Nisipo muamini Rais wetu, nitamuamini nani ??
Nimeshangaa anaongelea hekari 20 kwa dharau hivyo.Kwani alipaswa awe vihekari vingapi ili apate ruzuku ???![]()
Uza kokote ndani ya nchi siyo usafirishe kinyemela nje ya nchi.MH.RAIS , Salaam aleykum/Amani ya Bwana iwe nawe.
Mh.Rais mimi ni mkulima wa Mahindi na mwaka huu niliongeza juhudi ya kulima kwa sababu ulituahidi na ukatoa maagizo kuwa Mkulima ana uhuru wa kuuzaa Mazao yake popote apendapo na kwa bei tupendayo. Na hadi ukafikia kusema kuwa huu ni wakati wetu sisi wa kulima kutajirika.
Lakini cha kushangaza juzi hapa Mh. Waziri Mkuu amepiga marufuku kusafirisha Mahindi nje ya Nchi.
Mh. Rais Je ulitudanganya sisi wakulima ?
Tunaomba tujuwe msimamo wako katika hili Jambo.
Kilindi TangaVihekari vyako 20? Aise! Wapi huko?
Mungu.Nisipo muamini Rais wetu, nitamuamini nani ??
Mungu.Nisipo muamini Rais wetu, nitamuamini nani ??
NiceMungu.
Utamwaminije binadamu mwenzioMungu.
Wakulima naomba munielweee...MH.RAIS , Salaam aleykum/Amani ya Bwana iwe nawe.
Mh.Rais mimi ni mkulima wa Mahindi na mwaka huu niliongeza juhudi ya kulima kwa sababu ulituahidi na ukatoa maagizo kuwa Mkulima ana uhuru wa kuuzaa Mazao yake popote apendapo na kwa bei tupendayo. Na hadi ukafikia kusema kuwa huu ni wakati wetu sisi wa kulima kutajirika.
Lakini cha kushangaza juzi hapa Mh. Waziri Mkuu amepiga marufuku kusafirisha Mahindi nje ya Nchi.
Mh. Rais Je ulitudanganya sisi wakulima ?
Tunaomba tujuwe msimamo wako katika hili Jambo.
Magufuli hana msimamo, ni kama bendera inayofuata upepo. Muda wowote anaweza kugeuka upande wowote kwa sababu hana kanuni za msingi anazofuata.MH.RAIS , Salaam aleykum/Amani ya Bwana iwe nawe.
Mh.Rais mimi ni mkulima wa Mahindi na mwaka huu niliongeza juhudi ya kulima kwa sababu ulituahidi na ukatoa maagizo kuwa Mkulima ana uhuru wa kuuzaa Mazao yake popote apendapo na kwa bei tupendayo. Na hadi ukafikia kusema kuwa huu ni wakati wetu sisi wa kulima kutajirika.
Lakini cha kushangaza juzi hapa Mh. Waziri Mkuu amepiga marufuku kusafirisha Mahindi nje ya Nchi.
Mh. Rais Je ulitudanganya sisi wakulima ?
Tunaomba tujuwe msimamo wako katika hili Jambo.