Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 3,464
- 4,094
yeye kesi yake Samia asigombee kupitia CCM
Hili ni wengi wanalitaka, hata wapenda reform...
Kesi yake wanamtandao wasigawane madaraka peke yao. Wagawane wote maana ni wana CCM
yeye kesi yake Samia asigombee kupitia CCM
Hili ni wengi wanalitaka, hata wapenda reform...
Akijitokeza tu,,, mnamla kichwa kama Ally Kibao.Huyu kaanza kuchanganyikiwa 😂
Maisha ya udigidigi sio mchezo
Nakubali upepo umegeuka mpaka vijijini.Wenye akili ya kuunganisha dots walishtuka kwa yaliyomkuta Mrisho Mpoto wakati wa msiba wa mke wake (RIP)....shida huwa haziji kwa mkupuo, ni vipande vipande....hatimaye kitu pwaaa!
Endeleeni kukaza shingo ila Hadi huku kijijini upepo umegeuka mark my word!
Wewe unajifanya ngurukenge.?? Nchi imepata uhuru huo? Jamaa wanauza wanachotaka bila ridhaa yetu halafu unasema tuko huru?. Tukisema tunakamatwa kama Digidigi na kuuwawa halafu unasema tuko huru? Inahitaji kukombolewa tena hii!! Slow slow yuko sahihiKwa hiyo Polepole na yeye anadai uhuru?
Afya ya akili
You mean he will suffer the same fate as original Icarus?Icarus is flying too close to the sun 🤣
A clown with balls of steel
Mishahara ya mwezi uliopita wanasema wao waliongezewa 300,000/=Wameshakatwa mikono kitambo sana. Huo uwezo wa kufanya hivyo, hawana.
Siku zote wanaoleta mabadiliko ni vyeo vya chini ,Yaani Captain au Major hao top hawawezi maana wanakuwa kitu kimoja na mfumoWakuu wa majeshi wanapata pension Nono, wanajengewa nyumba, wanapewa V8 kama zawadi ya kustaafu.
Hii ni hongo inayokwenda kwa 5% ya top cream jeshini. MkiSubiri jeshi lichukue nchi mtasubiri sana. Hawa wakubwa wanalinda hongo zao.
A
Ameiandikaje wengine hatujaiona !
Huu uchochezi kaka kwani mama kashindwa?Jeshi si mchukue nchi? Mbona mpo mpo tu😏
Mmmmh !
Unadhani jeshi likichukua nchi utakunywa hizo smart gin ukiwa salama? What a stupid replyJeshi si mchukue nchi? Mbona mpo mpo tu😏
Kama wewe ukiongeza juhudi kidogo ya kufikirika utajuwa Polepole ni tarishi (messenger) tu.Dalili ya kuchanganyikiwa. Kutokuwa a respected diplomat akiwakilisha nchi yake Cuba na nchi kadhaa huko..kuwa kama digi digi mtembea usiku akijificha na kujirikodi.... so pathetic.
Kwahyo huu undezi uendelee kisa utashindwa kunywa visungura? stupidityUnadhani jeshi likichukua nchi utakunywa hizo smart gin ukiwa salama? What a stupid reply
Huyu wanasema ametokea kule kwenye kitovu cha usalama nchini ..alisema paskali...so anajua moves zote ..!Mmmmh !
Kumbe jamaa yupo siriasi kweli 😂 !
Halafu inaonekana anajiamini sana !
Hii ina maana kwa mtazamo wangu ana backup ya nguvu 😳 !
Lakini 😳 kama kweli yupo Nchini 🤷🏾♂️ !
Kwa hiyo unahisi jeshi likichukua nchi utaweza kuwa hata keyboard hero hapa jf? Hapa ni kupigania katiba ibadilishwe...jeshi likichukua nchi halafu tuishi kama Korea kaskazini..tupangiwe mda wa kulala..tupangiwe staili ya kunyoa AU HuJuI maana ya kuishi under military occupationKwahyo huu undezi uendelee kisa utashindwa kunywa visungura? stupidity
Huwezi kupata mabadiko kupitia defence bila wananchi kuanza kuchukua hatua.Jeshi haliwezi kuingiloa siasa.Pole pole anatapa tapa tuu Hana jipya, hii nchi huwez kupata mabadriko Kwa kutegemea hawa wanachi, hii nchi nguzo ya mabadriko ipo kwenye defence , sehemu ambayo CCM ndo wamelalia alaf Pole pole haya mambo ya reform no elect hata Hana mpango nayo nyie tuu ndo mnamvisha , yeye kesi yake Samia asigombee kupitia CCM