MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,548
- 11,669
Huwezi kumkejeli mtu akisema anawasalimia nchi inazima mitandaoDalili ya kuchanganyikiwa. Kutokuwa a respected diplomat akiwakilisha nchi yake Cuba na nchi kadhaa huko..kuwa kama digi digi mtembea usiku akijificha na kujirikodi.... so pathetic.