Mh. Rais mbona umetuachia njiani ???

Mh. Rais mbona umetuachia njiani ???

Col FEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
327
Reaction score
460
MH.RAIS , Salaam aleykum/Amani ya Bwana iwe nawe.

Mh.Rais mimi ni mkulima wa Mahindi na mwaka huu niliongeza juhudi ya kulima kwa sababu ulituahidi na ukatoa maagizo kuwa Mkulima ana uhuru wa kuuzaa Mazao yake popote apendapo na kwa bei tupendayo. Na hadi ukafikia kusema kuwa huu ni wakati wetu sisi wa kulima kutajirika.
Lakini cha kushangaza juzi hapa Mh. Waziri Mkuu amepiga marufuku kusafirisha Mahindi nje ya Nchi.

Mh. Rais Je ulitudanganya sisi wakulima ?
Tunaomba tujuwe msimamo wako katika hili Jambo.
 
MH.RAIS , Salaam aleykum/Amani ya Bwana iwe nawe.

Mh.Rais mimi ni mkulima wa Mahindi na mwaka huu niliongeza juhudi ya kulima kwa sababu ulituahidi na ukatoa maagizo kuwa Mkulima ana uhuru wa kuuzaa Mazao yake popote apendapo na kwa bei tupendayo. Na hadi ukafikia kusema kuwa huu ni wakati wetu sisi wa kulima kutajirika.
Lakini cha kushangaza juzi hapa Mh. Waziri Mkuu amepiga marufuku kusafirisha Mahindi nje ya Nchi.

Mh. Rais Je ulitudanganya sisi wakulima ?
Tunaomba tujuwe msimamo wako katika hili Jambo.
Zipo sehemu nyingi za kuuza mahindi humu nchini ....Serikali haitoi ruzuku ili uwalimie wakenya...
Kenya tuwauzie Unga!
 
Zipo sehemu nyingi za kuuza mahindi humu nchini ....Serikali haitoi ruzuku ili uwalimie wakenya...
Kenya tuwauzie Unga!
Sijapewa Ruzuku yeyote na Serikali hii, nimelima kwa nguvu zangu mwenyewe inakuwaje unipangie pa kuuza
 
Aliwapa ruhusa ya kulima na kuuza kwa bei muipendayo ila sio kuuza kwenye nchi muipendayo..
Kama vipi tuuzieni tu maana bado unga ni bei juu.
Tatizo bei ya Bongo ni ya unyonyaji
 
Zipo sehemu nyingi za kuuza mahindi humu nchini ....Serikali haitoi ruzuku ili uwalimie wakenya...
Kenya tuwauzie Unga!
Hizo Ruzuku naona Mnagaiwa kwa wana ccm tu sisi wananchi wa kawaida hatupati,tangu nianze kulima viji hekari vyangu 20 sojawahi fikiwa na hicho kitu mnaita ruzuku
 
Mi nasubilia m 50 zije, nimeshaunda kikundi na mimi ni M'kiti, wajumbe wameshanikaba utafikili mi ndio nilitoa ahadi!!!!
 
MH.RAIS , Salaam aleykum/Amani ya Bwana iwe nawe.

Mh.Rais mimi ni mkulima wa Mahindi na mwaka huu niliongeza juhudi ya kulima kwa sababu ulituahidi na ukatoa maagizo kuwa Mkulima ana uhuru wa kuuzaa Mazao yake popote apendapo na kwa bei tupendayo. Na hadi ukafikia kusema kuwa huu ni wakati wetu sisi wa kulima kutajirika.
Lakini cha kushangaza juzi hapa Mh. Waziri Mkuu amepiga marufuku kusafirisha Mahindi nje ya Nchi.

Mh. Rais Je ulitudanganya sisi wakulima ?
Tunaomba tujuwe msimamo wako katika hili Jambo.
Tabia hii ya serikali ya kumfanya mkulima kama chombo cha serikali cha kudhibiti mfumuko wa bei ndicho kinachofanya kilimo Tanzania kimekuwa chukizo. Tunalima ili kupata chakula chetu na si kilimo biashara. Tangazo hilo limenikumbusha sera ya Lowasa ya kuruhusu wakulima kuuza mazao yao popote penye tija. Hebu fikiri ulime mwenyewe kwa gharama zako na shamba serikali ichukue kodi halafu ukiivisha inakuwa mali ya serikali ni kweli?!! .Ngoja niishie hapo nina uchungu mkali sana....
 
Wanasiasa sio watu.

Nikikumbuka aliyokuwa anaahidi kipindi cha kampeni na haya anayofanya sasa hivi ni vitu viwili tofauti.
 
Hizo Ruzuku naona Mnagaiwagwa wana ccm tu sisi wananchi wa kawaida hatupati,tangu nianze kulima viji hekari vyangu 20 sojawahi fikiwa na hicho kitu mnaita ruzuku
Vihekari vyako 20? Aise! Wapi huko?
 
Back
Top Bottom