Mh Polepole anawauliza hapa ni wapi?

Mh Polepole anawauliza hapa ni wapi?

Nilichogundua huyu baba anatamani akamatwe ili apate kiki zaidi.. anajioma kama mpango wake wa kubwabwaja hauleti impact aliyoitegemea na mambo yanazidi kusonga sasa anajitokeza ili angalau amake headlines

Dear Jamhuri polepole ni wa kupuuzwa wala asitafutwe aendelee na press zake huku siku zinaenda atanyamaza mwenyewe
 
Dalili ya kuchanganyikiwa. Kutokuwa a respected diplomat akiwakilisha nchi yake Cuba na nchi kadhaa huko..kuwa kama digi digi mtembea usiku akijificha na kujirikodi.... so pathetic.
Hajachanganyikiwa bali kawaonyesha Polisiccm kuwa yupo hapo Dar kwenu anatembea usiku ili kuwakwepa msimteke mkamuua ama kumbambikia kesi ya Uongo kama ulivyofanya kwa Lisu
 
Nilichogundua huyu baba anatamani akamatwe ili apate kiki zaidi.. anajioma kama mpango wake wa kubwabwaja hauleti impact aliyoitegemea na mambo yanazidi kusonga sasa anajitokeza ili angalau amake headlines

Dear Jamhuri polepole ni wa kupuuzwa wala asitafutwe aendelee na press zake huku siku zinaenda atanyamaza mwenyewe
Akamatwe kwa kuzima mtandao, aibu gani hii!
 
Wakuu wa majeshi wanapata pension Nono, wanajengewa nyumba, wanapewa V8 kama zawadi ya kustaafu.

Hii ni hongo inayokwenda kwa 5% ya top cream jeshini. MkiSubiri jeshi lichukue nchi mtasubiri sana. Hawa wakubwa wanalinda hongo zao.
Mnataka jeshi lifanye uasi ..pumbav xnaa nyie hamna jema na taifa letu
 
Huyu Bwana Kaanza kunifikirisha juu ya Mzee mkapa Aisee Mungu Atusaidie.

Kumbe Kuna Siri nyingi Anazijua huyu Bwana.

Sisi tuendelee kusikiliza bwana mengi tuta yajua.
Polepole anajua vingi sana ndiyo maana katulia anakwenda kidogo kidogo akisubitia kampeni zianze ndipo ashushe Nondo ili wapiga kura wapime wenyewe
 
Ha
Huyu Bwana Kaanza kunifikirisha juu ya Mzee mkapa Aisee Mungu Atusaidie.

Kumbe Kuna Siri nyingi Anazijua huyu Bwana.

Sisi tuendelee kusikiliza bwana mengi tuta yajua.
Hakuna Siri Zaid ya umbea .usimuamin mwanasiasa
 
Akamatwe kwa kuzima mtandao, aibu gani hii!
Huo ujinga wa kutumia polisiccm wamkamate kisha wamsingizie kuzima Mtandao kesi ya Uongo wakati yeye hamiliki mitambo ya Serikali ya ccm ndipo kumepelekea ajifiche atembee usiku tu
 
Pole pole anatapa tapa tuu Hana jipya, hii nchi huwez kupata mabadriko Kwa kutegemea hawa wanachi, hii nchi nguzo ya mabadriko ipo kwenye defence , sehemu ambayo CCM ndo wamelalia
Freeman Mbowe analijua hilo ndio maana akaingia kwenye maridhiano chap
 
Dalili ya kuchanganyikiwa. Kutokuwa a respected diplomat akiwakilisha nchi yake Cuba na nchi kadhaa huko..kuwa kama digi digi mtembea usiku akijificha na kujirikodi.... so pathetic.
Utakuja kumkumbuka baadae siyo sasa hivi pale ukoo wa viongozi wanajimegea keki ya taifa kwa kasi ya ajabu
 
Back
Top Bottom