu.

Labda kama mnataka Waziri ajifungie wizarani awe bookkeeper, muda wote awe anacram figures zinazoadilika kila siku.

Atakuwa shopkeeper tena, si waziri.

Kuna mjomba mjomba hapo juu anataka waziri ajue idadi ya wafungwa wote na askari wote off the top of his head, idadi ambayo inabadilika kila dakika, sasa hii idadi ina tofauti gani na stock prices?
 
Watanzania mna vituko, mnashindwa kukumbuka tarehe za kuzaliwa watoto wenu mnafikiri mtakumbuka mambo ya kuna magereza mangapi Tanzania?

Wakati mwingine si busara sana kutumia muda na resource kichwani kukariri mambo ambayo unaweza kuyapata mara moja ukitaka.

Masha alaumiwe kwa kushindwa kuilinda nchi dhidi ya ujambazi, mauaji ya Albino nk lakini sio hili la kushindwa kukariri kichwani nchi ina magereza mangapi.

Nchi haiwezi kuangamia kwasababu waziri hakumbuki kichwani kuna mageraza mangapi. Kukariri mambo na utendaji ni vitu viwili tofauti.

Kuhusu matumizi ya muda/ resources exactly my sentiments Mkulima.

Yaani badala ya kufocus kwenye kuwa na Freedom of Information Act ili hizi habari ziwe zinapatikana openly, au badala ya Clouds FM kufanya research na kupata hizi habari in advance ili kuja kuuliza swali lao la msingi, watu tunatetea kuuliza maswali ya accounting.

I suspect Clouds FM hawawezi kutaka kutumia muda wao effectively to that level.
 
Nilichosema ni kwamba kumtegemea Waziri ajue intricate details zinazobadilika kila siku, ajue off the top of his head, ni uonevu.

Kujua Idadi ya Magereza is not an "intricate detail", pia kwa taarifa yako Magereza yote unayoyaona mpaka leo yamejengwa enzi za ukoloni, kwahiyo hapo suala la kubadilika kila siku halipo. Kwenye hiyo "interview" alitaja baadhi kwa majina "Butimba, Maweni,.." ambayo yapo tangi yeye ajazaliwa.

Bila kujua idadi ya Magereza hauwezi kupunguza msongamano wa wafungwa Magerezani (right?) - Na hili la msongamano wa wafungwa to me is more legitimate kuliko hata NIDA-Project : Kuangalia kutokeo kona ya Haki za Wanadamu
 
Masha kaboaaa..

kama waziri wa mambo ya ndani alitakiwaa kuwa na fact sheet inayoelezeaa utendaji wa wizara yake. alitakiwa kutoa namba halisi ya vikosi vyake, vituo vya polisi, magerezaa, uhamiaji, idadi ya askari vs pungufuuu nk.

leo alikuwaa anaongeaa generally tuuu wakati nchi kubwaa kama marekani raisi wao ndani ya dk 10 anaweza kuongeleaa uchumi, jobs, security, kwa ufasahaa mkubwaa..

viongozii wetu (akina mashaa) wajifunzee public communication kwa mapana na sio kupiga blah blah....
 
Kujua Idadi ya Magereza is not an "intricate detail", pia kwa taarifa yako Magereza yote unayoyaona mpaka leo yamejengwa enzi za ukoloni, kwahiyo hapo suala la kubadilika kila siku halipo. Kwenye hiyo "interview" alitaja baadhi kwa majina "Butimba, Maweni,.." ambayo yapo tangi yeye ajazaliwa.

Bila kujua idadi ya Magereza hauwezi kupunguza msongamano wa wafungwa Magerezani (right?) - Na hili la msongamano wa wafungwa to me is more legitimate kuliko hata NIDA-Project : Kuangalia kutokeo kona ya Haki za Wanadamu

Intricate detail zinazobadilika kila siku naongelea huyo mjomba mjomba anayesema waziri anatakiwa kujua idadi ya askari na wafungwa wote.

Halafu si kweli kwamba magereza yote yamejengwa enzi ya mkoloni, do your homework first before exposing your ignorance, hata kabla hujatoka Dar hapo Segerea tu kuna gereza lililokamilika in the 1990's, sasa mkoloni gani kajenga Sega Dance in the 1990's?

Of course bila kujua idadi ya magereza huwezi kujua jinsi ya kupunguza wafungwa, na mimi sijasema Waziri asijue idadi ya magereza, hasha.

Nilichosema ni kwamba huwezi kumtegemea waziri ajue idadi ya magereza off the top of his head, anaweza kwenda wizarani akampigia simu mtu wa idara ya magereza akampa jibu in a minute, sasa kwa nini kuharibu memory space na details kama hizi badala ya ku focus kwenye strategic plans?

Ndiyo maana nauliza aliulizwa swali la strategy akashindwa kujibu?
 
Back
Top Bottom