Tafasiri ya umbea ni ipi? Maana mtu akikupa habari ya kweli na wewe ikawa inakuathiri waweza kuita umbea tu lakini wenzako wanakuwa wamejua ukweli, hata ukijifariji inakuwa haijasaidia kituHa
Hakuna Siri Zaid ya umbea .usimuamin mwanasiasa
Tafasiri ya umbea ni ipi? Maana mtu akikupa habari ya kweli na wewe ikawa inakuathiri waweza kuita umbea tu lakini wenzako wanakuwa wamejua ukweli, hata ukijifariji inakuwa haijasaidia kituHa
Hakuna Siri Zaid ya umbea .usimuamin mwanasiasa
Duh 🙄 !Ndio, nchi imo mikononi mwa Wahuni.
Kuhisi pia jibuPole Pole ametoka CUBA ,anavuruga tu hapo ,kumbe hiyo clip usikute alirecord mwaka 2024.
Wewe ndiyo chizi kwani mtu kujificha kisa Polisiccm wanamsaka kumbambikia kesi ya Uongo ni uchizi? Kuwakwepa watesi watekaji waonevu ni uchizi?Aiseee huyu Kawa chizi
Mwache aendendee kua huru ila akitumia vibaya uhuru wake vibaya
Ataungana na lissu
Meno wale walibeba jeneza la brother K wanapepesuka kama waleviPole pole ni SMART sana , 100% hayupo TZ ila anawavuruga "MENO" waaanze kumtrace hapa TZ ili yeye aendelee kuwa comfortable uhamishoni.
Polepole lazima ajifiche sana kwani Polisiccm wanamwinda sana wakimdaka tu lazima atengenezewe kesi ya uonevu kama ya LisuKuhisi pia jibu
Kumbe kama umemuona Pole Pole kwenye engo ya kubwabwaja, nakiri watanzania tuna akili finyu na kupambania mabaya yanayofanywa na watawala itachukua muda sana.Nilichogundua huyu baba anatamani akamatwe ili apate kiki zaidi.. anajioma kama mpango wake wa kubwabwaja hauleti impact aliyoitegemea na mambo yanazidi kusonga sasa anajitokeza ili angalau amake headlines
Dear Jamhuri polepole ni wa kupuuzwa wala asitafutwe aendelee na press zake huku siku zinaenda atanyamaza mwenyewe
Hapo ni wapi?Pole pole anatapa tapa tuu Hana jipya, hii nchi huwez kupata mabadriko Kwa kutegemea hawa wanachi, hii nchi nguzo ya mabadriko ipo kwenye defence , sehemu ambayo CCM ndo wamelalia
Sahihi mkuuPolepole lazima ajifiche sana kwani Polisiccm wanamwinda sana wakimdaka tu lazima atengenezewe kesi ya uonevu kama ya Lisu
Mkuu gheshi letu nalo limekaliwa na majitu yanayitafuta fursa! Ujinga mtupu! Yanaweza yakistaafu yapewe vijiwe! Salute sana kwa West Africa, huu ujinga hawakubali!wewe unafikiri njia za kidemokrasia zinaweza? Angalia tu kule Nchi ya Zanzibar wajuzi wanasema CCM haijawahi kushinda kule
Hapo ni Samora au Independence avenue Enzi zile zetu tukienda pale EMms au Margot ??! 😳 ! Karibu na Askari monument ?!!
Yupo hapo Dar lakini Polisiccm wanamwinda wamubambikie kesi kama Lisu ndiyo maana kaamua kujifichaPole Pole ametoka CUBA ,anavuruga tu hapo ,kumbe hiyo clip usikute alirecord mwaka 2024.
Wanao kinukisha sio Wakubwa ni wale wadogoWakuu wa majeshi wanapata pension Nono, wanajengewa nyumba, wanapewa V8 kama zawadi ya kustaafu.
Hii ni hongo inayokwenda kwa 5% ya top cream jeshini. MkiSubiri jeshi lichukue nchi mtasubiri sana. Hawa wakubwa wanalinda hongo zao.
Kama polepole anapoteza mda ni kwa nini Polisiccm wanamwinda? ni kwa nini walienda kwake kwa dada yake na kwa mama yake? Acheni mipango ya kumbambikia kesi ya Uongo kama ya Lisu atajitokeza tuPolepole unapoteza muda na credibility yako!
Rais Samia anagombea tena muhula mmoja kwa mujibu wa Katiba ya JMT.
Na wala Katiba ya CCM na utamaduni wa CCM haviwezi kuwa juu ya Katiba ya Nchi.
Hujui chochote kuhusu sheria .
Huna haja ya kutembea usiku kama mnyama karunguyeye, tumia muda wako vizuri kujifunza Sheria na hasa ukuu wa Katiba ya JMT yaani supremacy of the Constitution.
Siyo Dharau hiyo bali ni njia ya kuonyesha kuwa msema kweli hana nafasi ya kuishi salamaDharau hizi kwa twiss na PT wanao msaka kimya kimya
Bhabha za mashikuNdio, nchi imo mikononi mwa Wahuni.
Ulikuwepo kaka wakati anajificha kwenye mapagara ? 😂😂😂Nyerere mwenyewe wakati WA kudai Uhuru alikuwa akilala kwenye mapagara,