Jamaa ni mjanja kweli kweli 😳 !Pole Pole ametoka CUBA ,anavuruga tu hapo ,kumbe hiyo clip usikute alirecord mwaka 2024.
Wewe ndiyo umechanganyikiwa jichunguze kwanza, yaani hutaki kukosolewa ? Kila anayekukosoa unawatuma Polisiccm wabambike kesi, lazima ajifiche hadi uache uonevu manyanyaso kwa wakosoaji kwanzaAchana na Polepole. Kachanganyikiwa huyu.
Vigumu sana kwani polepole ana watu huko na ccm wengi wapo nae kimya kimyaWanam-zoom tu jamaa! Atajaa kwenye mfumo soon na hatosikika tena!!
Kumbe ???!!Ccm sometimes huwa wanaokota vitu bya ajabu sana
Huyu ni diplomat
Hicho ndo wanachokiwezaLa malawi la kuvunja matofali vifuani 😁
Kaweka background kwenye hiyo video ili awachanganye vizuri
Yawezekana aisee. ! Hii si bure !Vigumu sana kwani polepole ana watu huko na ccm wengi wapo nae kimya kimya
Huyu, ni tamaa tu ya nafasi za juu. Alipata akakataa Katiba mpya, sisi tumsaidiaje.Wewe ndiyo umechanganyikiwa jichunguze kwanza, yaani hutaki kukosolewa ? Kila anayekukosoa unawatuma Polisiccm wabambike kesi, lazima ajifiche hadi uache uonevu manyanyaso kwa wakosoaji kwanza
Unaijua viete wewe?.Wakati ipo mikononi mwake alifanya Nini!? Alishindwa Nini kupata huo uhuru anaodai sasa
Ameiandikaje wengine hatujaiona !Hiyo message aloiandika ninnzito sana tutajua tu vifo vya hao marais
Wasiojulikana wakikutana hapa TZ hata ukiishi chini ya uvungu wa kitanda watakupata tu.Haka kajamaa kajanja sana ukute hiyo clipp kamewatega wasiojulikana ili wajazane Dodoma kumbe hakapo kameshasepa zake sehemu nyingine🤣🤣🤣
Jamaa anawatia hasira
Mbona mnazimaga youtube? Kama ni wa kupuuzwaNilichogundua huyu baba anatamani akamatwe ili apate kiki zaidi.. anajioma kama mpango wake wa kubwabwaja hauleti impact aliyoitegemea na mambo yanazidi kusonga sasa anajitokeza ili angalau amake headlines
Dear Jamhuri polepole ni wa kupuuzwa wala asitafutwe aendelee na press zake huku siku zinaenda atanyamaza mwenyewe
Ni mapangoni lumumba kama sii lubumbashi!
Duh 🙄 !Meno wale walibeba jeneza la brother K wanapepesuka kama walevi
Yaani mpaka Leo wako proud kutuonesha michezo ya mazingaombwe daah 🤣🤣🤣La malawi la kuvunja matofali vifuani 😁
Drama... Auawe ili mseme kifo ni kifo?Drama zole