Kumbe wanamsaka?Dharau hizi kwa twiss na PT wanao msaka kimya kimya
Sahihi kabsa huwezi kushinda kwa kutumia diplomasia kwa mtu anayetumia mabavu.✍️📌Pole pole anatapa tapa tuu Hana jipya, hii nchi huwez kupata mabadriko Kwa kutegemea hawa wanachi, hii nchi nguzo ya mabadriko ipo kwenye defence , sehemu ambayo CCM ndo wamelalia
Umeeleweka!!Sahihi kabsa huwezi kushinda kwa kutumia diplomasia kwa mtu anayetumia mabavu.✍️📌
Mental case hiyo…. Diminishing relevance is hurting him slowly
Tafadhali mheshimu mwalimu nyerereNyerere mwenyewe wakati WA kudai Uhuru alikuwa akilala kwenye mapagara,
Nani hao?Watasema ni AI
Hakuna wa kupoteza muda nayeKumbe wanamsaka?
Bado ana utoto sana.
Ccm sometimes huwa wanaokota vitu bya ajabu sanaBado ana utoto sana.
Ushamba umemjaa
Wale walioenda kwa dada yake walifuata nini?Hakuna wa kupoteza muda naye
Wewe nini kinakuuma kwenye maisha yake hayo? Mbona umemuwakia sana?!Dalili ya kuchanganyikiwa. Kutokuwa a respected diplomat akiwakilisha nchi yake Cuba na nchi kadhaa huko..kuwa kama digi digi mtembea usiku akijificha na kujirikodi.... so pathetic.
Mchaka mchaka wa wanajeshi utauweza madame?Jeshi si mchukue nchi? Mbona mpo mpo tu😏
Basi CCM kumejaa watu wa ajabu pia.Maana Kuna ule msemo wa "ndege wa aina moja huruka pamoja".Ccm sometimes huwa wanaokota vitu bya ajabu sana
Huyu ni diplomat
yan nimewaza sana.huwez kukaa nchi ya kikomando kama cuba halafu uwe tu kizembe.who knows kama alijiunga na training ya marksman au hand to hand combat au intelijensia au kuzichezea zile glover au ak 47Pole Pole ametoka CUBA ,anavuruga tu hapo ,kumbe hiyo clip usikute alirecord mwaka 2024.
Pole pole ni SMART sana , 100% hayupo TZ ila anawavuruga "MENO" waaanze kumtrace hapa TZ ili yeye aendelee kuwa comfortable uhamishoni.yan nimewaza sana.huwez kukaa nchi ya kikomando kama cuba halafu uwe tu kizembe.who knows kama alijiunga na training ya marksman au hand to hand combat au intelijensia au kuzichezea zile glover au ak 47
Jana nilikua kijiji kimoja ndani ndani aisee?Nilishangaa sana kuona ile awareness ya watu kuhusu udhalimu wa CCM.Huu mwaka lazima kuna jambo litatokea,hasira ile ya wanakijiji ilikua ni balaa.Mama Samia kazi kubwa sana unayo nchi imekukataaa.Wenye akili ya kuunganisha dots walishtuka kwa yaliyomkuta Mrisho Mpoto wakati wa msiba wa mke wake (RIP)....shida huwa haziji kwa mkupuo, ni vipande vipande....hatimaye kitu pwaaa!
Endeleeni kukaza shingo ila Hadi huku kijijini upepo umegeuka mark my word!