IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Kilimo ni ="jingalao, post: 16863918, member: 56995"]Gezaulole ni lugha ya picha Great thinker jaribu kufikiri....
Kwenda Geza Ulole inareflect maamuzi yaliyowahi kufanywa miaka ilee ya Nyerere ya kukamata wazururaji na kuwapeleka Geza Ulole na maeneo mengine na hadi leo pamekosekana pa kulima.
Unapojiita GT inatakiwa u-stretch your imagination ....[/QUOTE]
Kilimo ni fani, si kila mzururaji anaweza kazi ya Kilimo. Utawala wa Nyerere ulifanya hili kosa na kubeba wazururaji wote na kuwa classify kuwa ni wakulima hivyo kuwasombelea vijijini but soon walibaini kwamba si wakulima..
Kwenda Geza Ulole inareflect maamuzi yaliyowahi kufanywa miaka ilee ya Nyerere ya kukamata wazururaji na kuwapeleka Geza Ulole na maeneo mengine na hadi leo pamekosekana pa kulima.
Unapojiita GT inatakiwa u-stretch your imagination ....[/QUOTE]
Kilimo ni fani, si kila mzururaji anaweza kazi ya Kilimo. Utawala wa Nyerere ulifanya hili kosa na kubeba wazururaji wote na kuwa classify kuwa ni wakulima hivyo kuwasombelea vijijini but soon walibaini kwamba si wakulima..