Mh Polepole anawauliza hapa ni wapi?

Mh Polepole anawauliza hapa ni wapi?

Wenye akili ya kuunganisha dots walishtuka kwa yaliyomkuta Mrisho Mpoto wakati wa msiba wa mke wake (RIP)....shida huwa haziji kwa mkupuo, ni vipande vipande....hatimaye kitu pwaaa!
Endeleeni kukaza shingo ila Hadi huku kijijini upepo umegeuka mark my word!
Nakubali upepo umegeuka mpaka vijijini.
 
Kwa hiyo Polepole na yeye anadai uhuru?
Wewe unajifanya ngurukenge.?? Nchi imepata uhuru huo? Jamaa wanauza wanachotaka bila ridhaa yetu halafu unasema tuko huru?. Tukisema tunakamatwa kama Digidigi na kuuwawa halafu unasema tuko huru? Inahitaji kukombolewa tena hii!! Slow slow yuko sahihi
 
Wakuu wa majeshi wanapata pension Nono, wanajengewa nyumba, wanapewa V8 kama zawadi ya kustaafu.

Hii ni hongo inayokwenda kwa 5% ya top cream jeshini. MkiSubiri jeshi lichukue nchi mtasubiri sana. Hawa wakubwa wanalinda hongo zao.
Siku zote wanaoleta mabadiliko ni vyeo vya chini ,Yaani Captain au Major hao top hawawezi maana wanakuwa kitu kimoja na mfumo
 
A

Ameiandikaje wengine hatujaiona !
20250803_200656.jpg
 
Dalili ya kuchanganyikiwa. Kutokuwa a respected diplomat akiwakilisha nchi yake Cuba na nchi kadhaa huko..kuwa kama digi digi mtembea usiku akijificha na kujirikodi.... so pathetic.
Kama wewe ukiongeza juhudi kidogo ya kufikirika utajuwa Polepole ni tarishi (messenger) tu.
Anafikisha ujumbe aliotumwa na jopo kubwa mfano wa taasisi kubwa sana.
Ajaribu mtovu wa nidhamu yeyote kufanya au kuongea anavyo fanya Polepole kisha uone.
Shirika sasa.
Mwenyewe kamwambia Chalamila hii game ni ya level kubwa sana.
Hapo kaenda kujionesha yupo nchini kwa sababu maalum.
Wenye mambo yao wameelewa.
 
Mmmmh !
Kumbe jamaa yupo siriasi kweli 😂 !
Halafu inaonekana anajiamini sana !
Hii ina maana kwa mtazamo wangu ana backup ya nguvu 😳 !
Lakini 😳 kama kweli yupo Nchini 🤷🏾‍♂️ !
Huyu wanasema ametokea kule kwenye kitovu cha usalama nchini ..alisema paskali...so anajua moves zote ..!
 
Kwahyo huu undezi uendelee kisa utashindwa kunywa visungura? stupidity
Kwa hiyo unahisi jeshi likichukua nchi utaweza kuwa hata keyboard hero hapa jf? Hapa ni kupigania katiba ibadilishwe...jeshi likichukua nchi halafu tuishi kama Korea kaskazini..tupangiwe mda wa kulala..tupangiwe staili ya kunyoa AU HuJuI maana ya kuishi under military occupation
 
Pole pole anatapa tapa tuu Hana jipya, hii nchi huwez kupata mabadriko Kwa kutegemea hawa wanachi, hii nchi nguzo ya mabadriko ipo kwenye defence , sehemu ambayo CCM ndo wamelalia alaf Pole pole haya mambo ya reform no elect hata Hana mpango nayo nyie tuu ndo mnamvisha , yeye kesi yake Samia asigombee kupitia CCM
Huwezi kupata mabadiko kupitia defence bila wananchi kuanza kuchukua hatua.Jeshi haliwezi kuingiloa siasa.
Watu wapambane na hali zao,kwanza mkishindwana ndio jeshi inaweza kuingilia.
 
Back
Top Bottom