Basi hayuko mbali na korongo..Unamuamgalia kwa kutumia upeo wako unapokomea...
Kuna Watu bado wanamini dunia ni tambalale kama meza na ukifika mwisho unadumbukia kwenye korongo!
Basi hayuko mbali na korongo..Unamuamgalia kwa kutumia upeo wako unapokomea...
Kuna Watu bado wanamini dunia ni tambalale kama meza na ukifika mwisho unadumbukia kwenye korongo!
Wakati ipo mikononi mwake alifanya Nini!? Alishindwa Nini kupata huo uhuru anaodai sasaNdio, nchi imo mikononi mwa Wahuni.
Vip wewe unaye unga mkono utekaji na uuzwaji wa rasilimali za taifa kwa waarabu unajionaje kiakili.Pole pole anatapa tapa tuu Hana jipya, hii nchi huwez kupata mabadriko Kwa kutegemea hawa wanachi, hii nchi nguzo ya mabadriko ipo kwenye defence , sehemu ambayo CCM ndo wamelalia
Sasa hivi wana uhakika nazo, alipata coup Kigali?Ambazo bado watazipata tu ikiwa wao watakuwa ndio marais
🤣 kuna kipya gani amesema hapo mkuu?Huyu Bwana Kaanza kunifikirisha juu ya Mzee mkapa Aisee Mungu Atusaidie.
Kumbe Kuna Siri nyingi Anazijua huyu Bwana.
Sisi tuendelee kusikiliza bwana mengi tuta yajua.
Kweli kabisa....Wakuu wa majeshi wanapata pension Nono, wanajengewa nyumba, wanapewa V8 kama zawadi ya kustaafu.
Hii ni hongo inayokwenda kwa 5% ya top cream jeshini. MkiSubiri jeshi lichukue nchi mtasubiri sana. Hawa wakubwa wanalinda hongo zao.
Simlisema hayupo qmmk acheni kutapatapa awapelekee moto masisiemuDalili ya kuchanganyikiwa. Kutokuwa a respected diplomat akiwakilisha nchi yake Cuba na nchi kadhaa huko..kuwa kama digi digi mtembea usiku akijificha na kujirikodi.... so pathetic.
Pole Pole ametoka CUBA ,anavuruga tu hapo ,kumbe hiyo clip usikute alirecord mwaka 2024.
Wameshakatwa mikono kitambo sana. Huo uwezo wa kufanya hivyo, hawana.Jeshi si mchukue nchi? Mbona mpo mpo tu😏
Yanakosea sana yanapothamini utajiri binafsi na kuiacha nchi inafanyiwa upumbavu kama hayajaapa kulitetea taifa. Vyombo vya ulinzi na usalama wa taifa vimelala fofofo. Bora mara 1000 Polepole kajitoa sana aise, yaani amepambana sana inahitaji kujivika mabomu hasa ya ujasiri kukabiliana na liccmWakuu wa majeshi wanapata pension Nono, wanajengewa nyumba, wanapewa V8 kama zawadi ya kustaafu.
Hii ni hongo inayokwenda kwa 5% ya top cream jeshini. MkiSubiri jeshi lichukue nchi mtasubiri sana. Hawa wakubwa wanalinda hongo zao.
La malawi la kuvunja matofali vifuani 😁Kwa jeshi gani
Haijawahi kuwa mikononi mwake. Maana ingekuwa iliwahi kuwa mikononi mwake Leo hii Samia asingekuwa Rais.Wakati ipo mikononi mwake alifanya Nini!? Alishindwa Nini kupata huo uhuru anaodai sasa
Hakuna sehemu ambayo top wamechukua nchi labda Abacha tu nayeye alianza hekahela kichinichini akiwa sio top alipofika utop akanyakua ikulu kama mwewe.Wakuu wa majeshi wanapata pension Nono, wanajengewa nyumba, wanapewa V8 kama zawadi ya kustaafu.
Hii ni hongo inayokwenda kwa 5% ya top cream jeshini. MkiSubiri jeshi lichukue nchi mtasubiri sana. Hawa wakubwa wanalinda hongo zao.
Haka kajamaa kajanja sana ukute hiyo clipp kamewatega wasiojulikana ili wajazane Dodoma kumbe hakapo kameshasepa zake sehemu nyingine🤣🤣🤣
Au wameongezewa marupurupu? Dah nimenyongea ghafla!Wameshakatwa mikono kitambo sana. Huo uwezo wa kufanya hivyo, hawana.
Huo ndiyo ukweli.Haka kajamaa kajanja sana ukute hiyo clipp kamewatega wasiojulikana ili wajazane Dodoma kumbe hakapo kameshasepa zake sehemu nyingine🤣🤣🤣